WayOut
JF-Expert Member
- Jun 18, 2015
- 752
- 173
Sishabikii haramu,ni mpumbavu tu hatajua nini ninachkieleza hapa.Haijalishi humpendi au unamchukia mtu kwa sababu zako binafsi,lakini bado kuna UTU na UBINADAMU.Kuna wengine hata shetani atatukana siku ya mwisho kwamba yeye hakututuma,basi tusifike huko.
Usilolijua ni kama usiku wa Kiza.Nani alijua yule kijana Katibu wa CCM wilaya ya Ilala angekufa juzi??Mbona bado kijana na afya tele??Kwanini asiwe huyu tunayemtukana majukwaani na mitandaoni???
Jamani UTU na UBINADAMU,UHAI na UZIMA atoaye ni aliyetuumba.
Leo akija akisema ajidhaniaye msafi na atupe mawe kumponda Lowassa hakika kuna watu tutarudi nyuma kwa kasi ya ajabu.
Tujufunze haya yaliyotokea,wote waliowatukana watu kwa umri na udhaifu wao leo hawapo duniani au hali zao ni Mbaya zaidi kuliko za waliyemchora na kumdhihaki,Mama Celina Kombani,John Komba,huyu Katibu wa CCM wilaya ya Ilala Charles,yule mwigizaji wa ze-Comedy akak Vengu tujiulize kwanini iwe hivyo???
Kuna somo linatutaka tulifuate,Mungu ndiye muweza na anayemjua kila mmoja wake usafi na uchafu wake.Yawezekana UCHAFU wa Lowassa ni mdogo sana kulinganisha na UCHAFU wa wengine.
Ninapenda UTU,HESHIMA,na UBINADAMU maana hivi vyote vyatoka kwa aliyetuumba
notice kama ya baba mwenye nyumba!