Kuna uwezekano wa akili ku-operate sawasawa ukiwa umelala? How do we dream our future? How do we get revelation/healing in dreaming?

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Aug 1, 2014
2,553
2,992
Sayansi inatuambia kuwa ulimwengu wa ndoto ni matokeo ya fikra na akili yako wakati ulipokuwa unafanya shughuli zako za kila siku,akili zetu hugeuka camera na kudaka baadhi ya matukio na kuyasave katika ubongo hivyo tunavyopata muda wa kujipumzisha ndivyo akili inapata kurejelea zile kumbukumbu ilizonasa ambapo huchukua kila neno/hatua ambayo inafanya matokeo yake huchakata na kukupa data kamili kupitia ulimwengu wa ndoto.

Mbali na Sayansi,imani imekuwa na maoni tofauti kuhusu ndoto wao huamini kuwa ndoto ni mkusanyiko mawazo lakini pia huambatana na uponyaji, pamoja na maono makubwa yanayokwenda kutokea mbeleni,mfano wametoa kisa cha nabii Yusuf kama rejelea yao kuhusu ndoto na matokeo yake,mbali na nabii huyo kuna Nabii kama YAKOBO na wengi neo wengi waliyopokea maono katika njia ya ndoto.

Swali litabakia je,katika mambo ya ndoto akili yetu inaweza kuamini katika sayansi?wakati ndoto hutupa maana zaidi ambayo imejijenga katika imani!!
 
Ukienda juu zaidi ya imani ambapo ndipo alipo Muumba yaani upendo usiobagua (1korintho 13:13) ambaye anaishi ndani yako(Isaya 57:15,ufunuo 21:3) ukikubali msamaha wake wa bure (Isaya 43:25),

Utakuwa na level kubwa mno ya kujitambua na kujielewa na kufahamu uumbaji kwa mapana yake,so kwa level hiyo hata ukilala unakuwa unajitambua hawezi kuja mtu na maarifa akakuingia kama wafanyavyo wanga,wanajimu,wachawi,falme na mamlaka,mizimu etc.

Hapo ndipo unaweza kuonyeshwa na Muumba mengi yasioonekana kwa macho hata kabla hayajatokea.
 
Sayansi inatuambia kuwa ulimwengu wa ndoto ni matokeo ya fikra na akili yako wakati ulipokuwa unafanya shughuli zako za kila siku,akili zetu hugeuka camera na kudaka baadhi ya matukio na kuyasave katika ubongo hivyo tunavyopata muda wa kujipumzisha ndivyo akili inapata kurejelea zile kumbukumbu ilizonasa ambapo huchukua kila neno/hatua ambayo inafanya matokeo yake huchakata na kukupa data kamili kupitia ulimwengu wa ndoto.

Mbali na Sayansi,imani imekuwa na maoni tofauti kuhusu ndoto wao huamini kuwa ndoto ni mkusanyiko mawazo lakini pia huambatana na uponyaji, pamoja na maono makubwa yanayokwenda kutokea mbeleni,mfano wametoa kisa cha nabii Yusuf kama rejelea yao kuhusu ndoto na matokeo yake,mbali na nabii huyo kuna Nabii kama YAKOBO na wengi neo wengi waliyopokea maono katika njia ya ndoto.

Swali litabakia je,katika mambo ya ndoto akili yetu inaweza kuamini katika sayansi?wakati ndoto hutupa maana zaidi ambayo imejijenga katika imani!!
Mpaka sasa hakuna Ugunduzi Rasmi wa Kisayansi ambao unaeleza kwa uwazi namna jinsi Ndoto Inavyofanyika (Dreaming Mechanism).
 
Kwenye ndoto huwa tunaota Hadi majibizano, mfano mnaota mnafanya mazungumzo na MTU mmoja au zaidi, na wale unafanya nao mazungumzo wanakujibu kabisa na mnaelewana. Hilinsuala huwa linanishangaza Sana.
 
Sayansi inatuambia kuwa ulimwengu wa ndoto ni matokeo ya fikra na akili yako wakati ulipokuwa unafanya shughuli zako za kila siku,akili zetu hugeuka camera na kudaka baadhi ya matukio na kuyasave katika ubongo hivyo tunavyopata muda wa kujipumzisha ndivyo akili inapata kurejelea zile kumbukumbu ilizonasa ambapo huchukua kila neno/hatua ambayo inafanya matokeo yake huchakata na kukupa data kamili kupitia ulimwengu wa ndoto.

