Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,645
nahisi propaganda,
Why? Mbona magufuli anasema anajua Kuna wanaomhujumu, mchana wapo nae, usiku wapo na ukawa?
nahisi propaganda,
Ndoto za mchana mbaya hasa hasa ukiwa umekunywa pombe za ndizi ukichnganya na viloba ndio maana jina lako mwaipungu!!!
Ndoto za mchana mbaya hasa hasa ukiwa umekunywa pombe za ndizi ukichnganya na viloba ndio maana jina lako mwaipungu!!!
kuna taarifa kwamba bil 1.7 ya kampeni za magufuri imetoweka .
Labda m-k wako ndo umesambaratika.Umeambiwa na nani? je una uhakika? au unalopoka tu ili nawe uonekane unajua? nakupa poleeee...... usilolijua ni km ucku wa giza. so kama kitu hukijui tc better ukakaa kimya tuuu...Mzee wa kujinyea anaandaliwa nafasi kule gereza la segerea.