Timu ya kampeni ya Dr. Magufuli yasambaratika

Timu ya kampeni ya Dr. Magufuli yasambaratika

Yule mwingine akijaribu, si yeye tu atabadilisha suruari bali team nzima ya kampeni lazima watabadilisha mavazi maana atawachafua.

Yaani kweli mtu mzima na akili zako unatukana au kuandika kitu km hiki ili kiwe nn? Hivi kampeni za bila kuchafuana na lugha km hizi haiwezekani? Mbaya zaidi mnaemtukana na kumchafua hajawajibu tangu muanze, hivi hamjistukii?

Ama kweli safari ni ndefu
 
Hahaha Angela kairuki simuoni kwenye campaign kabaki anaambatana na lukuvi kwenye mambo ya viwanja😂😂😂😅😅

Unajua Nashangaa, mbona lukuvi simsikii?


Au ndo wenye akili wameweka akiba ya maneno! Manaake bado mambo hayasomeki
 
SIRI NZITO ZA KAMPENI CCM ZAFICHUKA.



Hakuna siri ya watu wawili au zaidi, hili limethibitika ndani ya CCM baada ya mambo mazito kuibuka hivi karibuni kwenye kampeni za chama cha mapinduzi CCM.

Mnajua ni kwanini Magufuli na Samia wamebaki wapweke kwenye kampeni?
Mnajua kwanini Janauary Makamba anahangaika kuleta propaganda kwa kasi kubwa kuliko wana CCM wengine?

Najua wengi hatujui ni kwanini? Lakini kupitia mmoja wa wajumbe wa kamati ya kampeni ndani ya CCM ukweli umejulikan, umewekwa wazi.

Mh Mwigulu, Mh Mkapa,na viongozi wengine mashuhuri wa CCM wamemsusia Mgombea urais kupitia CCM Dr John Pombe Magufuli kwasababu nyingi sana, mojawapo ya sababu hizo ni kwamba mgombea huyo hashauriki kabisa, habebeki ,anasema John Pombe magufuli anaona yeye anajua kila kitu zaidi ya wenye chama, pia ameonekana kuwa hakipaishi chama hata kidogo zaidi ameamua kujipaisha yeye peke yake.

Hali hii imewapelekea viongozi hawa kususia kabisa kampeni za mgombea urais huyo, lakinj pia mnyetishaji wetu kasema kuwa Mkapa toka alipozomewa Kagera kutokana na kauli yake ya kuwadharau wa Tz Basi kaamua kukaa mbali kabisa ili kulinga heshima yake kwa mataifa ya nje.

Lakini pia inasemekana kuwa mgombea uraisi huyo kawagomea baadhi ya waliotakiwa kuwa naye kwenye kampeni kwa sababu zake binafsi ambazo hazijawekwa wazi lakini mnyetishaji huyo alisema pia tabia za baadhi yao kutumia lugha chafu kwenye mkutano ni kikwazo kikubwa kwa mgombea huyo.

Lakini pia mnyetishaji wetu katueleza kuwa hadi sasa wapo hovyo kifedha japo inasemekana kuwa walichukua 40% ya bajeti kila wizara ili kusaidia kampeni. Amedai kuwa wameishiwa fedha kutokana na matumizi mabovu ya fedha hizo. Inasemekana kuwa kuna wengine wanaiba fedha za kampeni na kufanyia mambo yao na kumpa wakati mgumu mgombea wa ccm na msaidizi wake katika kufanikisha adhima yao.

Alidai kuwa mmoja wa wana team ya kampeni anayeungwa mkono na katibu wa CCM na Familia ya Jk kwa nguvu zote amekuwa akizitumia pesa nje ya makubaliano ya team hii imetokana na lengo lake la kujiimarisha yeye kisiasa.Na hii ndio sababu kuu za mmoja huyo kutumia nguvu kubwa kwenye kampeni hizi kupitia media na mitandao ya kijamii.

Mnyetishaji huyo alimtaja January Makamba kuwa anatengeneza mazingira ya kuwa waziri Mkuu endapo Magufuli atashinda na pia mazingira ya urais 2025,ametajwa kuwa mmoja wa wanaotengeza genge dogo ndani ya chama hicho.

Anatumia pesa nyingi kwenye wizara yake kwa ajili ya kuhakikisha umma unapotoshwa, kama alivyofanya kupitia kwa watafiti kama vile Taasisi ya Twaweza na nyinginezo na wasanii mbalimbali.

Hali hii mbaya imemfanya mkuu wa kaya kukimbilia nchi za nje.
Katika mazingira haya ya utata ambapo hadi sasa Mgombea urais amekuwa akiongozana na Bulembo ambaye ameonekana pia kuvuruga kampeni kwa kufanya siasa za 1995 kipindi hiki cha watu wenye uelewa, anapelekea kuzomewa kwa mikutano yao.

Mtoa taarifa kasema hali imakua mbaya kila siku, hali inayomkatisha tamaa Magufuli, alisema hali hii ikiendelea kuna uwezekano mkubwa sana Dr. JOHN POMBE MAGUFULI anaweza kujiengua na kusubili huruma ya Lowassa ateuliwe tu kuwa Waziri Mkuu au waziri wa wizara aliyopo hadi sasa.

Nitaendelea kuwapa taarifa kadri nitakavyozipata toka kwa mmoja wa waliopo kwenye team ya kampeni za magufuli.

kujiengua haiweekani..
 
Yaani kweli mtu mzima na akili zako unatukana au kuandika kitu km hiki ili kiwe nn? Hivi kampeni za bila kuchafuana na lugha km hizi haiwezekani? Mbaya zaidi mnaemtukana na kumchafua hajawajibu tangu muanze, hivi hamjistukii?

Ama kweli safari ni ndefu

mpenzi kukaa kimya ndio jibu la mjingaaa....!!!
wanatamni wajibiwe ila bahati hyo hawaipati!
 
SIRI NZITO ZA KAMPENI CCM ZAFICHUKA.


Hakuna siri ya watu wawili au zaidi, hili limethibitika ndani ya CCM baada ya mambo mazito kuibuka hivi karibuni kwenye kampeni za chama cha mapinduzi CCM.

Mnajua ni kwanini Magufuli na Samia wamebaki wapweke kwenye kampeni?
Mnajua kwanini Janauary Makamba anahangaika kuleta propaganda kwa kasi kubwa kuliko wana CCM wengine?

Najua wengi hatujui ni kwanini? Lakini kupitia mmoja wa wajumbe wa kamati ya kampeni ndani ya CCM ukweli umejulikan, umewekwa wazi.

Mh Mwigulu, Mh Mkapa,na viongozi wengine mashuhuri wa CCM wamemsusia Mgombea urais kupitia CCM Dr John Pombe Magufuli kwasababu nyingi sana, mojawapo ya sababu hizo ni kwamba mgombea huyo hashauriki kabisa, habebeki ,anasema John Pombe magufuli anaona yeye anajua kila kitu zaidi ya wenye chama, pia ameonekana kuwa hakipaishi chama hata kidogo zaidi ameamua kujipaisha yeye peke yake.

Hali hii imewapelekea viongozi hawa kususia kabisa kampeni za mgombea urais huyo, lakinj pia mnyetishaji wetu kasema kuwa Mkapa toka alipozomewa Kagera kutokana na kauli yake ya kuwadharau wa Tz Basi kaamua kukaa mbali kabisa ili kulinga heshima yake kwa mataifa ya nje.

Lakini pia inasemekana kuwa mgombea uraisi huyo kawagomea baadhi ya waliotakiwa kuwa naye kwenye kampeni kwa sababu zake binafsi ambazo hazijawekwa wazi lakini mnyetishaji huyo alisema pia tabia za baadhi yao kutumia lugha chafu kwenye mkutano ni kikwazo kikubwa kwa mgombea huyo.

Lakini pia mnyetishaji wetu katueleza kuwa hadi sasa wapo hovyo kifedha japo inasemekana kuwa walichukua 40% ya bajeti kila wizara ili kusaidia kampeni. Amedai kuwa wameishiwa fedha kutokana na matumizi mabovu ya fedha hizo. Inasemekana kuwa kuna wengine wanaiba fedha za kampeni na kufanyia mambo yao na kumpa wakati mgumu mgombea wa ccm na msaidizi wake katika kufanikisha adhima yao.

Alidai kuwa mmoja wa wana team ya kampeni anayeungwa mkono na katibu wa CCM na Familia ya Jk kwa nguvu zote amekuwa akizitumia pesa nje ya makubaliano ya team hii imetokana na lengo lake la kujiimarisha yeye kisiasa.Na hii ndio sababu kuu za mmoja huyo kutumia nguvu kubwa kwenye kampeni hizi kupitia media na mitandao ya kijamii.

Mnyetishaji huyo alimtaja January Makamba kuwa anatengeneza mazingira ya kuwa waziri Mkuu endapo Magufuli atashinda na pia mazingira ya urais 2025,ametajwa kuwa mmoja wa wanaotengeza genge dogo ndani ya chama hicho.

Anatumia pesa nyingi kwenye wizara yake kwa ajili ya kuhakikisha umma unapotoshwa, kama alivyofanya kupitia kwa watafiti kama vile Taasisi ya Twaweza na nyinginezo na wasanii mbalimbali.

Hali hii mbaya imemfanya mkuu wa kaya kukimbilia nchi za nje.
Katika mazingira haya ya utata ambapo hadi sasa Mgombea urais amekuwa akiongozana na Bulembo ambaye ameonekana pia kuvuruga kampeni kwa kufanya siasa za 1995 kipindi hiki cha watu wenye uelewa, anapelekea kuzomewa kwa mikutano yao.

