kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,293
- 12,593
Bila kuwa Na makubaliano kuhusu namna ya kugawana mapato yatakayotokana Na uwanja uliojengwa Na wanachama Na mashabiki kwa michango yao ya mifukoni itakuja kutokea vurugu kubwa sana huko mbele ya safari.
Lazima mgawanyo wa faida itakayotokana Na uwanja kwa wanahisa ifahamike kabla watu hawajaanza kuchangia ujenzi wa uwanja. Iko siku mapato ya uwanja huo italiwa na MTU, familia, au kikundi kimoja tu cha watu. Ikitokea hivyo malalamiko yatazuka kwa wale wote waliochangia ujenzi wa uwanja huo.
Kulinda haki za watanzania serikali ihakikishe kuwa wananchi hawachangishwi ovyo bila kuwepo kwa andiko litakaloanzisha hiyo asset ya uwanja linaloonyesha umiliki Na mapato yatakwenda wapi.
Lazima mgawanyo wa faida itakayotokana Na uwanja kwa wanahisa ifahamike kabla watu hawajaanza kuchangia ujenzi wa uwanja. Iko siku mapato ya uwanja huo italiwa na MTU, familia, au kikundi kimoja tu cha watu. Ikitokea hivyo malalamiko yatazuka kwa wale wote waliochangia ujenzi wa uwanja huo.
Kulinda haki za watanzania serikali ihakikishe kuwa wananchi hawachangishwi ovyo bila kuwepo kwa andiko litakaloanzisha hiyo asset ya uwanja linaloonyesha umiliki Na mapato yatakwenda wapi.