Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,914
- 6,029
Barcelona iliyoundwa na Valdes golini.
Mabeki kama Dani Alves, Puyol, Mascherano na Eric Abidal.
Viungo walikuwepo Sergio Busquets, Xavi na Mtaalam Iniesta.
Safu ya ushambuliaji ikiongozwa na Leo Messi, David Villa na Thiery Henry.
Pia benchi unawakuta akina Pique, Keita, Pedro, Bojan, na wengineo.
Hiki kwa upande wangu ndio kikosi bora kwa ngazi ya klabu kuwahi kutikisa ulimwengu. Man Utd walifungwa Fainal mbili za Uefa.
Real Madrid walikuwa wakinyanyaswa mno, Messi angeweza kupiga chenga ukuta mzima wa Madrid yenye Xabi Alonso, Sami Khedira, Pepe, Sergio Ramos na angefunga pasipo na wasiwasi.
Iniesta angeweza kuvunja mistari miwili ya timu pinzani na akatoa assist maridadi.
Xavi angeweza ku-dictate tempo ya mchezo kwa dakika 90 huku akiweza kupiga pasi nyingi kuliko timu pinzani kwa ujumla.
David Villa angeweza kuzungusha michomo fulani ba kumuacha kioa asijue la kufanya.
Udhaifu mkubwa wa timu hii ilikuwa safu yao ya ulinzi.
Mabeki kama Dani Alves, Puyol, Mascherano na Eric Abidal.
Viungo walikuwepo Sergio Busquets, Xavi na Mtaalam Iniesta.
Safu ya ushambuliaji ikiongozwa na Leo Messi, David Villa na Thiery Henry.
Pia benchi unawakuta akina Pique, Keita, Pedro, Bojan, na wengineo.
Hiki kwa upande wangu ndio kikosi bora kwa ngazi ya klabu kuwahi kutikisa ulimwengu. Man Utd walifungwa Fainal mbili za Uefa.
Real Madrid walikuwa wakinyanyaswa mno, Messi angeweza kupiga chenga ukuta mzima wa Madrid yenye Xabi Alonso, Sami Khedira, Pepe, Sergio Ramos na angefunga pasipo na wasiwasi.
Iniesta angeweza kuvunja mistari miwili ya timu pinzani na akatoa assist maridadi.
Xavi angeweza ku-dictate tempo ya mchezo kwa dakika 90 huku akiweza kupiga pasi nyingi kuliko timu pinzani kwa ujumla.
David Villa angeweza kuzungusha michomo fulani ba kumuacha kioa asijue la kufanya.
Udhaifu mkubwa wa timu hii ilikuwa safu yao ya ulinzi.