Time travel na ufunuo wa ufufuko

hyo inamtokeaga ata dada angu ambae kama mapacha wa nje
na kuna wakat nikiwaza kitu cha hatari huwa akinitokei ata kma nakoelekea kuna hatar hyo imeniokoa katika mambo meng sana haswa nlipokua shule mpka chuo ila nkiwa na kitu 100% kufanikiwa akifanikiwi
 
na kuna wakat nikiwaza kitu cha hatari huwa akinitokei ata kma nakoelekea kuna hatar hyo imeniokoa katika mambo meng sana haswa nlipokua shule mpka chuo ila nkiwa na kitu 100% kufanikiwa akifanikiwi
 
Alikuwa na mapepo ya kichawi ukitaka awe mchawi, tunajadili uchawi jaman?
FB_IMG_1657755434435.jpg
 
Kupatwa Kwa time travel!!!!!!!!
Hizi sayansi za kilozi na dini zinaelezeaje dhana ya muda...?
Kwasababu ili ujue kitu lzm ukifahamu kiundani.
Na ili uelewe time travel ni lazima uelewe space inakanuni zipi (the nature of space). Ktk dhana zako ulizoeleza hapo time travel hasa Kwa kurudi nyuma inawezekana kivipi..? (itakuwa vyema ukijibu kwa kina ukizingatia space).
Maada | Unafasi | Jicho Ona Kote na Mote | Wakati | Nishati

Vyote hivi ni MOJA.

... Vile kuweza kusema kwa mfano: 'Mungu yuko pahala pote' na tena kusema: 'Ufalme na Nguvu na Utukufu, viko naYe milele na milele'; kauli hizi mbili ni mbegu kwa ukweli rahisi, japo unaweza kutatiza akili za kawaida za sisi watu.

Mungu ni 'maada', 'unafasi', 'fahamu katika chochote na vyote', 'wakati' na 'nishati'... Ni tu bado kidogo elimu yetu ya kawaida ina ukomo katika uono na vina vya tafsiri. Hii ni ELIMU 1.0...

Milele na milele ni fanusi ya 'wakati'... Nguvu na Uweza ni fanusi ya 'Nishati'; nishati kwa tafsiri ya fizikia ni 'sehemu' tu ya 'ukweli mzima'...

Wenye jitihada za kutafuta kujua ilivyobora, wataanza kujinasibu na ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo; huu utaleta 'daraja' la maarifa kwa >'Ukweli Mzima'<...

Lakini tena, ELIMU 2.0 inatengeneza njia kwa ELIMU 3.0 ambavyo tutaanza kujinasibu na uwezo na karama zinazopitiliza kawaida -- hii kawaida ya 'akili ya nyama'...

Sahau unachofikiri unajua kuhusu fizikia, kemia, hisabati, jamii na mawezekano... ELIMU 1.0 bado ni 'danganya toto...'; ni 'kujua mambo kwa sehemu'--kule kufanania na 'kujuajua' lakini si kujua kamili... Tafuta 'ukamilifu' katika kujua, na basi usije kushangaa, nikujitafuta je, wewe mwenyewe u nani hasa?

Uzima wako ni fumbo katika 'Mungu'--wakati ni konjugali ya 'Mungu mwenyezi'; ukiwa na maarifa ya ELIMU 3.0, uwezo unafanyika kwako kufahamu hata yaliyo katika 'wakati mwingine', kwa kuwa kila mwenye usentienti--mwenyeufahamu, ana sonafi--hichi ni kitovu ambacho 'siri za nafsi zako' katika uwepo wako huku ama kule, kiwakati, zinaishi na kudumu... Na sahau unachofikiri kuhusu wakati... Akili ya nyama inadanganya, kule kuona 'matukio' yako kana 'yanatoka nyuma kwenda mbele'... Wakati, si kitu hasa cha namna hii--matukio ni tafsiri tu alama zinazoishi, ukibaini undani wa alama hizi unaweza hata 'kuathiri' mambo ya 'jana' na hata 'kesho' pasipo 'msababisho/msababishano'...

Na ndiyo, ukibarikiwa ufunuo, utashangazwa namna gani 'Sala ya Bwana' aliyofundisha Yesu ni lugha ya 'kutenda' pasipo 'matendo' na hali unajinasibu na 'athari' za mambo ya nyakati--riziki kwa wakati, kuvunja minyororo ya 'madeni', 'kuchagua ilivyo bora/yaani kuepushwa na fanusi ibilisi ndani yako' na hasa: 'Mema yasiyoonekana' yaje pia kama 'hapa na sasa'; ndani ya 'muktadha wa mambo ya mbingu na nchi'...

Utakuingia 'uono na ufikirifu mifumo' fasaha: Yesu ni mmoja wa watu hawa 'wakujinasibu na nyakati zote' kupitia 'Metafanusi'--'Uzima katika yote' ilivyo ni 'Mungu'... Hili halipasi kukushangaza, jiulize tu kwa nini kuna mambo, katika habari za simulizi za injili, zinaonesha kuwa aliweza kuyazungumza kana kwamba yatakuja kutukia mbele ya wakati, na tena kweli yanafanania: >'maarifa kuja kuongozeka', 'utapeli wa kidini'<--alionaje? Ni mambo ya metafizikia ya Elimu, ELIMU 3.0: Ilimu ilivyo ni metafizikia ya Elimu...

++++
0_0


Kwa ujumla, Urastafari hupinga mifumo japo mapokeo ya namna hii ama ile kiroho—mambo kama yale ya ‘jamii za kikuhani’ na ‘ibada’ ni yenye asili ya jamii za Kiafrika na pia ‘Mashariki ya kati’ yaani Uyuda—na Uhindu vilevile. Nyumba ya Nyahbinghi kwa mfano, ina asili ya ‘ngoma za maruhani’ za kimakabila ya Afrika, ambavyo vilevile mna desturi ya kuambatana na matumizi ya ‘mimea’ ama ‘pombe’ kwa ‘matambiko’. Urastafari, kupitia muingiliano wake na mapokeo kutokea kwa jamii ya Kihindu kule karibia ndilo limeleta ‘sakramenti’ ya matumizi ya ‘Ganja’ katika jamii inayoshiriki wakati wa miditisha ya kikundi cha watu wanaokaa pamoja. Kwa hivyo mahala pa ‘tambiko’ katika urasta huwa si tena jambo la ‘kupunga maruhani’ bali kutafuta ‘utulivu’ na amani ya JAH Rastafari kupitia sakramenti ya ‘Ganja’ na kushiriki furaha kwa wandugu katika Rastafari.

Kwa jicho la Uono na Ufikirifu Mifumo, jamii ya Kihindu huwa na ‘zikri’ ya kusema JAI JAI pale Mhindu anapoonja na kulifurahia lenye kumpa faraja moyoni. Haya hufahamika kuwa ni matendo ya ‘utakaso’ kupitia nidhamu ya ‘kukumbuka’--kumkumbuka ‘Mungu’ katika kila jema unaloliishi—Yoga Bhakti. Hili ndilo linachangia JAH JAH kuwa sehemu ya urithi wa mapokeo ya Kiyuda na hapo hapo Uhindu. Na ndivyo hivi, mlima Sayuni, kwa wahindu ungalitajwa ni >‘Mlima Meru’<; Zaburi ya Daudi kwa Mhindu ingalikuwa si jingine bali muktadha wa Bhakti Yoga-->JAI OM NAMA SHIVAYA<. Kutokuchana nywele na uvijitari pia vinaasili ya ‘maisha ya upweke’ na kujitenga ya mtu wa kutafuta ‘Utakaso’ isivyo kufuatisha mazoea na mkumbo wa jamii pana-->Sannyasi<.

Kwa mtu-Rasta, ‘Dreadlocks—Misokoto ya asili ya Nywele’ ni alama ya ‘upekee’ wake, kujinasibu na uzuri wa asili, na imani yake kwa muambata wa mambo mengine yote, kuitwa ni ‘I-tal Livity’-- muungano na neno ‘Vital’--’uhai pumzi’ na ‘Livity’--’Uisho’. Iwe ni mazingira ya mjini ama shamba, utambulisho wa mtu-Rasta ni maisha rahisi katika kilimo ama kazi huku akiishi nadhiri yake ya Pendo Moja, Amani na Utangamano kati ,yake na dunia na walimwengu.

Sasa tunawezaje kuyashahibisha na dhana nzima ya Utaifa, tuseme labda taifa la Tanzania?

Kiuono na ufikirifu mifumo, ujenzi wa taifa lolote huhitaji ‘nguzo ya imani’. Hili ndilo linalobayanisha ukomo wa ELIMU 1.0 katika jitihada na harakati la ‘kujenga Taifa’. Maarifa ya mambo yakikosa na mzizi wa ‘metafizia na ontolojia’ huishia kutuletea >‘ism’ na ‘schism’<, vile kwenye Urastafari husemwa -- Bob Marley kupata kuimba katika wimbo >‘Get Up, Stand Up’<; vile huja kuwa kutokana na maarifa yanayowatenganisha watu kutokana na makambi ya mafikara na mlengo wa vitendo katika kuwatazama watu na kuwakadirisha hivi ama vile--kwa labda jinsia, umri, rangi ya ngozi, ni wapi anatoka n.k

Fikra na mawazo kuhusu jambo si ukweli wa mambo hasa—haijalishi watu wenye kushiriki fikra hizo ni wengi ama kidogo… Kufuatishwa kwa wazo ama fikara na watu wengi hukufanyi jambo linaloshikiliwa kusadikiwa na wao kuwa ni sahihi ama kweli. Katika dunia ya leo, Elimu 1.0 inatumika hata >‘kuwajaza watu mafundisho’< ama hata ‘propaganda’ pasipo na watu kuhoji mapokeo yao ikiwa ‘yana vina vya tafsiri’ isiyo na chembe ya shaka ama vipi. Falsafa ya elimu ya leo mashuleni si lolote bali ‘ufikirifu’ wa juu juu wa mambo usio na ‘msaada’ katika ‘kuwaunganisha watu’ kweli kweli.

Shule zote za leo duniani, katika mikondo rasmi ya mifumo ni ‘nyumba za vifungo’--vifungo vya namna zote za ustaarabu wa kileo ambao nao pia ni ‘Kifungo cha Mfumo Babiloni’. Mtu anahitaji kujikwamua na fikra na mawazo yote ya ‘kufikia’ katika jamii yake, ambavyo ni liberiti’ katika mtu. Uhuru wa kwanza wa mtu upo kwenye kuondoa ujinga, huu unaweza kumpatia mtu ELIMU 1.0 lakini uhuru wa pili ni liberiti—huu huja na huku kwa mtu kujinasibu na Elimu 2.0. Kwa kuwa Elimu 1.0 bado humtengenezea mtu ‘Utumwa wa Kiakili’; jambo ambalo Bob Marley aliliimba katika wimbo >‘Redemption Song—Wimbo wa Ukombozi’<…

‘Elimu 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo’ ndicho kile kinachokadirisha jambo la kusema ‘Hekima ni Uhuru’, kwetu Tanzania, kutaasishwa kupitia Chuo Kikuu cha Kwanza cha Dar es Salaam kwa kauli mbiu hiyo… Chuo hichi kimeanza, na hata sasa kinaendelea kwa Elimu 1.0; lakini kusudi na azimio, kwa mujibu wa Maono ya Taifa—kadri lilivyoasisiwa na waasisi wake, akiwamo Mwalimu Kambarage Julius Nyerere, ni siku moja hichi kiwe ni ‘Mwenge wa Liberiti’ kupitia Elimu 2.0…

Kiouno na ufikirifu mifumo, wasomi wote ambao ‘wameelimika’ kwa muktadha wa Elimu 1.0 lakini hawajafanya jitihada zozote za kuhama kutoka Elimu 1.0 kuelekea Elimu 2.0 anayoadha ya ‘Utumwa wa Kiakili’. Dhamira na Matendo yao, juu ya utaasisi wowote, hayatoakisi chochote tofauti, ama tuseme kuzidi, ya yale wanayofundishwa mashuleni na vyuoni -- hali hayo yote yana asili ya kujenga mifumo piramidi—nasibu ya wachache kuwatawala wengi, yaani >u-Eliti<.

