Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,155
- 137,167
Nilichosikia ni kuwa bwana Ngabu alitoka Us kuja bongo likizo.
Lini hiyo? Weka specifics basi i.e. siku, mwezi, mwaka na kadhalika.
Sababu watu wengi walivutiwa kwa kweli na yule binti sio ajabu Ngabu kuvutiwa. Nasikia na dada nae alimkubali Ngabu.
Okay....
Nisichokielewa mpaka leo hii ni ilikuwaje hayo mambo yakajadiliwa kwa mapana PM. Na majadiliano yalikuwa ya kumuonea huyo dada. Kusema kweli ilisikitisha. Huyo dada sijui aliachana na jf au amehama ID. Binafsi hio habari niliisikia lakini ni kitambo na tunaoijua ni watu wachache wa siku nyingiii. Sasa nachojiuliza Lara1 umejuaje? Yawezekana yule mrembo karudi tena JF? Kama ni yeye tafadhali mpe hii ID yangu ani PM. Na kama anasoma hapa ani PM.
Huyo dada hana jina? Na sizungumzii jina lake la ukweli bali la humu JF tu.
Mtajeni basi ili umma uweze kujua mchele ni upi na pumba ni zipi.