Tanzania imeshindwa kutoa tenda kwa makampuni makubwa kutengeneza jezi za Taifa Stars?

gstar

JF-Expert Member
Jun 19, 2011
759
1,250
Hivi Tanzania kupitia TFF imeshindwaje kutoa tenda kwa makampuni makubwa yenye brand zinazofahamika ili kutengeneza jezi za timu ya Taifa (Taifa stars) badala ya ilivyo sasa jezi kutengenezwa na Sandaland the only one!

Wakati mataifa mengine ya Africa yaking'ara kwenye AFCON na nembo za jezi kama Nike, Puma, Adidas, n.k. sisi tumempa tenda Sandaland the only one.

Ningependekeza tuachane na huo umasikini kama taifa tuko mbele zaidi ya hapo. Tutengeneze vifaa vya michezo vyenye hadhi ya kimataifa kupitia kwa makampuni makubwa yenye uzoefu.
 
Hivi Tanzania kupitia TFF imeshindwaje kutoa tenda kwa makampuni makubwa yenye brandy zinazofahamika ili kutengeneza jezi za timu ya Taifa (Taifa stars) badala ya ilivyo sasa jezi kutengenezwa na Sandaland the only one....
Hizo Kampuni ndio zinalipa Timu kutengeneza jezi, atakaelipa dau kubwa ndio anapewa Tenda, Adidas waliwahi kuwa watengenezaji wa jezi wa muda Taifa stars lakini wakashindwa kuingia makubaliano.

Pia sioni ubaya kupewa mzawa hio Tenda.
 
Tatizo Lina anzia katika ngazi ya familia.

Kama hakuna team yoyote ya ndani inayovalishwa na hizo kampuni tajwa unadhani ngazi ya kitaifa itakuaje?
Nina uhakika kama team za kariakoo zingekuwa zinavalishwa na kampuni hizo tajwa basi na Taifa stars ingekua hivyo hivyo.
 
Hivi Tanzania kupitia TFF imeshindwaje kutoa tenda kwa makampuni makubwa yenye brandy zinazofahamika ili kutengeneza jezi za timu ya Taifa (Taifa stars) badala ya ilivyo sasa jezi kutengenezwa na Sandaland the only one!

Wakati mataifa mengine ya Africa yaking'ara kwenye AFCON na nembo za jezi kama Nike, Puma, Adidas, n.k. sisi tumempa tenda Sandaland the only one.

Ningependekeza tuachane na huo umasikini kama taifa tuko mbele zaidi ya hapo. Tutengeneze vifaa vya michezo vyenye hadhi ya kimataifa kupitia kwa makampuni makubwa yenye uzoefu.
Si mpenzi wa kuvaa hizo nguo lkn ile waliyoivaa siku wanacheza na Misri match ya kirafiki hata nikiikuta imeanikwa kwenye kamba yangu bila kujua ni ya nani naichoma moto. Jezi ni mbaya kwa muonekano mpaka inazidiwa na enzi za FAT.
 
Hivi Tanzania kupitia TFF imeshindwaje kutoa tenda kwa makampuni makubwa yenye brandy zinazofahamika ili kutengeneza jezi za timu ya Taifa (Taifa stars) badala ya ilivyo sasa jezi kutengenezwa na Sandaland the only one!

Wakati mataifa mengine ya Africa yaking'ara kwenye AFCON na nembo za jezi kama Nike, Puma, Adidas, n.k. sisi tumempa tenda Sandaland the only one.

Ningependekeza tuachane na huo umasikini kama taifa tuko mbele zaidi ya hapo. Tutengeneze vifaa vya michezo vyenye hadhi ya kimataifa kupitia kwa makampuni makubwa yenye uzoefu.
=brand

(brandy) ni kilevi fulani.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
TFF wanahomolaaaa mwisho mwisho.....maana bye bye.....wanahaha ubunge mwingine Tanga mwingine Kigoma
 
Hivi Tanzania kupitia TFF imeshindwaje kutoa tenda kwa makampuni makubwa yenye brandy zinazofahamika ili kutengeneza jezi za timu ya Taifa (Taifa stars) badala ya ilivyo sasa jezi kutengenezwa na Sandaland the only one!

Wakati mataifa mengine ya Africa yaking'ara kwenye AFCON na nembo za jezi kama Nike, Puma, Adidas, n.k. sisi tumempa tenda Sandaland the only one.

Ningependekeza tuachane na huo umasikini kama taifa tuko mbele zaidi ya hapo. Tutengeneze vifaa vya michezo vyenye hadhi ya kimataifa kupitia kwa makampuni makubwa yenye uzoefu.
Hivi unakijua unachozungumza?
 
Ningependekeza tuachane na huo umasikini kama taifa tuko mbele zaidi ya hapo. Tutengeneze vifaa vya michezo vyenye hadhi ya kimataifa kupitia kwa makampuni makubwa yenye uzoefu.
Hamna mtengenezaji mwingine wa jezi ya Uingereza isipokuwa Umbro.