Urastafari unalingania ‘Utaifa’, na kunasibu Taifa hili na bara la Afrika na Watu wake; ni jambo hili lilikuwa kwa waasisi wa Taifa letu la Tanzania na viongozi walijitoa kidhamira na matendo ili uhuru dhidi ya ukoloni usiwe tunu ya hapa na pale ndani ya bara. Uono na Ufikirifu wa Waasisi hawa juu ya Dhamira ya hawa waasisi ilikuwa ni kuwa Taifa Moja ‘haliwezi kuwa huru’ na hali jingine pembeni yake ‘likiwa si huru’. Jitihada za Mwalimu Kambarage Julius Nyerere katika kuunga mkono harakati za ukombozi wa nchi za Kusini mwa Afrika kwa vitendo, na tena kwa hali na mali, ilikuwa ni moyo mkuu kwenye kuziishi kauli na kutekeleza azma. Hata leo hii, labda tu watu ni wenye kusahau—ama labda kutozingatia?; wimbo wa Taifa wa Tanzania, unaoimbwa mara kwa mara mashuleni na kwenye matukio makubwa ya Kitaifa, huazimisha Nia ya kusimama kwa Bara la Afrika na Kisha Tanzania…

Kauli za imani, shauku na Matazamio katika ‘wimbo wa Taifa’ zinashahibiana na maudhui ya utamaduni wa Kirastafari. Bob Marley alivyoimba ‘Africa Unite—Afrika Ungana’ alikuwa akisadifu mashauri yale yale ya kulingania watu wa Afrika kuungana ili waweze kusogea kutoka kwenye mfumo mmoja wa ‘kibabiloni’ na basi kuuendea ule wa ‘Baba’. Kwamba, Waafrika waamke na kuungana kwa manufaa ya watu wake na watoto—la leo lisisubiri kesho… Na basi ‘Baba’, kwenye >Wimbo wetu Taifa< ndivyo twataja ni ‘Mungu’… Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania… Kwamba, sisi tu ni watoto wa Afrika--watoto wa Tanzania… Hekima, Umoja na Amani iwe ndiyo ‘Ngao’ ya Viongoza njia kuelekea kulijenga Bara la Afrika; na kutokea kwetu hasa--Tanzania, Kudumisha Uhuru na Umoja, katika jamii ya wake, waume na watoto viwe ni njia ya baraka na uzima kwa Taifa...

Kiuono na Ufikirifu Mifumo, nguvu za ushawishi wa jamii kukaa pamoja asili yenye kufangamana na ‘muundo mkuu’ wa watu, nyakati na taasisi. Haya, walau kupitia Elimu 1.0, tunayafikia kupitia mashauri ya kisosholojia -- kuhusiana na fanusi jamii, nadharia migongano na muingiliano wa alama oanifu. Kutokea kwenye ‘Elimu 3.0: Ilimu ilivyo ni metafizikia ya Elimu’, ndiyo twaja kubaini ni namna gani ‘muundo mkuu’, ‘nyakati’ na ‘taasisi’ ni muktadha wa ‘Metafanusi’ kwa sura na miendendo ya jamii…

Kwa hivi, kwa neema ya Elimu 3.0, Mungu ni ‘Metafanusi’ ya jamii yoyote, kiumbe chochote sentienti—iwe mtu-ardhini, nyangumi-majini, vinyamkera-hewani, majini-plazmani, sayari, mfumo wa Jua na hata ulimwengu wote mzima. Ikiwa mtu hana Elimu 2.0 yenye kukirimika neema za Elimu 3.0 basi atabaini ukweli wa ‘Metafanusi’ hata kwa ‘upofu wa kiroho’--kuamini ama kusadiki chochote alhali hicho ni chenye kufanania na ‘imani’ yake kwa wakati, ‘upeo wake wa uono’ na ‘uwezo na vina vyake vya tafsiri akilini mwake’ kwa yale mambo yajitokezayo katika mazingira yake…

Hili litupe daraja ya kuanza kujinasibu na mambo yaliyositirika…

Kiufundi, hauwezi kuunda taifa thabiti ‘kwa maneno’ na maelekezo rahisi. Walau, kinachowezekana ni kuijenga jamii kutoka nje, kwa kutumia amali za nchi huku ukitaasisha ‘alama’ za utaifa na kuzienzi ‘tunu’ zozote zinazoweza kubayanika katika jamii inayoelekea kudumu kukaa pamoja. Kwa ukweli huu huu ni vigumu kuwaunganisha watu na huku kumbe kila mtu katika jamii hiyo anasadiki lakwake—kuhusiana na ‘muundo mkuu’ wenye nasibu ya kutawala ustawi wa maisha yake. Hili ndilo kati ya mambo magumu ambayo waasisi wa Taifa la Tanzania walishughulika nalo, na Mwalimu Kambarage Julius Nyerere alikuwa akilifahamu hata kwa ‘Jicho la Ziada’…

kuliinua taifa kutoka umma wa makabila zaidi ya 120, yenye mila na desturi mbalimbali; huku ukijitahidi kabisa kuepusha ‘ukabila’ katika taifa jipya ama kasumba ndiko kulitatuliwa na ‘lugha ya Kiswahili’ pia utayari wa nidhamu/uwajibikaji kwa ‘Elimu na Utumishi’ kokote. Katika siku zetu za awali Kitaifa, mtu kutoka Dodoma kwenda kusoma Moshi, tuseme kutoka elimu ya msingi kwenda Sekondari; na huko Moshi kukutana na wenzake kutoka Mikoa mingine mbalimbali—labda Kagera, Mara, Tabora n.k si kulipunguza ama kuondoa ukabila na ukanda—hili ni sehemu ya uhandisi jamii. Haya mawili si tu yametuletea utangamano, pia yametuletea ‘kuoleana’ na ‘muingiliano’ wa kimakabila usioendekeza kasumba na ubaguzi… Vile Mwalimu Nyerere alikuwa akipiga marufuku kasumba za kuulizana makabila—kana kuwa je, tunataka kutambika?

Kwa mtu wa Kiuono na Ufikirifu Mifumo, Mafanikio ya jitihada za Mwalimu Kambarage Julius Nyerere katika kulijenga Taifa la Tanzania, kwa kipindi cha miaka 60+ ya hii leo, ni mkubwa sana na tena ya kipekee sana katika historia yeyote ya karibuni hapa Duniani; ipo namna ya kuona pia alilolianzisha bado linaendelea—halikufika mwisho.

Kutoka kwenye stawi za kimakabila na kuelekea ‘Utaifa’, katika nchi ya Tanganyika na kisha Tanzania, ni jambo lililohitaji maarifa na sanaa ili kukadirisha muktadha wa sura ya mienendo na maendeleo ya jamii. Kuzibuni na kuzitaasisisha mila, desturi na mapokeo mapya ya utaifa, kwetu Tanzania, busara na hekima vilitumika kwa matatu yaliyo ni fasaha, dhamira na makusudi yake—‘Dhana ya Uhuru’, ‘Ukombozi wa kifikra na Maendeleo’ na ‘Kuujenga Umoja wa Kitaifa’… Haya matatu, kwa sanaa ya utaasishaji wa alama oanifu, ndiyo huwakilishwa kwa alama ya ‘Bendera’--usovereini wa nchi-taifa, ‘Mwenge wa Uhuru’--Mwangaza kwa Maendeleo na kujichagulia; na ‘Wimbo wa Taifa’-- nadhiri katika watu kuhusiana na utaifa wao na mustakabali…

kiuono na Ufikirifu mifumo, kutokea kwenye daraja la Elimu 3.0, Ilimu ilivyo ni Metafizikia ya Elimu, ushiriki wa watu kama kikundi katika matendo, mazoea na tabia, na zaidi ‘kaida’ za imani huleta udumifu wa sura ya jamii na tena kwa wakati wake. Kukongoroa hivi huweza kusambaratisha jamii inayoshiriki hayo, lakini kati ya hivyo vyote--’kaida’ za kiimani ndizo zenye nguvu katika mashikizo ya taasisi za watu. Mfano wa ‘kaida’ za kiimani, ni matambiko…Kwa hivyo, Elimu 3.0 inaweza kuleta ufunuo, ni namna gani ‘mizimu’,’maruhani’, ‘miungu nchi-taifa ama dola-jiji’ n.k hupata ‘pumzi ya uhai’…

Kutoka kwenye ‘mifumo ya kikabila’ hadi ‘mifumo nchi-taifa’ Tanzania kama taifa kuna tunayoyapoteza na kuna mapya tunayoyajenga. Labda ni vema sana kujua tulikotoka ili tujue tunakokwenda… Kwenye fremu-kazi ya uono mifumo kwa ajili ya mambo ya ‘machaguo ya kitaasisi, ‘Jamii’, ‘wakati’ na ‘matukio’, jambo hili huchanganuliwa kitopografu kwa mahusiano ya ‘Kumbukumbu/Uzoefu’…

Kiuono na ufikirifu mifumo, utatu wa mihimili ya imani kwa ‘fanusi mtu/jamii’ hufanywa na ‘Jaala’, ‘Kumbukumbu/Uzoefu’ na ‘Wakati’… Hii ni namna ya kubaini kwamba mtu ama jamii huwa na vipawa vya akili kumfaa yeye/yenyewe na ‘kumbukumbu/uzoefu’ ili apate kujitambua msimamo ama mustakabli wake kiwakati. Wakati una usiku na mchana, asubuhi-mchana-jioni, masika-vuli-kiangazi-kipupwe kulingana na jiongrafia na mazingira. Kumbukumbu/uzoefu wa kuendana na haya mambo ya nyakati ndiyo hadhi ya ‘uwezo au uduni’ wa mtu kuyamudu mazingira yake—Elimu basi, ndiyo shughuli ya ziada inayoweza kuchochewa kwa mtu/jamii kusudi mtu/jamii iweze kujikwamua kutoka kwenye sura duni/hafifu ya ustawi, kulingana na vitendo vya miundo ya jamii yake, hadi ile bora. Hatua kutoka kwenye sura duni hadi sura bora ya ustawi wa jamii ndiyo dhana hasa ya ‘Maendeleo’.

Elimu 1.0: Kujua kusoma na kuandika, kwa mapana ya ujumla wake ndiyo huwa na shabaha kumpa mtu/jamii maarifa ili ibaini uduni wa hali na utendaji wake wa kila siku; kuufuta ujinga kwa kuipatia jamii na wanajamii wake ‘fikra’, ‘ujuzi’ na ‘maarifa’ kwa ‘visomo rasmi’. Kiuono na ufikirifu mifumo, Elimu 1.0 inasaidia sana jamii kupata taarifa na ufahamu wa mambo kufaa ’kumbukumbu la mtu’ na si zaidi. Walau katika hii, Taarifa/Habari ni nguvu… Mtu mwenye elimu, kwa sura hii, anawezakuwa ni mtendaji bora kulingana na maarifa aliyoyapata – pale ambapo huyu alinganishwa na yule asiye na hayo maarifa.

Elimu 1.0: kujua kusoma na kuandika, haina majibu hasa ya ‘ukweli wa mambo’ ila tu kwa habari za kuandikwa, kusimulika, kudadavuliwa na fasihi. ‘Ukweli wa mambo’ kwa Elimu 1.0 ni kitendawili, kila mtu/mwanajamii hubidi ‘hutoa mji’ ili kiteguliwe… Hii ni kwa kuwa Elimu 1.0 hutegemea na ‘kiu ya mtu’ ya mtu kutafuta maarifa, na kama vile tusemavyo Wabantu, ‘kimfaacho mtu ni chake’… Ikiwa mtu/wanajamii wanaridhika na vile vilivyo—kwa maandishi, simulizi na mapokeo, kadri vipatikanavyo katika jamii husika, basi yote yanayoambatana na ‘kujua mambo’ kwa sehemu – iwe ni kwa ‘kina’ ama ‘ujuu juu wa mambo’; basi hivyo ni halali yao.

‘Upokeaji’ ama ‘utayari’ kwa Elimu 1.0 katika mtu huratibiwa na ‘hali ya kujisikia’ ama ‘kuhamasika’ katika mtu/mwanajamii. Hili ndilo linaloingiliana na >‘tabia za kuigana’< kama ‘chachu’ ya mabadiliko ya jamii. Kuna namna ya kuona binadamu kama kiumbe ana ‘matatu katika moja’ ilivyo ni (1)Mwili, (2)Imosha (hisia) na (3)Roho… Vitatu hivi katika moja ni sehemu ya muktadha wa ‘mbegu’ ya kuwa kwamba ‘akipandacho na kukivuna’, mtu ama jamii, katika jamvi la ‘wakati’.