Mtoa taarifa kasema hali imakua mbaya kila siku, hali inayomkatisha tamaa Magufuli, alisema hali hii ikiendelea kuna uwezekano mkubwa sana Dr. JOHN POMBE MAGUFULI anaweza kujiengua na kusubili huruma ya Lowassa ateuliwe tu kuwa Waziri Mkuu au waziri wa wizara aliyopo hadi sasa.

Nitaendelea kuwapa taarifa kadri nitakavyozipata toka kwa mmoja wa waliopo kwenye team ya kampeni za magufuli.

Hivi mnapoandikaga habari kama hizi huwa mpo chooni au geto la kunywea pombe ya moshi na viroba!?
 
Ila kumbuka wakati unashabikia hivyo Lowassa na Sumaye walikuwa kwenye hiyo hiyo serikali kwa zaidi ya miaka 30, tena

kwenye positions za juu kabisa.
Hao wametoka nje ili kusukuma gari,
wamegundua kwamba limezima na bila kutoka, hakuna safari tena.
waliobaki wanapingana na ukweli kwamba gari lililokwama
haijalishi umetoka nalo wapi sharti utoke nje ndo unaweza kulisukuma.
 
ha ha ccm wana strateji kali naona znawachanganya maadui hadi mnashndwa kujua upepo ukoje.phase one imeisha na team imemaliza kazi yaake.tusubiri phase two
 
Wananchi ningewaelewa sana kama wangekuwa wanataka mabadiliko chanya, na siyo haya tunayoyashabikia sasa.

Kulikuwa na watu ambao walianzisha UKAWA na walikuwa wana movements za ukweli na zenye maana na siyo hivi vituko

tunavyoviona sasa.
Unamaanisha akina nani?
Walengwa wamadhihirisha udhaifu wao
mmoja alisema alimpokea EL huku roho ikimsuta.sasa kama angepewa ikulu
angeuza nchi huku roho ikimsuta(HAFAI)
Mwingine anaendeshwa na mke wake kama gari bovu
.Mwl.Nyerere aliishakataa watu wanaoingia ikulu,wakafanyia kazi
mawazo waliyozungumza usiku na wake zako kwenye maamuzi ya kuendesha nchi(HAFAI)
Mungu alimleta EL kwa wakati na sasa ni yeye tu hana mpinzani ndani na nje ya UKAWA.
 
Mafisadi yamechanganyikiwa maana jamaa hana chakupoteza but they have..... Uncertainty imekuwa kubwa maisha baada ya October ni kitendawili.... Wengi hawakutegemea haya na hakuna anayefahamu imewezekanaje hawa kukosa grip ambayo waliweza kuwa nayo for the last 20 yrs....

My song... Tanzania njema is a must na kidogokidogo tutaelewana tu!
 
wizina ccm ni damudamu watu wamepiga bilion 1.7 za makufuli
 
Nimegundua ni kwanini watu wanataka mabadiliko hebu fikiria huko chemba running mate wa ccm anasema wagombea wana uchu wa raslimali za taifa, ndio maana nchi hii tunaendelea KUFILISIKA kwasababu ya uchu wao huo kiama chao 25.10.2015
 
Kama unavyoona, mimi sijakutukana bado. Wala sitakutukana. By the way hata siyo supporter wa mgombea yeyote, though ni mpenda mabadiliko sana!

Nimekuelewa ndugu yangu. Sisi watanzania ni kitu kimoja na wote tunataka mabadiliko chanya yatakayotupa maendeleo.

Hakuna sababu yoyote ya sisi kwa sisi kuchukiana na kutoleana maneno makali.
 
Hao wametoka nje ili kusukuma gari,
wamegundua kwamba limezima na bila kutoka, hakuna safari tena.
waliobaki wanapingana na ukweli kwamba gari lililokwama
haijalishi umetoka nalo wapi sharti utoke nje ndo unaweza kulisukuma.

Kwa jinsi walivyojitajirisha hawa jamaa na kuhondhi maeneo makubwa bado sijaona nia yao njema ya kuleta mabadiliko

zaidi ya kutaka kuendelea kuzidi kujitajirisha wakikamata nchi.
 
Unamaanisha akina nani?
Walengwa wamadhihirisha udhaifu wao
mmoja alisema alimpokea EL huku roho ikimsuta.sasa kama angepewa ikulu
angeuza nchi huku roho ikimsuta(HAFAI)
Mwingine anaendeshwa na mke wake kama gari bovu
.Mwl.Nyerere aliishakataa watu wanaoingia ikulu,wakafanyia kazi
mawazo waliyozungumza usiku na wake zako kwenye maamuzi ya kuendesha nchi(HAFAI)
Mungu alimleta EL kwa wakati na sasa ni yeye tu hana mpinzani ndani na nje ya UKAWA.

Kwa mtazamo wako upo sahihi, ila kwa mtazamo wangu mimi naona watanzania kwa kuichoka kwetu CCM tunataka kuipa

nchi kwa kundi fulani la watu ambao hata hao CCM waliwakataa.
 
Back
Top Bottom