Timu ya kampeni ya Dr. Magufuli yasambaratika

Timu ya kampeni ya Dr. Magufuli yasambaratika

Kwa mtazamo wako upo sahihi, ila kwa mtazamo wangu mimi naona watanzania kwa kuichoka kwetu CCM tunataka kuipa

nchi kwa kundi fulani la watu ambao hata hao CCM waliwakataa.
Mwizi kukataa kujengwa kituo cha polisi hapo hakuna la ajabu.
fisim wanapoona mwenzao anataka kubadilika wanamzushia mengi
ili asiaminiwe na umma asije akavujisha siri.
Binafsi mtu akichukiwa na fisim mimi huyo naona ni mkombozi.

Ni sawa na majambazi,mwenzao akiwaaga kwamba anaenda kuokoka wapo
tayari kumuua maana wanaona atawaumbua.
Fikiria watu kama msukuma walivyokuwa wanamuunga mkono EL
kitendo cha EL kuama unaona wanamtukana matusi ya nguoni,
Je hao ndo wana nia ya kweli kuwatumikia watanzania?
 
Kama lowasa ameshindwa kukontrol kinyesi chake kitoke wakati gan na wakati gan kisitoke ataweza kweli kuzuia gesi yetu isitoke
Hahaha
 
Kama lowasa ameshindwa kukontrol kinyesi chake kitoke wakati gan na wakati gan kisitoke ataweza kweli kuzuia gesi yetu isitoke
Hahaha

Ukiitwa uthibitishe hili unaweza fanya hivyo au unatiririka tu??????
 
Ni Kama Ambavyo Sumaye Yeye Mwenyewe Tu Alishindwa Kutusua Kama Siyo Kutoboa Kwenda IKULU Pamoja Na Kujaribu Kwake Mara Mbili Bila Mafanikio Leo Na Yeye Ndiyo Kampeni Meneja Wa Muhanga Mwenzie Lowassa. Hivi Tangia Lini Maiti Akamsaidia Marehemu KUZINDUKA?

Unaweza kufananisha juhudi za kubaki nyumbani kwako na kwenda kukaa kwenye nyumba ambayo si yako? Udiwani unafananisha na urais? Kweli ccm mnatakiwa kupimwa akili.
 
C
Ukiitwa uthibitishe hili unaweza fanya hivyo au unatiririka tu??????

Hio iko wazi tanzania nzima hakuna asiejua kama lowasa aliji-nyea pale stand

Hio inaitwa
Matter ambayo haihitaji proof
Hata wadogo wanajua hilo

Ebu twende na mzalendo maguful
 
Na bado mwaka huu lazima tukingoe chama cha kijani
 
Na bado mwaka huu lazima tukingoe chama cha kijani

Naona bdo uko ndoton

Tarehe 25 October
Kengele ya kwanza ya kwenda ibadan waroman tayar lowasa atakuwa ashakatwa na watanzania wote
 
Na hii ni gud niuz...
Hawezi fungua mahakama ya mafisadi bila kujitenga na mafisadi...
Hilo ndio jeshi la mtu mmoja....
Subirini mabadiliko toka ndani...
Kila mnavyomuandika huyu JPM mnafanya tuso na vyama tuzidi kumuamini...
Tunataka rais independent ...asiyefungamana na matajiri wala mfumo...
 
Na hii ni gud niuz...
Hawezi fungua mahakama ya mafisadi bila kujitenga na mafisadi...
Hilo ndio jeshi la mtu mmoja....
Subirini mabadiliko toka ndani...
Kila mnavyomuandika huyu JPM mnafanya tuso na vyama tuzidi kumuamini...
Tunataka rais independent ...asiyefungamana na matajiri wala mfumo...

Juzi magufuli amekataa michango ya wafanya biashar
Ili asiwe na deni la kulipa fadhira

Lakin edo lowasa mzee wa stand ya chato
Ameitisha harambee kabisa
Dah
 
Wao kwa wao tu jukwaani wanapingana, sipati picha kwny izo kazi zao wanazosema.

VIVA UKAWA
VIVA Lowassa
 
Nimeambiwa kuwa ile ya kampeni ya CCM iliyoundwa kwa kumsaidia Dr. Magufuli na Mama Samia imesambaratika jana usiku baada ya kikao cha kimkakati. Nimearifiwa na mmoja wa wajumbe wa timu hiyo kuwa kusambaratika kwa timu hiyo kunatokana na sababu mbalimbali. Wapo wajumbe waliosusa baada ya kuona wananchi hawaelewi somo la CCM na kuielewa Ilani. Wananchi wamekuwa hawaelewi wanachoambiwa na sasa wajumbe wanaishiwa cha kusema.