Matukio yote katika maisha ya mwanadamu, ndiyo basi kusema ni ‘kuvuna ama/na kupanda’ yale yote yafanyayo ‘ustawi’ ama/na ustaarabu wa mtu/jamii husika.

Mtu ni mwenye nasibu ya kuiga kutoka kwenye ‘matendo ya asili/dhahiri’ ama ‘matendo ya mwanajamii’ mwingine kama sehemu ya ‘kuotea’ maarifa. Kadiri mtu aridhikavyo na ‘kawaida’ ama ‘kaida’ ya matendo ya jamii, huyu pamoja na wanajamii wenzake hufanya muktadha wa ‘desturi’. Na yale matendo ya kujirudiarudia katika jamii ndiyo visomo vya leo kisosholojia hufahamika kama >‘nomu mahsusi/nomu jamii’<; nomu, tunatohoa kutoka kwenye neno la Kiingereza ‘norm’--kawaida ya jambo/mambo. Basi ndivyo hivi sisi wabantu husema ‘Kawaida ni kama Sheria’… Kwamba katika jamii, Mazoea hujenga Tabia…

Sehemu ya Maarifa isiyofasaha katika jamii, itokanayo na mambo ya kuigana, ndiyo hufanya ‘mila’ za wanajamii. Mila ni muktadha wa matendo ‘usiohojiwa’ kwa wanajamii, bali kufuatishwa na kuenziwa kutokana na ‘busara’ za ‘wazee’ ama pia ‘Wahenga’. Hili kuwa kana kwamba, mila ni daraja la jamii kupata ‘baraka’, ‘kinga’, ama pia ‘bahati’ kwa kadiri ya kufuatishwa kwake na tena kwa taratibu zake. Kwa hivyo kiufundi, mila ni ‘utaasisi’ juu ya ‘jaala na wakati’ kwa wanajamii. Mila ndiyo msingi wa ‘mema’ ama ‘mabaya’ ambavyo kufuatishwa ama kutofuatishwa kwake huonekana, kwa kusadiki, ni chanzo cha ‘mapatilizio’ ama ‘thawabu’ kwa wanajamii…

Kwa mujibu wa ususi wa Taifa letu la Tanzania, kati ya adha kuu zilizopata kuwa ni kigingi kwa mageuzi ya kijamii ilikuwa ni utitiri wa ‘mila na desturi’ za makabila mbalimbali yaliko katika mipaka ya ‘nchi-dola mpya’. Yumkini watu wengi hata leo hii(2022), hawang’amui wala kubaini mambo ya ‘kiufundi’ yaliyohusika ama/na yaliyopitiwa na viongozi waasisi wa taifa hili, miongo ya awali, baada ya kupata ‘uhuru’. Ikiwa watataka kufahamu basi inawapasa kuwa na mapana sahihi ya maarifa juu ya ‘sosholojia’ na ‘uhandisi jamii’.

Elimu 1.0: Kujua Kusoma na Kuandika, tokea siku za awali za kupatikana uhuru wa taifa, ilikuwa na makusudi si tu kuwapitia ‘taarifa’ na ‘maarifa’ wanajamii ya Tanzania(Tanganyika) juu ya taratibu za maisha bora—yakuendana na mambo ya walimwengu kungine kote duniani; hii ilikuwa inakusudiwa pia kutokomeza ‘mila na desturi’ potofu za hao hao wanajamii.

Kutokomeza ‘Mila na Desturi’ potofu, haijawahi kuwa jambo rahisi kokote duniani… Mila na desturi ni ‘Utaasisi’; hivi hufangamanisha ‘miundo ya kijamii’, ‘kujisikia’ na ‘ushawishi’… Haya ndiyo kwa mfano, hufanya koo na uchifu kwa makabila yetu ya Kiafrika. Chifu kuwa ndiye >‘Bwana wa ma-Bwana’< na Baraza lake kuwa ni ‘Wazee wa ki-Mila’. Kazi ya Wazee wa ki-Mila ndiyo kusaidia utawala wa Chifu-- >Washiriki-kwa-Kina<, kwa ‘mambo ya jadi’ na >‘Ufundi wa Mizungu’<…

Labda watu wengi, wamepuuzia kama si kujisahau juu ya misingi ya mila na desturi zetu kama watu wa makabila anuai kutoka katika vizazi vyetu humu barani Afrika. Kuna mambo ni vema wanajamii wakayatafuta na kuyadadisi ili wapate vina sahihi vya maarifa na ukombozi wa kifikra. Kutokufanya hivi, wanaweza kujidanganya kufikiri wamepiga hatua na kumbe bado ni ‘wabichi’ katika dhana na tafsiri ya ‘maendeleo na ustaarabu’.

Marja Liisa Swantz, almaarufu 'Mama Maendeleo', ni miongoni mwa wanavisomo wengi ambao wamefaulu kufanya visomo maridhawa juu ya jamii zetu za asili pasi kasumba yeyote, na kuleta hazina ya kipekee ya Kisomo Elimu 1.0, kwa mfano yeye kutuletea: >'Kaida na Alama katika Jamii Mabadilikoni ya ki-Zaramo--Ritual and Symbol in Transitional Zaramo Society'<. Humu anaeleza mengi, kuhusu maisha yake nchini Tanzania kipindi cha mabadiliko makubwa ya Kijamii, akitumikia jamii ya Mwambao, Bunju. Kutoka katika jamii hii yeye alipata fursa ya kufahamiana na wenyeji kadhaa; na kutoka kwao kujifunza; na pia kufanya kisomo kuhusu mambo ya watu wa kabila la Wazaramo--mila na desturi, imani na mazoea yao... Haya yote akiyabaini katikati ya mabadiliko ya ‘Kitaifa’ kutoka kwenye 'sura ya mienendo ya kiasili' kuelekea katika harakati na pilika za kutekeleza 'Siasa za Ujamaa na Kujitegemea'…

Mama Marja Liisa Swantz, ni mfano wa 'Waafrika' kwa moyo, ‘Wazungu kwa Asili ya Mwili’... Hawa, tunaoweza kuwaita ni ‘raia wa ki-geni’ kwa macho ya juu juu na utaasisi wetu wa kileo juu ya uzalendo, wamekuwepo, wapo, na wengine watakuja, kutokea kote mashariki-magharibi-kaskazini-kusini na 'kuimalizia kazi'... Tutakuja kuyafahamu mengine mengi kuhusiana na hili kupitia Elimu 3.0...

Kwa mtu Uono na Ufikirifu Mifumo, Mambo ya ‘Elimu 1.0’ pamoja na ‘Mila na Desturi’ ndiyo huleta muktadha wa ubainufu wa >‘elementi ya Kiza’< katika jamii yoyote; jana leo na kesho. Elementi ya Kiza ni ile sifa ya mtu kuwa na sehemu ya yeye, >asiyofahamu ama kujifahamu<, na huku hiyo ikiwa ni sehemu ya ‘uzima’ wa maisha yake na mwenendo wake kama mtu mmoja ama jamii. Hii ni matokeo ya ‘mwangaza’ alionao juu ya ‘hisia zake’ na ‘vina vya tafsiri’ kwa >‘uono’< wa >‘ontolojia ya Taasisi’< zake na >‘Sura na Mienendo’< ya jamii yake… Kukosa mwangaza kamili katika kuyamulika haya, ndiko humfanya mtu >kujua mambo kwa sehemu<, na basi yeye atayaishi maisha yake kadiri ya vile Elimu 1.0 ya sosholojia itazungumza kwa minajili ya >‘fanusi jamii’, ‘nadharia migongano’ na ‘Muingiliano wa alama oanifu’<…

Kwa hivyo kwa mtu wa Uono na Ufikirifu Mifumo, suluhu ya adha za ukomo wa manufaa ya 'Elimu 1.0', 'Mila na Desturi' na pia 'Elementi ya Kiza' ipo katika jambo tunaloweza kulibayanisha ni >'UPENDO'<. Ili mtu kunasibika 'nuru ya ufahamu' juu ya fanusi zake jamii, nadharia migongano na muingiliano wa alama oanifu, huyu hana budi kuwa na 'hisia' na 'vina vya tafsiri' tofauti na makundi ya watu wasio na upeo ama kukosa kujua ilivyobora…

Kama vile tunavyoweza kuona katika Urastafari juu ya ‘Upendo JAH’, ‘Pendo Moja’ na ‘Udugu I’n’I’, Kumuona mwingine kwapasa kuwa ni Kujiona mwenyewe kadri Akuonaye wewe, ndiye amuonaye mwingine – mlivyo wote ni ‘Moja’… Kiufundi hii ndiyo ile asili ya >‘Jicho la Upaji< kama alama ‘fumbo’ ya >jumuiya siri ya Illuminati<, japo alama yenyewe ni ya siku nyingi kupita mwanzo wa Illuminati yenyewe ya kuanza na Adam Weishaupt... Jambo kama hili hili kuwa ni asili ya usemi >lak'ech ala k'in< kwa staarabu za Mayani, Amerika ya Kati ya Zamani…

Kwa mtu wa Uono na Ufikirifu Mifumo, vile katika sayansi huzungumzwa ya >'Muona ni Muonwa'< katika ulimwengu wa fizikia ya kikwantumu, ni topografu sambamba na haya yote ya 'utabia wa kichanzo' na basi pia 'Ontolojia ya Taasisi'. Hivi ni sawa sawa na kusema, >kupitia kila mmoja wetu sentienti, Mungu ni jicho lionalo kote na mote< na hali kumbe >'ufahamu pofu wa milango sita'< wa kiumbe huwa na 'kibanzi/pazia' katika ile sifa na hadhi ya kukosa ubayanifu wa ukweli wa jambo. Kwamba mtu, si mkamilifu--akipata ukamilifu atang'amua, mambo yake yote--ustaarabu wake wote na ustawi, kabla ya ukamilifu kufika, umepata kuwa ni 'utoto'. 'Atajijua' kama vile 'Ananavyojulikana'--na hili ndilo labayanisha muktadha wa >'kukumbuka, kujikumbuka na Kukumbukwa'<.…

Wakati mmoja, siku za mbele, ‘Muona ni Muonwa’ ndiyo itakuwa alama yunivasali ya ‘ujuzi na uwezo wa kubaini sura nyingi za mambo kwa wakati’--intelijensia...

Haya yote yanatukaribisha kwenye ‘Elimu 3.0: Ilimu ilivyo ni metafizikia ya Elimu’…

...
-_-



Kudumu kwa Jamii yoyote kuna upande mwingine wa mambo ambao Elimu 1.0 ‘haina msaada’; kwa kuwa ni Elimu 3.0 ndiyo yenye ‘ufunguo’ wa ukweli wa mambo—kweli inayoweza kupitiliza kawaida tuifahamuyo.

Elimu 3.0: Ilimu ilivyo ni metafizikia ya Elimu; kiuono mifumo, tena kwa mfano kuja na fremu-kazi ya Uono mifumo, tunaweza kuibaini kwa kuanza kushughulika na visomo kwa ‘numenoni’ ya finomena iliyo ni ‘wakati’. Kwamba huu ni muktadha wa maarifa unaoanza kuwa ‘vina vya tafsiri’ ya mambo iliyo ni ‘nje-ndani’ kwa uono wa kawaida wa mambo. Elimu 3.0 ni ‘Ufunuo’ kwa kuwa hujinasibu na ujuzi, upeo na karama za ‘hisia ya sita’ katika ‘jicho la mtu’--fikara.

Ilimu ilivyo ni metafizikia ya Elimu, huanza na ‘muda’ katika wakati, kadiri huu ni kizio cha mabadiliko ya kimienendo, unafasi(supasha), nishati na dutu-meta. Basi haya yote kufuzu akilini mwa mtu kama ‘mapana nje-ndani’ ya mtu, taasisi, machaguo na wakati. Akili ya mtu mwenye kujinasibu na ‘hisia, maono na makarama’ ya Elimu 3.0 haina budi kuwa na ‘vina vya tafsiri’, ‘ubayanifu’ na ‘Kognisha’ isiyolazima kuwa kama kawaida ya mambo yajayo na ‘jicho la kawaida’ na ‘mafikara’ yake.

