Unaposema asili ya Mwanadamu ni Afrika una maanisha nini ? Yaani unamzungumzia Adamu au nani ?Kama imeshindikana kabisa kuficha kuwa asili ya mwanadamu ni Afrika. Basi huyu mwafrika kabeba siri kubwa kwenye uumbaji na kikomo cha kuwa... Sasa kuko wapi kushindwa kwake?
Na kipi kimekujulisha kwamba asili ya mwanadamu ni Afrika. ?