To MMU ladies ....

To MMU ladies ....

OT: Baba paroko...!!! Nilikukosa kweli! Kumbe ulikuwa kifungoni... karibu tena, tema tuwachape!
 
Mimi tayari ni mama mwema wa watoto na napata penzi salama na la uhakika kwa niliyenaye.
Thanks for offering anyway!!

Umbuje huyu mbaba Eiyer mmefikishana huku?
 
Last edited by a moderator:
Hofu lazima uwe nayo kwakuwa ninataka mahusiano na wewe

Mimi muonekano kwangu sio ishu ki vile kwani najua ubora wa mtu ahupo kwenye muonekano bali kile anachokifanya au kusema!

Kunipenda haiwez kunijengea hofu Bali itanijengea heshima na kuweza kujiamin kwa maamuz Yang

Yawezekana muonekano usiupe nafasi Bali ukaangalia hekima,upendo, tabia nk ila hat hilo lina nafasi yake kwangu kukuona.....

Mimi mama wa home Sina/ ctaki kazi je utaweza kuwajibika na kutunza familia na matumizi Yang yakupenda maisha ya standard .... je utaweza kuhudumia as father/?
Kazi yako?? Balance sheet yko itaweza hayo
 
OT: Baba paroko...!!! Nilikukosa kweli! Kumbe ulikuwa kifungoni... karibu tena, tema tuwachape!

Nilikumiss sana Chujio

Hebu jaribu kuniambia kama ndio umeipata PM yangu muda huu halafu ndio nakutongoza utaniuliza nini cha kwanza?
 
Last edited by a moderator:
Kunipenda haiwez kunijengea hofu Bali itanijengea heshima na kuweza kujiamin kwa maamuz Yang
Sijasema kukupenda kutakupa hofu bana bali nimesema kitendo changu cha kutaka kujenga mahusiano na we kinaweza kukuletea hofu
Yawezekana muonekano usiupe nafasi Bali ukaangalia hekima,upendo, tabia nk ila hat hilo lina nafasi yake kwangu kukuona.....
Kama ni kwako sawa

Fanya hima tuonane tafadhali
Mimi mama wa home Sina/ ctaki kazi je utaweza kuwajibika na kutunza familia na matumizi Yang yakupenda maisha ya standard .... je utaweza kuhudumia as father/?
Hili ndilo jukumu la mume kwa asili hivyo halina tatizo kwangu
Kazi yako?? Balance sheet yko itaweza hayo
Kazi yangu utaijua muda utakavyokuwa unakwenda
Balance yangu inaweza kumlea na kumtunza kiumbe yoyote yule hapa duniani

Lingine?
 
Back
Top Bottom