Ilimu ilivyo ni metafizikia ya Elimu, hujinasibu na mantiki inifinitamu, viasi na hadhi zake katika maada halisi na pia >mfumo mpinduko< wake kwa kikosmosi halisi(unafasishi dhahiri) na ya ‘gizani’. Hili linatuletea Elimu 2.0 na Elimu 1.0 katika sura ya uono, ufikirifu na kumbukumbu ziwezazo kuwa na kinyume na kawaida tuliyoizoea. Unafasishi na muda kuwa basi viwili ninavyoingiliana kana vile, unafasi unaojifinyia kwa ndani ndiyo chanzo cha ‘kani kitovu’-- kuelekea ncha moja isiyokuwa na mwanzo wala mwisho, katika maada; na ‘mwangaza’ kuwa ‘kani’ inayohuluku kinyume cha maada ilivyo ni ‘wakati’. >Wakati hujifinyia kwa ndani katika kosmosi ya ‘gizani’< ambavyo humo huwa na ‘marefu, mapana na kina’ kadri maada huwa na ‘marefu, mapana na kina’ katika ulimwengu wetu dhahiri—unafasishi. Kwa hivyo tunaishi katika metafanusi ya ilivyo ni unafasishi-wakati katika sifa ya hadhi ya ‘unnje-ndani’, na huku hapo hapo ni ‘undani-nje’…

Yesu aliposema >‘Ufalme wa Mungu/Mbingu’ u karibu—u ndani yako<, sasa ni zama na wakati wa kutambua ukweli hasa wa jambo hili…

Kwa mtu wa Uono na Ufikirifu mifumo, kuna namna ya kubaini topografu za mafikara-maarifa kwa kadiri vipi Ulimwengu wote mzima upo >ndani-na-nje ya kila ‘nukta’< ya kizio chochote cha maumbile ama wakati. Mafikara-Maarifa yetu, ni kujua kwa sehemu japo kwa >mtu wa uono na ufikirifu mifumo anaweza kutumia lolote lifikiriwalo na wanajamii< ili kubaini vikomo vya uono, ontolojia ya taasisi na sura na muenedendo wake. Pasi ukiondoa Wafikririfu wa kawaida, wawe wa jana, leo ama kesho--hawa si wajuaji kamili; Labda ni Wasikirifu ndiyo wamepata 'kupitia ufunuo' halafu wakazungumza ama kwa metafo ama 'mafumbo' kuhusu ulimwengu na walimwengu--Yesu akiwa ni mmojawapo wa Wasikirifu maarufu, ama tuseme 'si mgeni' katika kasikio ya wengi. >Wasikirifu wote wamepata kubaini 'undani-na-nje ya kila nukta' pia -- huku wakipata shida kuelezea ukweli hasa wa mambo kwa walimwengu<... Paulo aliposema juu ya kuishi kwetu, kuwa ni neema, kwamba >katika ‘yeYe’, tunao huu uzima< – alikuwa akiashiria ‘Metafanusi ya Utatu Mtakatifu’...Na tena basi Paulo aliponena juu ya >‘kina, mapana na marefu’< ya ‘upendo’, kama ionekanvyo na watakatifu wote alikuwa anaeleza juu ya muktadha wa metafizikia ya ‘kani kitovu’>(nguvu yunivasali ya uvuto)< ilivyo hasa ni ‘Upendo’ na hekima kwa waja wema -- upendo wa ‘Mungu’ usiyojua mpaka, 'muktadha mwana' wa 'Utatu' ulio ni ‘Kristo’…

Lugha ya uono na ufikirifu mifumo kwa Paulo ndiyo basi ni muktadha wa kubayanisha mahusiano ya kifanusi kwa ‘Kristo’ na ‘Uzima katika Mwangaza wa Milele’-- kutofautisha tafsiri ya maono ya kimafikara-maarifa ya ‘Elimu 1.0’ na ‘Elimu 2.0 iliyonasibika kufahamu yale yaliyositirika’-- ile >konjekcha ya ‘Metafanusi’ ya ‘Utatu Mtakatifu’< kwa mambo ya fahari kwa miili ya nchi(udongo/unafasishi) yenye kuharibika; na miili ya mbinguni(nyotani/mwangazani) isiyo na kuharibika….

Kwa kutambua tofauti za Elimu 1.0, Elimu 2.0 na Elimu 3.0, Paulo alikuwa sahihi kabisa; tena ‘kiuono mifumo’ na ‘ilimu ya metafizikia’, alipotaja habari za >Hekima ya Mungu ilivyo ni ‘kuwa na nia/akili ya kristu’< na kuutafuta ‘ufunuo’ ambavyo >‘Muona ni Muonwa’< katika Metafanusi iliyo ni UPENDO…

Ili kubaini ‘Muona ni Muona’ huja aje na Elimu 3.0, hebu tutembure uwanja wa antakarana--alama, fahamu na hisia-akili...

Ulimwengu, kadri ya ujengaji wa taswira akili mwetu—kimafikara-maarifa, una hadhi kana 'ndumilakuwili' kwa wakati mmoja -- ni wenye dhahiri ya ‘kupimika’ na ‘isiyopimika’.

Dhahiri ya kupimika ndiko huku kuona 'lenye mwanzo, lina mwisho'; isiyopimika ni 'sifa na tabia' ya jambo ama mambo ambayo wakati wote hufungamana na 'viasi na tafsiri' katika vipawa vyetu vya akili na uweza wetu wa kawaida wa kuhisi/kujua/kubaini kweli ya jambo husika. Hili kwenye sayansi ndicho huzaa ujuzi wa 'uchanganuzi kiasi' na 'uchanganuzi usifa'--wenye kuzungumza haya kwa lugha ya kiingereza wangalitaja 'quantitative analysis' na 'qualitative analysis'... Hivi kutafsiri kimafikara-maarifa kana kwamba dutu kuwa na tabia za ‘mjengeko’ na ‘ubomokaji wa kimaada’ unaoweza kutathminika kimisingi ya vitendo ya sayansi, kiviasi na tabia za oanifu –- tawi la sayansi lijulikanalo kama >kemia<...

Dhahiri pia hupimika kwa 'nishati na mienendo'... Kwamba, vitu hujongea kwa nguvu na mzuto, wenye kuzungumza haya kwa lugha ya kiingereza wangalitaja >'Power' na 'Momentum'<... Hili ndilo leo limetamalaki kwenye visomo vyetu vya fizikia, kwa kuwa >fizikia< ni visomo vya uhusiano wa >'maada'< na >'nishati'<; na tena, kimahsusi, hujitukiza katika >'fizikia ya makanika ya ki-Newton'<. Fizikia inaanza kuonekana kana 'si ya kawaida kawaida' kwenye visomo vya >'mienendo halijoto'<, wenye kuzungumza kiingereza hutaja haya kuwa ni mambo ya 'thermodynamics'; na katika mienendo halijoto, jambo fulani -- kama kwenye visomo vya 'kemia' linaanza kusumbua akili ya kawaida ya mambo na tafsiri zake. Ulimwengu mpana, >kosmosi<, kwa mfano, umefanyika kwa >'ukungu wa nyota' na 'utupu'<--sayari zote ni sehemu finyu finyu finyu kabisa ya ulimwengu unaoweza kuonekana kwa macho ama hata vifaa bora vya kiuonaji wa uchunguzi; sasa swali linakuja: >"joto na baridi"< vinauhusiano upi na 'kuanza' ama 'kwisha' kwa ulimwengu? Hili ndilo fumbo mojawapo kwa 'mizania' ya 'sifa/tabia/mwenendo... Lakini, tusihofu; kwa akili ya kawaida, kupitia visomo vya Elimu 1.0, hata sayansi haina jibu la msingi ila tu >'porojo' za 'nadharia' za 'mwanzo na mwisho'< wa ulimwengu, walau za muktadha fulani wa uono usiokamilifu -- mambo kama 'Big Bang'/'Maada kiza'/'Mawimbi Maikroniyi ya Upande wa Nyuma-mwanzoni kiwakati'...
Kwa hivyo haya yatukumbushe la msingi: ‘hesabu’ na ‘hisabati’ hujengwa kwa misingi ya ‘viasi’ na ‘ulinganifu’. Yote yenye 'mipaka' tunaweza kutafuta namna ya kuyakadirisha hivi ama vile ili tuyalinganishe kwa hili ama lile lenye kuonekana kama kwamba kuna ‘uhusiano’. Lakini kwa yale tusiyoweza kuyapima hasa, basi, mbinu visomo za kutegemea hesabu na hisabati zawa 'hazina msaada'… Fumbo hasa la kivisomo - Elimu 1.0 kwa >‘Uyanikifu ama/na Uyanikifu Mkuu’<...

Na hapa ndipo tunapata ufunguo, kwa nini ‘Elimu 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo’ yajibainisha utofauti wake na ‘Elimu 1.0: Kujua kusoma na kuandika’ kwa kuwa hii Elimu 2.0 hupindua 'uono' kutoka kwenye paradaimu za ‘kidogo na kidogo hufanya kikubwa’ yaani uchanganuzi wa kiyakinifu ilivyo ni Elimu 1.0; hadi kwenye usanisi: kutathmini 'mahusiano' ya vifanyavyo muktadha wa 'viunda na vitendo ingilianifu' kwa kadiri 'mafikara-maarifa' ya kubayanisha yote hayo kana ni sehemu ya kweli ipi ya 'nzima moja'--kwa kuoanisha 'mantiki infinitamu' na 'indefinitamu ya usupasha';>Uzima kama mwongozo wa kubayanisha 'mifumo'<... Na basi fizikia ya kikwantumu hupembea kati ya 'fanusi wimbi' na 'chembe-dutu', na kumbe yote mawili ni fumbo la 'muona' ni 'muonwa'; kama >alivyobaini mwanasayansi wa fizikia ya Kikwantumu Max Planck<, lau katika skeli za maikroniyi na tena kiufikirifu/nadharia juu ya maumbo na fahamu za uono/tafsiri...

Mbali kupita ulimwengu wa vipimo na mashauri ya tafsiri, akili yetu ya kawaida haina uwezo wa kubaini 'dhana' na 'tafsiri' kwa ‘udhahania’ wa mambo. Kwa mfano, unashika kitu mkononi nakusema hili ni jiwe... Je, jiwe limeundikaje? Kama jiwe limefanyika kwa chembechembe ndogo sana za kimuundiko, Je, hizo nazo ukizigawa utaishia na nini? Hili ndilo lipelekea Myunani Demokratiasi kunadharisha: ikiwa utagawa kitu kiwe kidogo... halafu kidogo... halafu kidogo mpaka basi -- utafikia mahala na >'kitu kisichogawanyika'<... Japo sayansi ya leo humnukuu Demokratiasi kwa uasisi wa dhana ya 'atomu/tonadari/atomosi' kama 'ile chembe isiyogawanyika'; ukweli wa jambo lenyewe hasa ni kwamba Demokratiasi alikuwa akizungumza kimetafo ya jambo iliyokuwa ni kinyume na 'Kubwa Moja isiyogawanyika' iliyokuwa ikiaminiwa na wengi wakati wake--huku akiwa ni 'muangua kicheko'... Lakini, hapa tushike moja -- katika matendo ya kutoa ama kujumlisha, ukweli wa jambo unaweza kufaa 'hisabati' kwa mapana fulani lakini kumbe ikafika mahala, hesabu haina la maana hasa... Hili tulitie akilini kama 'Mantiki Inifinitamu'...

Sasa, Akili zetu haziwezi kujishughulisha na jambo la 'Mantiki Inifinitamu' ila kwa 'kuuzunguka mbuyu'... Jambo hili ndilo hututoa kwenye 'Elimu' na kutuingiza kwenye 'Ilimu'. Elimu 1.0 kama maarifa na ujuzi kwa vile vyote vyenye mwanzo na mwisho; na Elimu 2.0 kama ujuzi wa kutafsiri mapana ya uono(muktadha), mahusiano ya mambo yake na fanusi zake. Elimu 3.0 kuwa basi ni ‘ILIMU’ ilivyo ni metafizikia ya Elimu...