Mbali na Sayansi,imani imekuwa na maoni tofauti kuhusu ndoto wao huamini kuwa ndoto ni mkusanyiko mawazo lakini pia huambatana na uponyaji, pamoja na maono makubwa yanayokwenda kutokea mbeleni,mfano wametoa kisa cha nabii Yusuf kama rejelea yao kuhusu ndoto na matokeo yake,mbali na nabii huyo kuna Nabii kama YAKOBO na wengi neo wengi waliyopokea maono katika njia ya ndoto.

Swali litabakia je,katika mambo ya ndoto akili yetu inaweza kuamini katika sayansi?wakati ndoto hutupa maana zaidi ambayo imejijenga katika imani!!
Waislam tukicheza na kukaa kimya tutakosa janah na firdaus siku ya qymah. Haiwezekani Iran na shia wawadhalilishe na kuwatukana maswahaba. Haiwezekani hawa makafir Iran na Shia wamuite mke wa kipenzi chetu Kahaba. Halafu ummah wa uislamu umekaa kimya tu. La hasha sojood inatakikana kwa sana.
 
Kuna siku niliota ndugu zangu wa kike wawili wameenda kwenye mkutano wa injili, wakiwa kule wakaanza kunisema. Nilisikia MAONGEZI yao yoote. Kesho yake mmoja wao akanipigia simu, akaniambia jana walikua kwenye mahubiri na wakiwa huko "walinikumbuka sana"😆😆😆 nikapata uthibitisho wa nilichokiota. Maana pia maongezi waliokuwa wakiyaongea yalikuwa ni kitu kilichotokea kweli.
Nilichojifunza (sijui kama ni sahihi au la) nafsi ya mtu ina uwezo wa kusafiri nje ya mwili, tukiwa tumelala, ikatafuta taarifa na kutuletea kwa njia ya ndoto. Taarifa hizo zaweza kuwa past, present au future events.
 
Ukienda juu zaidi ya imani ambapo ndipo alipo Muumba yaani upendo usiobagua (1korintho 13:13) ambaye anaishi ndani yako(Isaya 57:15,ufunuo 21:3) ukikubali msamaha wake wa bure (Isaya 43:25),

Utakuwa na level kubwa mno ya kujitambua na kujielewa na kufahamu uumbaji kwa mapana yake,so kwa level hiyo hata ukilala unakuwa unajitambua hawezi kuja mtu na maarifa akakuingia kama wafanyavyo wanga,wanajimu,wachawi,falme na mamlaka,mizimu etc.

Hapo ndipo unaweza kuonyeshwa na Muumba mengi yasioonekana kwa macho hata kabla hayajatokea.
ahsante sana,kwa uchambuzi
 
Kuna siku niliota ndugu zangu wa kike wawili wameenda kwenye mkutano wa injili, wakiwa kule wakaanza kunisema. Nilisikia MAONGEZI yao yoote. Kesho yake mmoja wao akanipigia simu, akaniambia jana walikua kwenye mahubiri na wakiwa huko "walinikumbuka sana"😆😆😆 nikapata uthibitisho wa nilichokiota. Maana pia maongezi waliokuwa wakiyaongea yalikuwa ni kitu kilichotokea kweli.
Nilichojifunza (sijui kama ni sahihi au la) nafsi ya mtu ina uwezo wa kusafiri nje ya mwili, tukiwa tumelala, ikatafuta taarifa na kutuletea kwa njia ya ndoto. Taarifa hizo zaweza kuwa past, present au future events.
kwahy ni nafsi au akili pengine viumbe from no where?
 
Kwenye ndoto huwa tunaota Hadi majibizano, mfano mnaota mnafanya mazungumzo na MTU mmoja au zaidi, na wale unafanya nao mazungumzo wanakujibu kabisa na mnaelewana. Hilinsuala huwa linanishangaza Sana.
mie ninayo kawaida ya kuota kuwa naongea na mtu ila nakuwa nipo active sana kwenye majibu ya huyo mtu labda ananiomba kitu fulani mie nakuwa najua kuwa huyu ananiomba sababu anashida flani au anataka kunifanya kitu fulani.
 
Back
Top Bottom