Ni lazima tujivunie vya kwetu tutakuwa watumwa wa Puma, Adidas, Nike na Rebook hadi lini?
 
TFF wanahomolaaaa mwisho mwisho.....maana bye bye.....wanahaha ubunge mwingine Tanga mwingine Kigoma
Kwa mtu anayefuatilia Mpira wa Tanzania halafu leo unailaumu TFF ya Karia utakuwa na Chuki binafsi. TFF hii imetangaza sana na kukuza soka letu? Jiulize tulishiriki lini AFCON? Hata hao Yanga mnaokesha kumsagia kunguni Karia mlikuwa hamjawahi shinda mchezo wowote wa Makundi ya Klabu Bingwa ila leo 2023 mlipata dhidi ya Medeama, Mmecheza Fainali ya Loosers, Simba kafika Robo Fainali ya CAF mara 5, Super League kacheza, Timu za Wanawake zimecheza ngazo zote leo Uje uwaponde TFF?
KARIA kamwacha mbali sana MALINZI, TENGA nk hawakuwa na ushawishi.
Tusisubiri mtu afe ndio tumsifie, Karia is the best kwenye awamu zake.
 
Hivi Tanzania kupitia TFF imeshindwaje kutoa tenda kwa makampuni makubwa yenye brandy zinazofahamika ili kutengeneza jezi za timu ya Taifa (Taifa stars) badala ya ilivyo sasa jezi kutengenezwa na Sandaland the only one!

Watu hawajali jezi ni biashara ya ela nyingi Tff itapata pato kubwa wanaangalia faida yao tu .

Na Kama sio 10% na unazi , ubunifu wao katika uendeshaji tff ni duni

Wakati mataifa mengine ya Africa yaking'ara kwenye AFCON na nembo za jezi kama Nike, Puma, Adidas, n.k. sisi tumempa tenda Sandaland the only one.

Ningependekeza tuachane na huo umasikini kama taifa tuko mbele zaidi ya hapo. Tutengeneze vifaa vya michezo vyenye hadhi ya kimataifa kupitia kwa makampuni makubwa yenye uzoefu.
Sio umaskini ! Futa hayo mawazo ya kudanganywa kuwa ni umaskini .
Kwahiyo Zambia wanaotumia Nike au Tunisia wanaotumia kappa au Guinea wanaotumia puma ni matajiri kuliko Tanzania Tff.

Hapo ni mambo ya 10% labda na unazi

Na Kama sio 10% na unazi , ubunifu katika uendeshaji Tff ni zero.

Jezi ni biashara nzuri pale inaponunuliwa na ili inunuliwe kwa wingi lazima iwe ya Kiwango .
 
Kwa mtu anayefuatilia Mpira wa Tanzania halafu leo unailaumu TFF ya Karia utakuwa na Chuki binafsi. TFF hii imetangaza sana na kukuza soka letu? Jiulize tulishiriki lini AFCON? Hata hao Yanga mnaokesha kumsagia kunguni Karia mlikuwa hamjawahi shinda mchezo wowote wa Makundi ya Klabu Bingwa ila leo 2023 mlipata dhidi ya Medeama, Mmecheza Fainali ya Loosers, Simba kafika Robo Fainali ya CAF mara 5, Super League kacheza, Timu za Wanawake zimecheza ngazo zote leo Uje uwaponde TFF?
KARIA kamwacha mbali sana MALINZI, TENGA nk hawakuwa na ushawishi.
Tusisubiri mtu afe ndio tumsifie, Karia is the best kwenye awamu zake.
Kwa upande wa Yanga Fc Karia hana mchango wowote chanya zaidi ya kutukandamiza kila anapopata nafasi. Karia alikuwepo kipindi Yanga inatembeza bakuli alifanya nini kutusaidia? Kama unataka kutoa sifa kwa mafanikio ya Yanga hasa ndani ya miaka hii 2 basi elekeza sifa hizo kwa Hersi, GSM na mashabiki wa Yanga Fc.

Kinyume chake mafanikio ya Simba Sc kuchukua ubingwa miaka 4 mfululizo ilikuwa ni matokeo ya kazi kubwa ya Karia. Hapa naungana na wewe sifa ziende kwake.

Timu ya taifa imepata bahati tu kwenda AFCON, bado tunacheza vibaya sana.
 
Si mpenzi wa kuvaa hizo nguo lkn ile waliyoivaa siku wanacheza na Misri match ya kirafiki hata nikiikuta imeanikwa kwenye kamba yangu bila kujua ni ya nani naichoma moto. Jezi ni mbaya kwa muonekano mpaka inazidiwa na enzi za FAT.
Pale sunderland alibugi ile design ingefaa kuwa jezi za timu ya taifa ya Rwanda
 
Back
Top Bottom