To all good and hardworking men out there

To all good and hardworking men out there

usijashaue hapa sasa hivi baada ya hari ya hewa kuharibika, kisa cha kusema sema Wewe na michelle lara1 ni nini si amequote hiyo hiyo biblia uyoiamini na wewe, lara 1 ameanza kutukana watu baada ya nyie watakatifu wawili kumsemasema kwa hiyo ulitaka watu wakupongeze tu, wasije na mawzo tofauti,

mercenary at work!!!
 
Unanipa mashaka ww,mm sijambagua huyo unayemuongelea wala sijamtenga ila yeye ndio amefanya hivo to her own self,too bad amefuta most of her posts kulidhirisha hilo zaidi,na to be precise amenitenga mimi which i care less about na wewe usinipangie jinsi ya kuishi maisha yangu!

give it to her, with both barrels!!!
 
Gal lara 1 stop it, it isn't worthy, umaarufu wa mitandaoni haukuongezei senti tano mfukoni, kuna watu hawana ishu, za kufanya wakiwa busy jf wakipost wat people wanna hear at least wanajifeel alive and relevant, you can do better than them, ingekuwa enzi zile ningeingilia thread hii na tungewawashia moto as we used to do, maisha yamebadilika umri unasonga sisi ndo future iron ladies wa taifa hili, so please for the sake of them old days wapotezee, hawadesreve even your single quote, besides wengine magolikipa humu, do you waste your precious time arguing with a golikipa namna ya kuwa mke mwema? Obvious atakushinda coz it's something she was born to do, hatuwezi wote kuwa golikipaz...
 
Last edited by a moderator:
Gal lara 1 stop it, it isn't worthy, umaarufu wa mitandaoni haukuongezei senti tano mfukoni, kuna watu hawana ishu, za kufanya wakiwa busy jf wakipost wat people wanna hear at least wanajifeel alive and relevant, you can do better than them, ingekuwa enzi zile ningeingilia thread hii na tungewawashia moto as we used to do, maisha yamebadilika umri unasonga sisi ndo future iron ladies wa taifa hili, so please for the sake of them old days wapotezee, hawadesreve even your single quote, besides wengine magolikipa humu, do you waste your precious time arguing with a golikipa namna ya kuwa mke mwema? Obvious atakushinda coz it's something she was born to do, hatuwezi wote kuwa golikipaz...

Aaaaaaawww! For some time nilihisi wewe ndo yule Michelle cause it was your old name! 90% ya huu uzi unani discuss Lara 1! Hahahahaaaaaaa! Oooh mad ya maana kumbe Lara 1 mtamu kuliko mada,:lol: MIMI NISHAAGA KABISA THE ONLY REASON I CAME BACK COZ I SAW YOUR MENTION, FOR THE SAKE OF OLD DAYS I HAD TO COME BACK FOR YOU!!!!

Ujue at times like these ndo you get to watch watu gani umingle nao humu ndani, na what type is TAKATAKA to EXTREMELY AVOID! And what type is wanafiki. Humu kuna watu wengi na mimi pia nampenda kumpa mtu benefit of the doubt ila hasidi hajifichi itafika wakati atajionesha tu. IT IS GOOD THOUGH FOR OUR JF SOCIAL CYCLE MAINTENANCE AND SELECTION! Only the best and worth! Bila mivagi kama hii mnaweza jikuta mmemuingiza mtu mnafiki akawavuruga vuruga kama Jini Maimuna anatoa maneno huku, anapeleka kule, anarudisha huku, anatuchamba indirect huoni toka tumuignore anaiona JF chungu, we striped her of everything. Kabakia kunipigia simu na namba mpya, i want back, you guys mlikuwa mnanipa michongo, im sorry, namwambia nenda kwa wale wale wachambaji wenzio, you deserve each other, mkishachamba basi mnarudi kwenye msoto, mwishowe wakachambana wenyewe kwa wenyewe:lol: Na umbea kaacha sahivi. Kimyaaaa!

Mi nishaondoka toka jana, lets see how long will the thread survive without me anyway! :lol:. Maana msisimko umebakia 10%. Nishaacha wafu wazike wafu wao, niko in other threads TRENDING as usual na kuchukua milikes kama kawaida!:lol:

Check your PM.
 