Wapo wajumbe waliosusa kwakuwa wanatuhumiana, na hata na Dr. Magufuli mwenyewe, kuwa ni popo wa kisiasa. Wanaunga mkono harakati za wapinzani kwa kificho na kumharibia Dr. Magufuli majukwaani kwa kutamka maneno ya kukwaza na kukera yanayochochea hasira za wananchi dhidi ya wagombea wa CCM wa ngazi za Urais, Ubunge na Udiwani.

Wapo wajumbe waliosusa kutokana na kutotimiziwa matakwa yao hasa ya malipo kwa kila siku wanayoifanyia kazi. Wajumbe hao wamesema kuwa hawana muda wa kusubiri kulipwa baadaye kwakuwa uchaguzi ni bahati nasibu na lolote laweza kutokea. Wanasisitiza kulipwa marupurupu yao sasa kwa mujibu wa makubaliano ya kichama na kutoahidiwa kulipwa baada ya uchaguzi.

Wapo wajumbe waliosusa kwakuwa hawapewi uzito na umaarufu kama ilivyotarajiwa. Wanamlaumu Dr. Magufuli na viongozi waandamizi chamani, kwa mfano, kumuamini sana Abdallah Bulembo ambaye hana hadhi kichama, kisera na kihela kupewa nafasi ya kutawala majukwaa kama afanyavyo sasa. Wanalalama kuwa watu maarufu wamewekwa kando na sasa wanaanza kuota utando.

Sasa timu imesambaratika. Dr. Magufuli yuko njiapanda kikampeni. Itambidi kupambana kiume ili kuendelea kujieleza mbele ya wananchi. Apambane kivyake sasa na watakaobaki naye!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Nachojua UKAWA inakaribia kusambaratika, inakwisha. Mbatia hoi......
 
Mwizi kukataa kujengwa kituo cha polisi hapo hakuna la ajabu.
fisim wanapoona mwenzao anataka kubadilika wanamzushia mengi
ili asiaminiwe na umma asije akavujisha siri.
Binafsi mtu akichukiwa na fisim mimi huyo naona ni mkombozi.

Ni sawa na majambazi,mwenzao akiwaaga kwamba anaenda kuokoka wapo
tayari kumuua maana wanaona atawaumbua.
Fikiria watu kama msukuma walivyokuwa wanamuunga mkono EL
kitendo cha EL kuama unaona wanamtukana matusi ya nguoni,
Je hao ndo wana nia ya kweli kuwatumikia watanzania?

Mheshimiwa ukisema hivyo jaribu pia kukumbuka tulichoaminishwa na Makamanda wa Chadema tangu kipindi hicho. Sijui

unakumbuka alichokuwa anasema Lissu juu EL? Kamanda Mbowe juu ya Lowassa, Kamanda Mchungaji Msigwa juu ya

Lowassa, Kamanda Dr. Slaa juu ya Lowassa, Kamanda Mnyika juu ya Lowassa. Ebu tuache ushabiki nenda kwenye youtube

kisha angalia jinsi hawa makamanda walivyokuwa wanatokwa mapovu kusema juu ya Lowassa, kisha hapo ndipo

utakapoelewa hawa wanasiasa wote ni njaa tu na ni wachache sana wenye nia njema ya wewe mwananchi wa kawaida

unayepiga kelele mitaani kuwapigia debe.

Hawa jamaa ni vigeugeu tena hawaaminiki hata kidogo, watu wamekaa wakabuni jinsi gani ya kututumia wananchi kwa

manufaa yao binafsi na kweli walifanikiwa kutuaminisha suala la ufisadi ambalo leo hawalizungumzii tena kwa sababu

wanaona kuna dalili ya wao kuingia Ikulu. Yaani ni aibu sana kuendelea kuwafanya wananchi wapumbavu kwa mtu kama

Mbowe au Lissu kusimama jukwaani na kuanza kumsafisha Lowassa ambaye waliutumia ufisadi wake kujipatia umaarufu

na kupumbaza watu wengi.
 
Kazikwanza hauna hoja ya Msingi Mbona huyo Dr. Slaa yuko CCM na alikuwa anajalibu kutudanganya na husemi chochote.
 
Back
Top Bottom