Hisabati ni ‘uti wa mgongo’ wa Elimu 1.0… Hebu tuyatazame ya hisabati na kihisabati – matendo yake, mantiki zake na utafsiri wake kuhusiana na ‘Mantiki Infinitamu’ na mapelekeo yake yenye kujinasibu na ‘Metafizikia’.

Mantiki Infinitamu, kama vile ilivyopata kuwa jambo dhahiri kwa mwanahisabati >George Cantor<, ni lile la kuliita 'refu lisilona mwisho' kwa kuzidi/kuongezeka katika namna ya seti yoyote ya muambatano wa vitu -- vitu vya tafsiri kwa mapana ama ukubwa. Kwa mfano, moja(1) iliyo ni kitu chenye 'makubwa' fulani, kugawa kwa sifuri(0) ya 'makubwa', jibu lake, katika hali isiyokawaida >kihisabati< -- ni 'kuelekea inifinitamu' ya 'makubwa'; yaani si kusema hasa 'haiwezekani'(kugawa makubwa) ila kadiri ya jitihada hii ni 'kuelekea inifinitamu' ya 'vina vya tafsiri', hata kihisabati; nayo huandikwa (∞). Hii ni namba nane(8) iliyolala. Ukitumia kikokotoleo kubofya '1 'halafu 'gawanya' na kisha 'sifuri', basi siyo ajabu mara baada ya kubonyeza '=' itakuja herufi 'E'. Hivi ni basi kwa kuwa 'mantiki infinitamu' ijavyo kupitia ukadirifu wa vikomo; yaani ukichukua nambari nzima ukagawa kwa ukiduchu, kiduchu tena kiduchu... kiduchu mpaka basi--kadiri ya 'jibu lake' itakuwa inaelekea kwenye >'inifinitamu'<. Na basi kwa kanuni za matendo ya kihisabati yenye kuhusiana na kujumlisha, kuzidisha na kugawa, kwa vi-operatisho ‘sifuri’ na ‘infinitamu’ na ‘moja’, 1 = 2… Kupindua kanuni hizi ndiko kumetuletea pia dhana ya ‘Nambari Tata’, yaani nambari ‘moja(1)’ ndiyo pekee yenye pacha hasi(-1) ambavyo ikibidi kupunguza ‘ukubwa eneo wake kimraba’ huwa na kadiri ya thamani ‘i’, yaani kupelekea uono wa kitafsiri hisabati ya kwamba √(-1)=i. Hii ‘i’ ni herufi ya kwanza ya neno ‘imaginary’(kng), yaani ‘yakufikirika tu kuwepo’, kiakili, pia kuwa na kadiri ya thamani ya kitathmini katika >milinganyo ya kinambari tata<...

Kinyume cha Mantiki inifinitamu, ni 'inidefitamu'; yaani kwamba sifuri(0) kugawa kwa (1) jibu lake si sawa hasa na 'sifuri'... Bali ni namba ndogo ndogo ndogo zaidi kuelekea 'sifuri'. Je, kuna 'sifuri' hasa 'inayopimika'? Ikiwa sifuri haipimiki--kwa kuwa ni sawa na hakuna kitu, basi ulimwenguni hakuna 'sifuri' hasa, bali kiduchu, kiduchu, kiduchu... 'kiduchu mpaka basi' ya kitu fulani… Kwa lugha ya kihisabati kupitia Kiingereza, operesheni ya namna hii hutajwa ni ‘hali’ ya kuwa ‘undefined’--kile chenye kukosa kitovu cha utathmini kwa wakati…Ikiwa kwenye 1/0 tunaona wakati ‘unasonga mbele’, twaweza kusonga nao sambamba; 0/1 twaona wakati ni ‘SASA’ lakini ni kama vile jibu tutalipata iwapo huu utasimama… Kwa hivyo tunaweza kubayanisha ‘lugha alama’ ya kiwakati katika 1/0 na pia 0/1—kivyote viwili, ‘kiwakati’ na ‘kisupasha’...

Kihisabati, na tena opereshani za kiunambari tata, Umbo duara ndilo hukutanisha mawili haya, kwa mlinganyo wa Euler, ubayanishao: >eiφ=cos φ+isin φ< ; kiukubwa eneo, √(-1) ni basi, kwa sehemu, nasibu kiungo ya kutanukia kwenye >‘supasha giza/supasha isiyodhahiri’<, na kusema tena ni >unafasi-wakati< uliojificha.

Kupitia'nukta ya kati ya kipenyo' hasa kwa mduara/tufe-- ule ‘ukatikati’ wake hasa ni kitu kisichopatikanika kwa 'hakika kamili'. Katika ulimwengu wa mapana na marefu kwa mfano, ikiwa unatafuta 'nukta katikati hasa ya kipenyo'ya duara lolote, daima utaishia na 'eneo la kadiri'la hiyo nukta hiyo kuwepo lakini si 'nukta yenyewe hasa'. Hii ndiyo kisa na mkasa wa pai (π), kugawa ‘marefu ya mzingo wa duara’ kwa ‘marefu ya kipenyo’ chake daima kunazaa namna ya nambari 'isiyokamili' bali tu 'kukadirishwa' kunako hatua kadhaa za desimali kuchukuliwa, kwa mfano π=3.14 badala ya π=3.141592653589793238.... Pai ni >nambari isiyoreshenika<--wenye kuzungumza lugha ya kiingereza kuifahamu ‘Pai’ kwa kusema kuwa ni 'irrational number'… Hili likijinasibu na fizikia, maarifa Elimu 1.0 ya visomo kwa nishati, maumbo, mienendo, vizio vya ukubwa na tabia zake basi linakwenda kuingiliana na mambo ya dhana na vina vya tafsiri kwa >mlinganyo wa Schrödinger<, >‘kanuni ya Heisenberg’< na dhana kwa >urefu wa Ki-Planck<… Ambavyo makaniki ya ulimwengu dhahiri, machoni pa mtu wa kawaida wa visomo Elimu 1.0, yanaweza kukadirika kwa >‘fanusi wimbi’ ama ‘mifumo chembe-chembe-mienendo’<...

Tukirejea haya katika shauri la demokratiasi, ndiyo tunapata mwangaza ya kuwa labda kwenye kidogo kidogo kidogo mno cha ulimwengu ni 'kimoja' na kile kikubwa -- 'kikubwa kama yote na kila kitu'... Yaani ulimwengu wote mzima ni kitu 'kimoja'--iwe dhahiri(1) na kisichodhahiri(0); kifanyacho 'mpango mzima' ni kitu/jambo/kweli iliyo ni MOJA.

Wayunani, walikuwa maarifa ya kiakademi na esoteria kwa wakati mmoja. Wakati wa Renasansi, watu wa magharibi walivutiwa na maarifa ya Kiyunani lakini kwa kupendelea matumizi ya >'ubongo wa nusu ya kushoto'<--akili ya kimantiki, basi ndiyo kuna baadhi ya 'hekima' fulani iliwapita pembeni wafikirifu na wanasayansi wa siku hizo; naam, yumkini hata wengi wa leo. Hebu kwa mfano, tutafute kubaini asili ya alama 'Alfa', 'Omega' na 'Delta'.

Katika kitabu cha >Ufunuo<, kuna habari za 'Ukuu' unaojitambulisha kuwa ni 'Mwanzo' na tena 'Mwisho'--Alfa na Omega; jambo hili ni metafo, lakini hapo hapo ni alama na ukweli wa mambo. Leo hii, sisi wanadamu -- watu wa dunia hii, tuna ufikirifu lemavu... Japo ulemavu huu wa kiakili si wa kudumu. Katika uzi wa "Njia Nyepesi ya Kuundoa Umaskini" tumeanza kulimulika hili kusudi 'tumalizane nalo' kwa kulingania 'ufikirifu mifumo' iwe ufundi kwa watu wote na ili tuweze >'kuondokana na akili ya kimaskini'<... Sasa, ambacho kilikuwa hakijatajwa, sambamba na hilo, ni 'ufikirifu bebanifu picha' -- haya kwa wenye kuzungumza kwa lugha ya kiingereza wangalitaja 'Systems Thinking' na 'Topological Thinking'....

Kwa nini tunahitaji Ufikirifu Mifumo na Bebanifu picha?

Duniani leo hii, visomo vyetu, ujanja wetu na michezo yetu ina mtaji kwenye 'ulemavu wetu kiakili'... Iwe siasa, uchumi, mipango yote imegubikwa na >'vina vya tafsiri' vilivyo ni mushkeli<. Sisi watu tulionyuma kimaendeleo kwa mfano, ndiyo wahanga taslimu wa "michezo yetu, mauti yetu"... Dunia yetu ni ya vipofu kuongoza vipofu wenzao; sasa wote tuko shimoni lakini kuna wachache wanafurahia kusafiria 'nyota za wengine' kwa haramu inayohalalishwa -- na basi wote tunaridhia mchezo si kwa wema bali kutokujua ilivyobora. Mwenye kujua iliyobora, daima atachagua na kujichagulia mapito yake ilivyo vyema; ikiwa ipo nia.

Leo tuna kasumba ya 'kufuata ya magharibi' pasipo tafakuri 'dhamiri na kusudi' katika kujiondoa na utegemezi wa kimifumo na mikosi.

Ufikirifu mifumo na bebanifu picha ndiyo rasilimali-akili pekee tuliyonayo hapa na sasa itakayotunasua na mitego ya 'demokrasia' na 'chumi' za laghai za 'biashara huria' na 'masoko' kiutandawazi -- ambao kimsingi ni 'utanda-wizi'...

Kungine, umepata kuona na kusikia ya pembe tatu ya >'Siasa za Nchi', 'Mpango ya Utumishi' na 'Kujengea Jamii Uwezo'<: Namna gani siasa yaweza kuwa 'chokochoko', mipango na utumishi yafaa kuwa ni 'wito' na mikakati mipana kuliko 'shughuli ya siasa' -- namna gani walau siasa yabidi kulandana na mikakati ya muda mfupi na mirefu ya nchi...

Sasa, rejea ya Alfa na Omega, hiyo pembetatu ni 'Delta' na mapana ya jamii ni 'Omega'; pembetatu ya ndani ni namna ya 'Alfa' -- fumbo la kuhitaji kufumbuliwa...

Tumulike mawili matatu ya 'Delta'....

Sayansi na hasa fizikia na kemia, imekopa alama 'delta' kutoka kwa wayunani kuwa alama ya 'mabadiliko'... yaani kuwa kama: 'delta-joto' ni lugha ya kisayansi/kialama kwa 'badiliko katika joto'... Hili ni muhimu katika kutukumbusha kwamba 'kujua ni ualama'... Akili zetu hufanyakazi kwa lugha ya picha na ushahibiano; ndiyo maana jamii huchambuliwa kisosholojia kwa 'muuingiliano wa alama oanivu' ukiachia pembeni 'fanusi jamii' na 'nadharia migongano'. Kwenye sayansi ya uhandisi kwa mfano, pembetatu sawa hutumika kama kielelezo cha 'ufungamanifu-nguvu sawa' pale tunapobainisha 'kitovu/nguvu/kazi' juu ya uso bapa... Kwamba kuna hali tatu za utathmini, ukaaji kutulia, ukaaji pasi kutulia na nyutrali -- wenye kuzungumza kiingereza kusema 'stable, unstable na neutral equilibrium'...

Kutoka/kuhama kwenye seti moja ya maarifa na ujuaji hadi ingine pasipo mkwamo alhali tu ukaribishaji wa fikra zinazoendana, kufanana na kushahibiana ndiyo ufikirifu bebanifu picha. Mtu wa ufikirifu wa namna hii hana ukomo wa kuitwa mhandisi, mchumi, mwanasiasa, kuhani... Yeye akili yake ni kama maji. Ujuaji wake kwa wakati hauna ukomo wa kubaini, kujifunza na kutanuka katika wanda na seti moja hata ingine ya/za vina vya tafsiri.

Katika ulimwengu wa leo wa ongezeko la maarifa na taarifa; sisi watu hatuna budi kuingia katika 'toleo jipya' la nidhamu na wepesi wa akili. Ule ujinga wa 'Kima ona, kima fanya'--kuiganagana na kumuangalia mzungu kama 'mjanja wetu' hakuta tufaa kitu hasa; tutaishi maisha ya kujidhalilisha na kusubiri mzungu 'atuletee majibu na vumbuzi'... Yumkini kuna wengine kati yetu watafikiri hawana kasumba ya 'mzungu na mwafrika' kwa mfano; dah--katika ulimwengu ambao kile ukitiacho machoni 'kimetoka duniani' -- jua upende usipende tayari unanasibu ya 'kujiona mdogo' mbele ya watu hao 'kutoka mbele'... Swali ni je, mpaka lini utaendelea kuruhusu wewe na kizazi chako muwe 'wasindikizaji' duniani?