Gal lara 1 stop it, it isn't worthy, umaarufu wa mitandaoni haukuongezei senti tano mfukoni, kuna watu hawana ishu, za kufanya wakiwa busy jf wakipost wat people wanna hear at least wanajifeel alive and relevant, you can do better than them, ingekuwa enzi zile ningeingilia thread hii na tungewawashia moto as we used to do, maisha yamebadilika umri unasonga sisi ndo future iron ladies wa taifa hili, so please for the sake of them old days wapotezee, hawadesreve even your single quote, besides wengine magolikipa humu, do you waste your precious time arguing with a golikipa namna ya kuwa mke mwema? Obvious atakushinda coz it's something she was born to do, hatuwezi wote kuwa golikipaz...

Wamemcharua lara 1 watashaa...me nipo naangalia mtanange kwa hisani ya watu wa Marekani!
 
Last edited by a moderator:
Wamemcharua lara 1 watashaa...me nipo naangalia mtanange kwa hisani ya watu wa Marekani!

Wamejicharua wenyweeeee! Mi si bado nipo MMU, TRENDING KAMA ZAMANI, na sumu zao zoote ukipitia comments zangu MI LIKES KIBAO KAMA KAWAIDA YANGU! :lol:

Mishikamano kama hii ya kizandiki, uchonganishi, ugomvi, uonevu, shari, matusi HAIDUMUGI HATA SIKU MOJA NI SELF DESTRUCTORY! Leo mtamchambua mtu weeeeeeee, mwisho wa siku mko pale pale, kesho mtachambuana wenyewe afu baadha watakurudia ulie chambuliwa kukiri walibugi men. Hakuna muungano unaofomiwa kwa grounds hizo ukadumu hata siku moja, wala huhitaji kufanya lolote kuutokomeza, just seat and watch! Kama issue ya Alcohol rehab wenyewe kwa wenyewe wanauziana CD. NDO MAANA I WILL NEVER EVER ENTERTAIN THEM, MAKE PEACE SIJUI, NIISHI NAO VIZURI! SITAKIIIIIIIIIII! Mtu mshari ni kukorofishana nae kabisaaa, kabisaaa na kukaa nae mbali tena kumuepuka kama ukomaaa. TO ME THESE KIND OF PEOPLE I WILL NEVER EVER MINGLE WITH NDO MAANA THEIR OPINION WILL NEVER MATTER. As far as i am concerned the deserve each other. :lol:

Mimi naweza kuishi na watu vizuri tena sanaa, lakini hao watu wawe wazuri wa kueleweka. Humu JF tuna background tofauti kuna watu wanavitabia vya ajabu ajabu, usipokuwa mwangalifu utamkaribisha shetani maishani mwako, mwishowe unajikuta mtumwa sasa. Ndo maana nakuwa EXTRA careful who i fight, and who i make peace with. Kuna wanawake humu kazi yao kunisimulia mambo ya watu tu kila sikuuuu. Ubuyu naupenda ila najua sio mzuri. Nikishakujua wa hivo baas, sikwambi jambo langu lolote. Na kuna watu nimekutana nao humu humu and we are very friends, happy, tunaheshimiana, tunasaidiana, tuna aminiana. Its like tumejuana forever kumbe umu. THESE ARE THE KIND OF PEOPLE I NTEND TO BE MEETING IN JF. Wanajua mambo yangu kibaoo ila wananistiri coz wanajua thamani ya uungwana. Na most all we trust each other for better for worse ndo maisha. And i am very CAREFUL to select my cycle. Kama Latoya we go way back since 2012, alikuwa hajaajiriwa bado, watu walituchonganisha humuuu ni balaa, ila ni mtu asie na vi attitude, akaach u member urafiki ukaendelea, karudi, we still friends here n outside here. Namjua yeye, ofisini kwake, mtu wake, hivo yani tunajuanaaaa. Nikashaona mtu ana vitabiatabia naweka mbali na watoto kabisaaa.

Wamejicharua wenyweeeee. Mimi nipo, nitaendelea ku TREND kama kawaida, maisha yataendelea kama zamani. Nashukuru kuna watu nilikuwa nawaona wazungu kumbe DANGER, i will do the needful! :lol: Mtakalia hivo hivo watu wa JF sijui nini nini, watu ni wale wale haijalishi umekutana nao wapi, ni jinsi tu ya kumjua mtu na kuishi nae jinsi alivo. Kokote JF au hata nje ya JF ukijua kuishi na mtu jinsi alivo hatokupa shida hata siku moja! Mtu ukijua mshari una muignore na ku focus kwa wenye kupenda upendo na furaha! Ukihangaika nae ATAKUSAIDIA NINI? UNAWAACHA TU WAFU WAZIKE WAFU WAO.
 
Aah'a.... mi nimetania tu.
Hamna kitu.

