Hakuna ubaya kwa timu yoyote ya michezo kupelekwa Ikulu kuzawadiwa ikiwa kuna umuhimu. Cha ajabu TBC wapo live Ikulu wakiwaonyesha mabinti wa timu ya Taifa ya Wanawake walioshinda COSAFA CUP ambapo timu nyingi zilizoshiriki zilikuwa B Teams kwa sababu A teams zilikuwa zinajiandaa na mashindano makubwa kabisa ya AFCON 2022 kwa wanawake ambayo pia washindi 4 wa AFCON 22 watawakilisha Africa katika World ya Wanawake 2023.
TFF imemdanganya Waziri Wa Michezo naye masikini hajui chochote kawapeleka IKULU kumkabidhi Madam President Kombe lisilokuwa na sifa yoyote kwa Taifa. Afrika inatushangaa
Wenzetu Wanawake wa Kenya,Uganda,Burundi wamo kwenye kinyanganyiro hiki kikubwa sie tumetolewa na Namibia ambao walituma team B COSAFA CUP.
Nashauri Madam President angemchagua pia Mshauri wake wa mambo ya michezo.Huku ni kumpotosha Rais wetu kipenzi cha Watanzania.
TFF mnawajibika hasa Rais wake wa Maisha Mr Karia.
TFF imemdanganya Waziri Wa Michezo naye masikini hajui chochote kawapeleka IKULU kumkabidhi Madam President Kombe lisilokuwa na sifa yoyote kwa Taifa. Afrika inatushangaa
Wenzetu Wanawake wa Kenya,Uganda,Burundi wamo kwenye kinyanganyiro hiki kikubwa sie tumetolewa na Namibia ambao walituma team B COSAFA CUP.
Nashauri Madam President angemchagua pia Mshauri wake wa mambo ya michezo.Huku ni kumpotosha Rais wetu kipenzi cha Watanzania.
TFF mnawajibika hasa Rais wake wa Maisha Mr Karia.