Walter Russel alikuwa sahihi: dunia hii, udunya ni maradhi ya kujitakia, akilikubwa ni kujipa mwenyewe, akisema kwa maneno yake: >"mediocrity is self inflicted, genius is self-bestowed"<...

Ufikirifu topografu kwa minajili ya mapana ya Pembetatu ya ufraktali wa ufikirifu: (1)siasa za nchi/(2)Mipango ya Utumishi/(3)Uwezo wa Jamii, hutupatia zana inayowezesha kupata koherensia ya ufikirifu ikiwa maarifa haya yatakuwa wazi kwa watu wengi ama jamii pana...

Kukosa kuona kiufundi muktadha kwa 'ontolojia ya taasisi', 'Uono' na 'Sura na mienendo ya Jamii' ndilo jambo linalozaa 'kila mtu na lwake' kimaoni, upeo na tafsiri ya mambo. Hili kwa mfano, hata humu JF linazaa mijadala isiyo na dutu kuhusu watu na taifa. Ikiwa watu wengi wanabaini jambo kuhusu 'pembetatu ya akili', siku si nyingi, umma wa wana-JF utapata chachu na ubora wa mashauri utakaopelekea maendeleo kiutamaduni na matendo... Watu wanapoanza kuwa na maua fikra yenye kufanana ama kulandana hili huimarisha 'uwezo na nguvu' kwa mashauri yao... Hili ni sawa na mfano wa tofauti ya kinguvu kati ya kurunzi ya 'mwanga wa kawaida' na ile ya 'biru'... Biru, wenye kuzungumza kiingereza huita 'laser', ni mwanga wenye nguvu na uwezo 'kuliko kawaida' na hali mwenyewe si kingine ila mwanga unaofanyika kwa mawimbi yenye koherensia ya kimnunurisho... Umoja ni nguvu--hata kwenye ulimwengu wa kiakili, mawasiliano na maingiliano; na hivyo kwa akili, hili huja na koherensia ya ufikirifu...

Kwa ujumla, sasa hivi, duniani kote lipo jambo kuu linalohitajika kutukia. Ikiwa 3% ya watu duniani wataamka kwa kubaini ukweli wa haya yalizungumzwa kuhusu koherensia ya ufikirifu, ufikirifu mifumo na bebanifu picha(ufikirifu topografu) basi ulimwengu mpya utaibuka ulio na kheri na maendeleo ya kweli. Mifumo ya leo ya siasa na chumi 'itajifia'... Mifumo bora isiyotokana na hii ya sasa ijayo kwa 'akili ya kimaskini' itainuka, kukua na kushamiri... Kwa huwa, mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe; kama alivyopata kusema Mfizikia Albert Eiensten, >hauwezi kutatua matatizo kwa akili ile ile iliyoyaleta hayo matatizo<... Visomo vinavyoanza michukulio ya ukosefu na mapungufu, iwe kiuchumi--dhana kama jadili za 'rasilimali haba' n.k. haziwezi kujinasibu kitopografu na visomo vya 'ujazi'.

Ufahamu Kristu< kwa mfano, unaanza na uwezo katika mtu -- tunaoweza kuutambua kama 'usanisi'. Usanisi ni namna ya kutangamanisha viwili vyenye kusigana na kuishia kwenye cha tatu ambacho ni zao ya vyote viwili -- lakini kuwa kama moja. Ni sawa na kusema pia, kilichopo na kisichokuwepo kama moja... Kilichodhahiri na Kisichodhahiri kama moja... Katika mifumo hai yabisi, usanisi ni namna ya mapigo ya moyo ama pumzi; kana kuwa--moyo hutanuka na kusinyaa na pumzi huingia na kutoka mwilini... Kutanuka na kusinyaa ni fanusi mbili tofauti kisupasha... Ili zote 'zidumu kuwepo' hazina budi 'kupeana wakati'... Hili litukumbushe jambo la msingi: 'Wakati ndiyo Muamuzi' wa mfanyiko wa yote--yaliyodhahiri na yasiyodhahiri. Tutapoanza kutafuta siri za 'wakati' basi kuna mengi, kupitia ufahamu Kristo, yataanza kufahamika ambapo kwa akili ya kawaida hatujapa kudhani ama kufikiri tofauti... Kwa mfano, watu hutaka kufikiri 'Dunia ni ya Mungu'--iliumbwa na mungu... Ambacho kitafikia akilini, pale roho ya kweli na neema ianzaavyo kujaa ndani ya mtu ni kwamba--fikiri pia kuwa 'Mungu ni huo wakati'... Basi humu Jamiiforums, hili limetayarishiwa njia kuja kuingia vizuri kwa watu, katika uzi wa Kusafiri Kiwakati 101...

Sasa katika uzi wa >Kusafiri Kiwakati 101<, tundiko la kwanza kabisa lilimtambulisha mwanasayansi Nikolai Kozyrev wa Urusi. Mwanasayansi huyu ndiyo kati ya watu wa kipekee katika karne ya 20 kupata kusema pasi shaka 'Wakati ni kitu hai' baada ya kubaini jambo kulingana na matokeo ya uchunguzi wake. Kwamba wakati una namna zake za 'kimaumbile' kama ilivyo kwa maada asili lakini '-- namna yake ni isiyo na kawaida tuliyoizoea... Humu JF tayari kuna watu wamekuwa wadadisi wa jambo/mambo kama haya japo tu wanakosa nukta sahihi ya kuyaingia maarifa ya haya. Basi katika uzi >'Dark arts za intellijensia II: Uchawi na kiini macho kwenye uwanja wa vita' tundiko namba #3<, moja ya vijalada viwili vilivyoambatanishwa, Nikolai Kozyrev anajitokeza kutajwa katika ukurasa wa 9, kati ya 23, kama (N.A.Kozyrev, Н.А.Козырев)...…
....​
Hmmm
 
Maada | Unafasi | Jicho Ona Kote na Mote | Wakati | Nishati

Vyote hivi ni MOJA.

... Vile kuweza kusema kwa mfano: 'Mungu yuko pahala pote' na tena kusema: 'Ufalme na Nguvu na Utukufu, viko naYe milele na milele'; kauli hizi mbili ni mbegu kwa ukweli rahisi, japo unaweza kutatiza akili za kawaida za sisi watu.

Mungu ni 'maada', 'unafasi', 'fahamu katika chochote na vyote', 'wakati' na 'nishati'... Ni tu bado kidogo elimu yetu ya kawaida ina ukomo katika uono na vina vya tafsiri. Hii ni ELIMU 1.0...

Milele na milele ni fanusi ya 'wakati'... Nguvu na Uweza ni fanusi ya 'Nishati'; nishati kwa tafsiri ya fizikia ni 'sehemu' tu ya 'ukweli mzima'...

Wenye jitihada za kutafuta kujua ilivyobora, wataanza kujinasibu na ELIMU 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo; huu utaleta 'daraja' la maarifa kwa >'Ukweli Mzima'
Lakini tena, ELIMU 2.0 inatengeneza njia kwa ELIMU 3.0 ambavyo tutaanza kujinasibu na uwezo na karama zinazopitiliza kawaida -- hii kawaida ya 'akili ya nyama'...

Sahau unachofikiri unajua kuhusu fizikia, kemia, hisabati, jamii na mawezekano... ELIMU 1.0 bado ni 'danganya toto...'; ni 'kujua mambo kwa sehemu'--kule kufanania na 'kujuajua' lakini si kujua kamili... Tafuta 'ukamilifu' katika kujua, na basi usije kushangaa, nikujitafuta je, wewe mwenyewe u nani hasa?

Uzima wako ni fumbo katika 'Mungu'--wakati ni konjugali ya 'Mungu mwenyezi'; ukiwa na maarifa ya ELIMU 3.0, uwezo unafanyika kwako kufahamu hata yaliyo katika 'wakati mwingine', kwa kuwa kila mwenye usentienti--mwenyeufahamu, ana sonafi--hichi ni kitovu ambacho 'siri za nafsi zako' katika uwepo wako huku ama kule, kiwakati, zinaishi na kudumu... Na sahau unachofikiri kuhusu wakati... Akili ya nyama inadanganya, kule kuona 'matukio' yako kana 'yanatoka nyuma kwenda mbele'... Wakati, si kitu hasa cha namna hii--matukio ni tafsiri tu alama zinazoishi, ukibaini undani wa alama hizi unaweza hata 'kuathiri' mambo ya 'jana' na hata 'kesho' pasipo 'msababisho/msababishano'...

Na ndiyo, ukibarikiwa ufunuo, utashangazwa namna gani 'Sala ya Bwana' aliyofundisha Yesu ni lugha ya 'kutenda' pasipo 'matendo' na hali unajinasibu na 'athari' za mambo ya nyakati--riziki kwa wakati, kuvunja minyororo ya 'madeni', 'kuchagua ilivyo bora/yaani kuepushwa na fanusi ibilisi ndani yako' na hasa: 'Mema yasiyoonekana' yaje pia kama 'hapa na sasa'; ndani ya 'muktadha wa mambo ya mbingu na nchi'...

Utakuingia 'uono na ufikirifu mifumo' fasaha: Yesu ni mmoja wa watu hawa 'wakujinasibu na nyakati zote' kupitia 'Metafanusi'--'Uzima katika yote' ilivyo ni 'Mungu'... Hili halipasi kukushangaza, jiulize tu kwa nini kuna mambo, katika habari za simulizi za injili, zinaonesha kuwa aliweza kuyazungumza kana kwamba yatakuja kutukia mbele ya wakati, na tena kweli yanafanania: >'maarifa kuja kuongozeka', 'utapeli wa kidini'
++++


Kudumu kwa Jamii yoyote kuna upande mwingine wa mambo ambao Elimu 1.0 ‘haina msaada’; kwa kuwa ni Elimu 3.0 ndiyo yenye ‘ufunguo’ wa ukweli wa mambo—kweli inayoweza kupitiliza kawaida tuifahamuyo.

Elimu 3.0: Ilimu ilivyo ni metafizikia ya Elimu; kiuono mifumo, tena kwa mfano kuja na fremu-kazi ya Uono mifumo, tunaweza kuibaini kwa kuanza kushughulika na visomo kwa ‘numenoni’ ya finomena iliyo ni ‘wakati’. Kwamba huu ni muktadha wa maarifa unaoanza kuwa ‘vina vya tafsiri’ ya mambo iliyo ni ‘nje-ndani’ kwa uono wa kawaida wa mambo. Elimu 3.0 ni ‘Ufunuo’ kwa kuwa hujinasibu na ujuzi, upeo na karama za ‘hisia ya sita’ katika ‘jicho la mtu’--fikara.

Ilimu ilivyo ni metafizikia ya Elimu, huanza na ‘muda’ katika wakati, kadiri huu ni kizio cha mabadiliko ya kimienendo, unafasi(supasha), nishati na dutu-meta. Basi haya yote kufuzu akilini mwa mtu kama ‘mapana nje-ndani’ ya mtu, taasisi, machaguo na wakati. Akili ya mtu mwenye kujinasibu na ‘hisia, maono na makarama’ ya Elimu 3.0 haina budi kuwa na ‘vina vya tafsiri’, ‘ubayanifu’ na ‘Kognisha’ isiyolazima kuwa kama kawaida ya mambo yajayo na ‘jicho la kawaida’ na ‘mafikara’ yake.