Nilijua tu hamna kitu maana ni kweli hamna kitu.

Zaidi ya masaa 24 na hakuna jina hata moja la mwanamke yeyote lililotajwa na hakuna hata aliyethubutu kutaja jina langu la ukweli.

Speaks volumes and I drop the mike.

My hands are raised....still undisputed.
 
lara 1 muuza ubuyu siku zote atapika ya kupika wee ila akiishiwa atajiuza ubuyu mwenyewe ili kijiweni asionekane kakaukiwa...muhimu ni kutoa za uso pale inapobidi na kulinda msimamo wako usitetereshwe na wanaofuata upepo! Hakuna dhambi kujisimamia kwenye msimamo wako maana kama ni kulamba miguu utawalamba wangapi?
 
Last edited by a moderator:
Jamani DAKU LIMESHAISHAAA, TUMUEPUSHE SHETANI, NIRUDI KWENYE MFUNGO MIE!!!!!!!!! Nawatakia kila lakheri MY FUN CLUB msiache kuni discuss ili ni keep trending MMU japo kwa tuwiki haka tu. :lol:.

Kuchamba kwingi mwishowe mtatoka na mimavi sasa. Wewe unachamba unajua unanikomoaaa, mie sikuji, huniongezi chochote wala hunipunguzii chochote ila unajifanyia tu SOCIAL SUICIDE! Mi nishazoeleka domo kaya humu ndani watu washanikubali hivo hivo mitusi yangu, wanajua japo mitusi fasta ila i am good person ukinijulia. Sasa wewe hawakuji, wanakuona unajimimiiinaaa, tukanaa, tukanaa na wewe. Wanafanya kumark tu YULE HAPANA KWA KWELI HATUFAI KUJI ASSOCIATE NAE! Unakuwa na nyota ya mavi kunukaaaa! Hahahaaaaaaaa! Likes hupewi, quote hujibiwi, mention hupati, ukipost watu hawachangii unakuwa kama mzuka maskini. Kumbe uli commit social suicide mwenyewe kwa kujidhihirisha SI MUUNGWANA! Watu wanaona leo kamtukana Lara 1 Kesho atatutukana sisi, sio mtu mzuri huyo,muache huko huko kwa watukanaji wenzie. Hahaaaaa!

JF INA WATU WENGI NA WTU WENGI NI WEMA NA WAZURI, THEY MIND THEIR BUSINESS, LIVE THEIR LIVES, HAWAJUI NANI, KAPOST NINI, KWANINI THEY ARE TOO HAPPY TO CARE! VIWAVI (Mfungo mode tume downsize toka Dogi) HAWAFIKI HATA 10. Na wote wana walakini. Huwezi hata kimakosa kukuta wale POPULAR TO BE WITH JF MEMBERS wako katika kundi la VIWAVI. Huweziii. Haitokaa itoke kiwavi akusaidie lolote zaidi ya kukupa mitusi mipya tu! Hana roho hio! Roho yake mbaya kuharibu haribu tu, wewe unafikiri kama anaionea mimi roho mbaya we ndo atakuonea wema? Thubutuuuu!
 
Sorry Pal! Huyu mu EXEMPT! At one point of time he was really nice to me! And he is my FRIEND in reality! Wala hata sio mtu mbaya, ni mtu poa sanaaaa. Basi tu mambo ya binadamu kupishana kauli. He is really mad at me sababu kuna vitu flani flani nimemkosea, alikuwa ana expect me being his friend ningefikia expectation and i fell short of expectations. So ndo najaribu kumaliza nae kiutu uzima, kwa kutafuta namna ya kumfanya anisamehe na tumalize tofauti zetu. Haya yote aliokwambia ni sababu nilimkeraa tu, lakini ni mtu poa kinomaaa!

BUUT THE REST OT THEM DESERVE ALL THE BULL SHIT AND ATTITUDE! Wakafie mbele!!!!!:lol:

Okay madame nimekuelewa ila mtaadharishe wakati mwingine awe makini na watu wa kuwacharukia maana siyo wote rika lake anavyodhania kwamba atawaendesha vile anavyotaka kama walivyo kwenye familia zao wanaishi kama mi ungu watu wanapenda kunyenyekewa mimi siyo mmoja wao wa kunyenyekea mtu asiye na mchango wowote kwenye maisha yangu, tatizo lake kubwa alikosa kauli ya ki jukwaa akaanza kunishambulia alinikosea sana heshima na mimi kwa heshima yako nampotezea ki utu uzima na yaliyotokea tayari yametokea.
 
Back
Top Bottom