UMUGHAKA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2021
- 2,157
- 10,718
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!
Karibia mataifa yote yanayojitambua (Mataifa ya watu weusi) yameenda au kuwasili Ivory Coast kwa kuwa na aina yake ya mavazi (Attire).
Tanzania tangia tumeenza mchakato wa kupata Vazi la Taifa lililoratibiwa na serikali ya wendawazimu (ccm) hadi leo hatuelewi ni kitu gani kimelikumba jambo hilo!
Wakati nchi nyingine zinazojitambua zinapowakilisha mavazi rasmi ya mataifa yao,kiukweli kumekuwa na mvuto wa aina yake na kuwa kivutio!
Ni Tanzania pekee taifa la wendawazimu ndilo linalotia aibu huko kutokana na kuvaa Vinjunga kama avaavyo jamaa moja jinga kutokea huko Butiama!
Kiukweli mimi naombea Taifa Stars timu ya Samia na machawa wake ipokeee kipigo cha mbwa koko huko Côte d'Ivore kiasi kwamba hadi ichanganyikiwe!
Nitakuwa mwenye furaha mno kuona timu ya Taifa la Tanzania ikipokea vipigo Heavy!
Karibia mataifa yote yanayojitambua (Mataifa ya watu weusi) yameenda au kuwasili Ivory Coast kwa kuwa na aina yake ya mavazi (Attire).
Tanzania tangia tumeenza mchakato wa kupata Vazi la Taifa lililoratibiwa na serikali ya wendawazimu (ccm) hadi leo hatuelewi ni kitu gani kimelikumba jambo hilo!
Wakati nchi nyingine zinazojitambua zinapowakilisha mavazi rasmi ya mataifa yao,kiukweli kumekuwa na mvuto wa aina yake na kuwa kivutio!
Ni Tanzania pekee taifa la wendawazimu ndilo linalotia aibu huko kutokana na kuvaa Vinjunga kama avaavyo jamaa moja jinga kutokea huko Butiama!
Kiukweli mimi naombea Taifa Stars timu ya Samia na machawa wake ipokeee kipigo cha mbwa koko huko Côte d'Ivore kiasi kwamba hadi ichanganyikiwe!
Nitakuwa mwenye furaha mno kuona timu ya Taifa la Tanzania ikipokea vipigo Heavy!