Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) yatia aibu Côte d'Ivoire

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Sep 1, 2021
2,157
10,718
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!

Karibia mataifa yote yanayojitambua (Mataifa ya watu weusi) yameenda au kuwasili Ivory Coast kwa kuwa na aina yake ya mavazi (Attire).

Tanzania tangia tumeenza mchakato wa kupata Vazi la Taifa lililoratibiwa na serikali ya wendawazimu (ccm) hadi leo hatuelewi ni kitu gani kimelikumba jambo hilo!

Wakati nchi nyingine zinazojitambua zinapowakilisha mavazi rasmi ya mataifa yao,kiukweli kumekuwa na mvuto wa aina yake na kuwa kivutio!

Ni Tanzania pekee taifa la wendawazimu ndilo linalotia aibu huko kutokana na kuvaa Vinjunga kama avaavyo jamaa moja jinga kutokea huko Butiama!

Kiukweli mimi naombea Taifa Stars timu ya Samia na machawa wake ipokeee kipigo cha mbwa koko huko Côte d'Ivore kiasi kwamba hadi ichanganyikiwe!

Nitakuwa mwenye furaha mno kuona timu ya Taifa la Tanzania ikipokea vipigo Heavy!
 
Ujinga ni kuamini kila upuuzi unaoandikwa bila ushahidi wowote.

Mkuu, hata mimi siipendi CCM ingawa nimo humo ndani lakini hata siku moja siwezi kusimama hadharani kama wewe nakuongea uongo nikitaka watu waniamini.

Hizo nguo walizovaa zipo wapi? kama wewe umeziona kwa nini usiweke picha hapa?

Sisi siyo wajinga ama wapuuzi kwa kukurupukia kila jambo ambalo hatters wasio na dira wanalolisambaza.

Come clean, weka ushuhuda hapa na siyo blah blah za kitoto
 
Hapo vp?si walibamba??🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20240111-205831_1.jpg
    Screenshot_20240111-205831_1.jpg
    63.5 KB · Views: 2
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!


Karibia mataifa yote yanayojitambua (Mataifa ya watu weusi) yameenda au kuwasili Ivory Coast kwa kuwa na aina yake ya mavazi (Attire).

Tanzania tangia tumeenza mchakato wa kupata Vazi la Taifa lililoratibiwa na serikali ya wendawazimu (ccm) hadi leo hatuelewi ni kitu gani kimelikumba jambo hilo!

Wakati nchi nyingine zinazojitambua zinapowakilisha mavazi rasmi ya mataifa yao,kiukweli kumekuwa na mvuto wa aina yake na kuwa kivutio!

Ni Tanzania pekee taifa la wendawazimu ndilo linalotia aibu huko kutokana na kuvaa Vinjunga kama avaavyo jamaa moja jinga kutokea huko Butiama!


Kiukweli mimi naombea Taifa Stars timu ya Samia na machawa wake ipokeee kipigo cha mbwa koko huko Côte d'Ivore kiasi kwamba hadi ichanganyikiwe!

Nitakuwa mwenye furaha mno kuona timu ya Taifa la Tanzania ikipokea vipigo Heavy!
Acheni roho mbaya na uchawi.

Kila laheri Taifa Stars
 
Mbona wapo vizuri tu .. 🙄
 

Attachments

  • FB_IMG_17049971951778497.jpg
    FB_IMG_17049971951778497.jpg
    33.3 KB · Views: 2
  • FB_IMG_17049972163187305.jpg
    FB_IMG_17049972163187305.jpg
    42.8 KB · Views: 3
  • FB_IMG_17049972278621701.jpg
    FB_IMG_17049972278621701.jpg
    29.5 KB · Views: 1
Back
Top Bottom