Ilimu ilivyo ni metafizikia ya Elimu, hujinasibu na mantiki inifinitamu, viasi na hadhi zake katika maada halisi na pia >mfumo mpinduko< wake kwa kikosmosi halisi(unafasishi dhahiri) na ya ‘gizani’. Hili linatuletea Elimu 2.0 na Elimu 1.0 katika sura ya uono, ufikirifu na kumbukumbu ziwezazo kuwa na kinyume na kawaida tuliyoizoea. Unafasishi na muda kuwa basi viwili ninavyoingiliana kana vile, unafasi unaojifinyia kwa ndani ndiyo chanzo cha ‘kani kitovu’-- kuelekea ncha moja isiyokuwa na mwanzo wala mwisho, katika maada; na ‘mwangaza’ kuwa ‘kani’ inayohuluku kinyume cha maada ilivyo ni ‘wakati’. >Wakati hujifinyia kwa ndani katika kosmosi ya ‘gizani’< ambavyo humo huwa na ‘marefu, mapana na kina’ kadri maada huwa na ‘marefu, mapana na kina’ katika ulimwengu wetu dhahiri—unafasishi. Kwa hivyo tunaishi katika metafanusi ya ilivyo ni unafasishi-wakati katika sifa ya hadhi ya ‘unnje-ndani’, na huku hapo hapo ni ‘undani-nje’…

Yesu aliposema >‘Ufalme wa Mungu/Mbingu’ u karibu—u ndani yako
Kwa mtu wa Uono na Ufikirifu mifumo, kuna namna ya kubaini topografu za mafikara-maarifa kwa kadiri vipi Ulimwengu wote mzima upo >ndani-na-nje ya kila ‘nukta’< ya kizio chochote cha maumbile ama wakati. Mafikara-Maarifa yetu, ni kujua kwa sehemu japo kwa >mtu wa uono na ufikirifu mifumo anaweza kutumia lolote lifikiriwalo na wanajamii< ili kubaini vikomo vya uono, ontolojia ya taasisi na sura na muenedendo wake. Pasi ukiondoa Wafikririfu wa kawaida, wawe wa jana, leo ama kesho--hawa si wajuaji kamili; Labda ni Wasikirifu ndiyo wamepata 'kupitia ufunuo' halafu wakazungumza ama kwa metafo ama 'mafumbo' kuhusu ulimwengu na walimwengu--Yesu akiwa ni mmojawapo wa Wasikirifu maarufu, ama tuseme 'si mgeni' katika kasikio ya wengi. >Wasikirifu wote wamepata kubaini 'undani-na-nje ya kila nukta' pia -- huku wakipata shida kuelezea ukweli hasa wa mambo kwa walimwengukatika ‘yeYe’, tunao huu uzima< – alikuwa akiashiria ‘Metafanusi ya Utatu Mtakatifu’...Na tena basi Paulo aliponena juu ya >‘kina, mapana na marefu’< ya ‘upendo’, kama ionekanvyo na watakatifu wote alikuwa anaeleza juu ya muktadha wa metafizikia ya ‘kani kitovu’>(nguvu yunivasali ya uvuto)< ilivyo hasa ni ‘Upendo’ na hekima kwa waja wema -- upendo wa ‘Mungu’ usiyojua mpaka, 'muktadha mwana' wa 'Utatu' ulio ni ‘Kristo’…

Lugha ya uono na ufikirifu mifumo kwa Paulo ndiyo basi ni muktadha wa kubayanisha mahusiano ya kifanusi kwa ‘Kristo’ na ‘Uzima katika Mwangaza wa Milele’-- kutofautisha tafsiri ya maono ya kimafikara-maarifa ya ‘Elimu 1.0’ na ‘Elimu 2.0 iliyonasibika kufahamu yale yaliyositirika’-- ile >konjekcha ya ‘Metafanusi’ ya ‘Utatu Mtakatifu’< kwa mambo ya fahari kwa miili ya nchi(udongo/unafasishi) yenye kuharibika; na miili ya mbinguni(nyotani/mwangazani) isiyo na kuharibika….

Kwa kutambua tofauti za Elimu 1.0, Elimu 2.0 na Elimu 3.0, Paulo alikuwa sahihi kabisa; tena ‘kiuono mifumo’ na ‘ilimu ya metafizikia’, alipotaja habari za >Hekima ya Mungu ilivyo ni ‘kuwa na nia/akili ya kristu’< na kuutafuta ‘ufunuo’ ambavyo >‘Muona ni Muonwa’< katika Metafanusi iliyo ni UPENDO…

Ili kubaini ‘Muona ni Muona’ huja aje na Elimu 3.0, hebu tutembure uwanja wa antakarana--alama, fahamu na hisia-akili...

Ulimwengu, kadri ya ujengaji wa taswira akili mwetu—kimafikara-maarifa, una hadhi kana 'ndumilakuwili' kwa wakati mmoja -- ni wenye dhahiri ya ‘kupimika’ na ‘isiyopimika’.

Dhahiri ya kupimika ndiko huku kuona 'lenye mwanzo, lina mwisho'; isiyopimika ni 'sifa na tabia' ya jambo ama mambo ambayo wakati wote hufungamana na 'viasi na tafsiri' katika vipawa vyetu vya akili na uweza wetu wa kawaida wa kuhisi/kujua/kubaini kweli ya jambo husika. Hili kwenye sayansi ndicho huzaa ujuzi wa 'uchanganuzi kiasi' na 'uchanganuzi usifa'--wenye kuzungumza haya kwa lugha ya kiingereza wangalitaja 'quantitative analysis' na 'qualitative analysis'... Hivi kutafsiri kimafikara-maarifa kana kwamba dutu kuwa na tabia za ‘mjengeko’ na ‘ubomokaji wa kimaada’ unaoweza kutathminika kimisingi ya vitendo ya sayansi, kiviasi na tabia za oanifu –- tawi la sayansi lijulikanalo kama >kemia
Dhahiri pia hupimika kwa 'nishati na mienendo'... Kwamba, vitu hujongea kwa nguvu na mzuto, wenye kuzungumza haya kwa lugha ya kiingereza wangalitaja >'Power' na 'Momentum'fizikia< ni visomo vya uhusiano wa >'maada'< na >'nishati''fizikia ya makanika ya ki-Newton''mienendo halijoto'kosmosi'ukungu wa nyota' na 'utupu'"joto na baridi"< vinauhusiano upi na 'kuanza' ama 'kwisha' kwa ulimwengu? Hili ndilo fumbo mojawapo kwa 'mizania' ya 'sifa/tabia/mwenendo... Lakini, tusihofu; kwa akili ya kawaida, kupitia visomo vya Elimu 1.0, hata sayansi haina jibu la msingi ila tu >'porojo' za 'nadharia' za 'mwanzo na mwisho'< wa ulimwengu, walau za muktadha fulani wa uono usiokamilifu -- mambo kama 'Big Bang'/'Maada kiza'/'Mawimbi Maikroniyi ya Upande wa Nyuma-mwanzoni kiwakati'...
Kwa hivyo haya yatukumbushe la msingi: ‘hesabu’ na ‘hisabati’ hujengwa kwa misingi ya ‘viasi’ na ‘ulinganifu’. Yote yenye 'mipaka' tunaweza kutafuta namna ya kuyakadirisha hivi ama vile ili tuyalinganishe kwa hili ama lile lenye kuonekana kama kwamba kuna ‘uhusiano’. Lakini kwa yale tusiyoweza kuyapima hasa, basi, mbinu visomo za kutegemea hesabu na hisabati zawa 'hazina msaada'… Fumbo hasa la kivisomo - Elimu 1.0 kwa >‘Uyanikifu ama/na Uyanikifu Mkuu’
Na hapa ndipo tunapata ufunguo, kwa nini ‘Elimu 2.0: Uono na Ufikirifu Mifumo’ yajibainisha utofauti wake na ‘Elimu 1.0: Kujua kusoma na kuandika’ kwa kuwa hii Elimu 2.0 hupindua 'uono' kutoka kwenye paradaimu za ‘kidogo na kidogo hufanya kikubwa’ yaani uchanganuzi wa kiyakinifu ilivyo ni Elimu 1.0; hadi kwenye usanisi: kutathmini 'mahusiano' ya vifanyavyo muktadha wa 'viunda na vitendo ingilianifu' kwa kadiri 'mafikara-maarifa' ya kubayanisha yote hayo kana ni sehemu ya kweli ipi ya 'nzima moja'--kwa kuoanisha 'mantiki infinitamu' na 'indefinitamu ya usupasha';>Uzima kama mwongozo wa kubayanisha 'mifumo'alivyobaini mwanasayansi wa fizikia ya Kikwantumu Max Plancknadharia juu ya maumbo na fahamu za uono/tafsiri...

Mbali kupita ulimwengu wa vipimo na mashauri ya tafsiri, akili yetu ya kawaida haina uwezo wa kubaini 'dhana' na 'tafsiri' kwa ‘udhahania’ wa mambo. Kwa mfano, unashika kitu mkononi nakusema hili ni jiwe... Je, jiwe limeundikaje? Kama jiwe limefanyika kwa chembechembe ndogo sana za kimuundiko, Je, hizo nazo ukizigawa utaishia na nini? Hili ndilo lipelekea Myunani Demokratiasi kunadharisha: ikiwa utagawa kitu kiwe kidogo... halafu kidogo... halafu kidogo mpaka basi -- utafikia mahala na >'kitu kisichogawanyika'tonadari/atomosi' kama 'ile chembe isiyogawanyika'; ukweli wa jambo lenyewe hasa ni kwamba Demokratiasi alikuwa akizungumza kimetafo ya jambo iliyokuwa ni kinyume na 'Kubwa Moja isiyogawanyika' iliyokuwa ikiaminiwa na wengi wakati wake--huku akiwa ni 'muangua kicheko'... Lakini, hapa tushike moja -- katika matendo ya kutoa ama kujumlisha, ukweli wa jambo unaweza kufaa 'hisabati' kwa mapana fulani lakini kumbe ikafika mahala, hesabu haina la maana hasa... Hili tulitie akilini kama 'Mantiki Inifinitamu'...

Sasa, Akili zetu haziwezi kujishughulisha na jambo la 'Mantiki Inifinitamu' ila kwa 'kuuzunguka mbuyu'... Jambo hili ndilo hututoa kwenye 'Elimu' na kutuingiza kwenye 'Ilimu'. Elimu 1.0 kama maarifa na ujuzi kwa vile vyote vyenye mwanzo na mwisho; na Elimu 2.0 kama ujuzi wa kutafsiri mapana ya uono(muktadha), mahusiano ya mambo yake na fanusi zake. Elimu 3.0 kuwa basi ni ‘ILIMU’ ilivyo ni metafizikia ya Elimu...

Hisabati ni ‘uti wa mgongo’ wa Elimu 1.0… Hebu tuyatazame ya hisabati na kihisabati – matendo yake, mantiki zake na utafsiri wake kuhusiana na ‘Mantiki Infinitamu’ na mapelekeo yake yenye kujinasibu na ‘Metafizikia’.

Mantiki Infinitamu, kama vile ilivyopata kuwa jambo dhahiri kwa mwanahisabati >George Cantorkuongezeka katika namna ya seti yoyote ya muambatano wa vitu -- vitu vya tafsiri kwa mapana ama ukubwa. Kwa mfano, moja(1) iliyo ni kitu chenye 'makubwa' fulani, kugawa kwa sifuri(0) ya 'makubwa', jibu lake, katika hali isiyokawaida >kihisabati< -- ni 'kuelekea inifinitamu' ya 'makubwa'; yaani si kusema hasa 'haiwezekani'(kugawa makubwa) ila kadiri ya jitihada hii ni 'kuelekea inifinitamu' ya 'vina vya tafsiri', hata kihisabati; nayo huandikwa (∞). Hii ni namba nane(8) iliyolala. Ukitumia kikokotoleo kubofya '1 'halafu 'gawanya' na kisha 'sifuri', basi siyo ajabu mara baada ya kubonyeza '=' itakuja herufi 'E'. Hivi ni basi kwa kuwa 'mantiki infinitamu' ijavyo kupitia ukadirifu wa vikomo; yaani ukichukua nambari nzima ukagawa kwa ukiduchu, kiduchu tena kiduchu... kiduchu mpaka basi--kadiri ya 'jibu lake' itakuwa inaelekea kwenye >'inifinitamu'milinganyo ya kinambari tata
Kinyume cha Mantiki inifinitamu, ni 'inidefitamu'; yaani kwamba sifuri(0) kugawa kwa (1) jibu lake si sawa hasa na 'sifuri'... Bali ni namba ndogo ndogo ndogo zaidi kuelekea 'sifuri'. Je, kuna 'sifuri' hasa 'inayopimika'? Ikiwa sifuri haipimiki--kwa kuwa ni sawa na hakuna kitu, basi ulimwenguni hakuna 'sifuri' hasa, bali kiduchu, kiduchu, kiduchu... 'kiduchu mpaka basi' ya kitu fulani… Kwa lugha ya kihisabati kupitia Kiingereza, operesheni ya namna hii hutajwa ni ‘hali’ ya kuwa ‘undefined’--kile chenye kukosa kitovu cha utathmini kwa wakati…Ikiwa kwenye 1/0 tunaona wakati ‘unasonga mbele’, twaweza kusonga nao sambamba; 0/1 twaona wakati ni ‘SASA’ lakini ni kama vile jibu tutalipata iwapo huu utasimama… Kwa hivyo tunaweza kubayanisha ‘lugha alama’ ya kiwakati katika 1/0 na pia 0/1—kivyote viwili, ‘kiwakati’ na ‘kisupasha’...

