Sijui nlikuwa wapi siku zotw hizi sijakuona
Shangaa sasa wengi wao wanajiona wakamilifu wengu wao ujuaji mwingi,wanamwita kichaa lakini wanabishana na kichaa huyohuyo..
Mhhhh hapa napata shida na halmashauri za vichwa zao. lara 1 upo juu mama ndo maana wanakuongelea wanaweweseka,neno lako si sheria au Quran.
Nipo sana humu jamvini huwa nachungulia na kuangalia mambo yanakwendaje ila mimi wa kitambo kidogo humu
Last edited by a moderator: