rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 17,275
- 24,137
Supersport wamekaa kibiashara zaid wao ndio wameipromoti sana EPL kama wangekuwa wanapromoti league nyingine tungeweza kuona wachezaji wazuri zaidi ukweli timu ya uefa imechaguliwa vizuri ya fifa sijui walitumia vigezo gani kuwaweka watu kama Dan Alves wakaacha watu kama Philip lahm