Kihisabati, na tena opereshani za kiunambari tata, Umbo duara ndilo hukutanisha mawili haya, kwa mlinganyo wa Euler, ubayanishao: >eiφ=cos φ+isin φ< ; kiukubwa eneo, √(-1) ni basi, kwa sehemu, nasibu kiungo ya kutanukia kwenye >‘supasha giza/supasha isiyodhahiri’unafasi-wakati< uliojificha.

Kupitia'nukta ya kati ya kipenyo' hasa kwa mduara/tufe-- ule ‘ukatikati’ wake hasa ni kitu kisichopatikanika kwa 'hakika kamili'. Katika ulimwengu wa mapana na marefu kwa mfano, ikiwa unatafuta 'nukta katikati hasa ya kipenyo'ya duara lolote, daima utaishia na 'eneo la kadiri'la hiyo nukta hiyo kuwepo lakini si 'nukta yenyewe hasa'. Hii ndiyo kisa na mkasa wa pai (π), kugawa ‘marefu ya mzingo wa duara’ kwa ‘marefu ya kipenyo’ chake daima kunazaa namna ya nambari 'isiyokamili' bali tu 'kukadirishwa' kunako hatua kadhaa za desimali kuchukuliwa, kwa mfano π=3.14 badala ya π=3.141592653589793238.... Pai ni >nambari isiyoreshenikamlinganyo wa Schrödinger‘kanuni ya Heisenberg’< na dhana kwa >urefu wa Ki-Planck‘fanusi wimbi’ ama ‘mifumo chembe-chembe-mienendo’

Tukirejea haya katika shauri la demokratiasi, ndiyo tunapata mwangaza ya kuwa labda kwenye kidogo kidogo kidogo mno cha ulimwengu ni 'kimoja' na kile kikubwa -- 'kikubwa kama yote na kila kitu'... Yaani ulimwengu wote mzima ni kitu 'kimoja'--iwe dhahiri(1) na kisichodhahiri(0); kifanyacho 'mpango mzima' ni kitu/jambo/kweli iliyo ni MOJA.

Wayunani, walikuwa maarifa ya kiakademi na esoteria kwa wakati mmoja. Wakati wa Renasansi, watu wa magharibi walivutiwa na maarifa ya Kiyunani lakini kwa kupendelea matumizi ya >'ubongo wa nusu ya kushoto'
Katika kitabu cha >Ufunuo'kuondokana na akili ya kimaskini'
Kwa nini tunahitaji Ufikirifu Mifumo na Bebanifu picha?

Duniani leo hii, visomo vyetu, ujanja wetu na michezo yetu ina mtaji kwenye 'ulemavu wetu kiakili'... Iwe siasa, uchumi, mipango yote imegubikwa na >'vina vya tafsiri' vilivyo ni mushkeli
Leo tuna kasumba ya 'kufuata ya magharibi' pasipo tafakuri 'dhamiri na kusudi' katika kujiondoa na utegemezi wa kimifumo na mikosi.

Ufikirifu mifumo na bebanifu picha ndiyo rasilimali-akili pekee tuliyonayo hapa na sasa itakayotunasua na mitego ya 'demokrasia' na 'chumi' za laghai za 'biashara huria' na 'masoko' kiutandawazi -- ambao kimsingi ni 'utanda-wizi'...

Kungine, umepata kuona na kusikia ya pembe tatu ya >'Siasa za Nchi', 'Mpango ya Utumishi' na 'Kujengea Jamii Uwezo'
Sasa, rejea ya Alfa na Omega, hiyo pembetatu ni 'Delta' na mapana ya jamii ni 'Omega'; pembetatu ya ndani ni namna ya 'Alfa' -- fumbo la kuhitaji kufumbuliwa...

Tumulike mawili matatu ya 'Delta'....

Sayansi na hasa fizikia na kemia, imekopa alama 'delta' kutoka kwa wayunani kuwa alama ya 'mabadiliko'... yaani kuwa kama: 'delta-joto' ni lugha ya kisayansi/kialama kwa 'badiliko katika joto'... Hili ni muhimu katika kutukumbusha kwamba 'kujua ni ualama'... Akili zetu hufanyakazi kwa lugha ya picha na ushahibiano; ndiyo maana jamii huchambuliwa kisosholojia kwa 'muuingiliano wa alama oanivu' ukiachia pembeni 'fanusi jamii' na 'nadharia migongano'. Kwenye sayansi ya uhandisi kwa mfano, pembetatu sawa hutumika kama kielelezo cha 'ufungamanifu-nguvu sawa' pale tunapobainisha 'kitovu/nguvu/kazi' juu ya uso bapa... Kwamba kuna hali tatu za utathmini, ukaaji kutulia, ukaaji pasi kutulia na nyutrali -- wenye kuzungumza kiingereza kusema 'stable, unstable na neutral equilibrium'...

Kutoka/kuhama kwenye seti moja ya maarifa na ujuaji hadi ingine pasipo mkwamo alhali tu ukaribishaji wa fikra zinazoendana, kufanana na kushahibiana ndiyo ufikirifu bebanifu picha. Mtu wa ufikirifu wa namna hii hana ukomo wa kuitwa mhandisi, mchumi, mwanasiasa, kuhani... Yeye akili yake ni kama maji. Ujuaji wake kwa wakati hauna ukomo wa kubaini, kujifunza na kutanuka katika wanda na seti moja hata ingine ya/za vina vya tafsiri.

Katika ulimwengu wa leo wa ongezeko la maarifa na taarifa; sisi watu hatuna budi kuingia katika 'toleo jipya' la nidhamu na wepesi wa akili. Ule ujinga wa 'Kima ona, kima fanya'--kuiganagana na kumuangalia mzungu kama 'mjanja wetu' hakuta tufaa kitu hasa; tutaishi maisha ya kujidhalilisha na kusubiri mzungu 'atuletee majibu na vumbuzi'... Yumkini kuna wengine kati yetu watafikiri hawana kasumba ya 'mzungu na mwafrika' kwa mfano; dah--katika ulimwengu ambao kile ukitiacho machoni 'kimetoka duniani' -- jua upende usipende tayari unanasibu ya 'kujiona mdogo' mbele ya watu hao 'kutoka mbele'... Swali ni je, mpaka lini utaendelea kuruhusu wewe na kizazi chako muwe 'wasindikizaji' duniani?

Walter Russel alikuwa sahihi: dunia hii, udunya ni maradhi ya kujitakia, akilikubwa ni kujipa mwenyewe, akisema kwa maneno yake: >"mediocrity is self inflicted, genius is self-bestowed"
Ufikirifu topografu kwa minajili ya mapana ya Pembetatu ya ufraktali wa ufikirifu: (1)siasa za nchi/(2)Mipango ya Utumishi/(3)Uwezo wa Jamii, hutupatia zana inayowezesha kupata koherensia ya ufikirifu ikiwa maarifa haya yatakuwa wazi kwa watu wengi ama jamii pana...

Kukosa kuona kiufundi muktadha kwa 'ontolojia ya taasisi', 'Uono' na 'Sura na mienendo ya Jamii' ndilo jambo linalozaa 'kila mtu na lwake' kimaoni, upeo na tafsiri ya mambo. Hili kwa mfano, hata humu JF linazaa mijadala isiyo na dutu kuhusu watu na taifa. Ikiwa watu wengi wanabaini jambo kuhusu 'pembetatu ya akili', siku si nyingi, umma wa wana-JF utapata chachu na ubora wa mashauri utakaopelekea maendeleo kiutamaduni na matendo... Watu wanapoanza kuwa na maua fikra yenye kufanana ama kulandana hili huimarisha 'uwezo na nguvu' kwa mashauri yao... Hili ni sawa na mfano wa tofauti ya kinguvu kati ya kurunzi ya 'mwanga wa kawaida' na ile ya 'biru'... Biru, wenye kuzungumza kiingereza huita 'laser', ni mwanga wenye nguvu na uwezo 'kuliko kawaida' na hali mwenyewe si kingine ila mwanga unaofanyika kwa mawimbi yenye koherensia ya kimnunurisho... Umoja ni nguvu--hata kwenye ulimwengu wa kiakili, mawasiliano na maingiliano; na hivyo kwa akili, hili huja na koherensia ya ufikirifu...

Kwa ujumla, sasa hivi, duniani kote lipo jambo kuu linalohitajika kutukia. Ikiwa 3% ya watu duniani wataamka kwa kubaini ukweli wa haya yalizungumzwa kuhusu koherensia ya ufikirifu, ufikirifu mifumo na bebanifu picha(ufikirifu topografu) basi ulimwengu mpya utaibuka ulio na kheri na maendeleo ya kweli. Mifumo ya leo ya siasa na chumi 'itajifia'... Mifumo bora isiyotokana na hii ya sasa ijayo kwa 'akili ya kimaskini' itainuka, kukua na kushamiri... Kwa huwa, mnyonge mnyongeni lakini haki yake apewe; kama alivyopata kusema Mfizikia Albert Eiensten, >hauwezi kutatua matatizo kwa akili ile ile iliyoyaleta hayo matatizo
Ufahamu Kristu< kwa mfano, unaanza na uwezo katika mtu -- tunaoweza kuutambua kama 'usanisi'. Usanisi ni namna ya kutangamanisha viwili vyenye kusigana na kuishia kwenye cha tatu ambacho ni zao ya vyote viwili -- lakini kuwa kama moja. Ni sawa na kusema pia, kilichopo na kisichokuwepo kama moja... Kilichodhahiri na Kisichodhahiri kama moja... Katika mifumo hai yabisi, usanisi ni namna ya mapigo ya moyo ama pumzi; kana kuwa--moyo hutanuka na kusinyaa na pumzi huingia na kutoka mwilini... Kutanuka na kusinyaa ni fanusi mbili tofauti kisupasha... Ili zote 'zidumu kuwepo' hazina budi 'kupeana wakati'... Hili litukumbushe jambo la msingi: 'Wakati ndiyo Muamuzi' wa mfanyiko wa yote--yaliyodhahiri na yasiyodhahiri. Tutapoanza kutafuta siri za 'wakati' basi kuna mengi, kupitia ufahamu Kristo, yataanza kufahamika ambapo kwa akili ya kawaida hatujapa kudhani ama kufikiri tofauti... Kwa mfano, watu hutaka kufikiri 'Dunia ni ya Mungu'--iliumbwa na mungu... Ambacho kitafikia akilini, pale roho ya kweli na neema ianzaavyo kujaa ndani ya mtu ni kwamba--fikiri pia kuwa 'Mungu ni huo wakati'... Basi humu Jamiiforums, hili limetayarishiwa njia kuja kuingia vizuri kwa watu, katika uzi wa Kusafiri Kiwakati 101...

Sasa katika uzi wa >Kusafiri Kiwakati 101mambo kama haya japo tu wanakosa nukta sahihi ya kuyaingia maarifa ya haya. Basi katika uzi >'Dark arts za intellijensia II: Uchawi na kiini macho kwenye uwanja wa vita' tundiko namba #3....​
Hmmm
Ufikirifu topografu kwa minajili ya mapana ya Pembetatu ya ufraktali wa ufikirifu: (1)siasa za nchi/(2)Mipango ya Utumishi/(3)Uwezo wa Jamii, hutupatia zana inayowezesha kupata koherensia ya ufikirifu ikiwa maarifa haya yatakuwa wazi kwa watu wengi ama jamii pana...
 
Tuifahamu time travel ninini kwanza (si lazima iwe sawa na ile unaifahamu wewe) .... Ni sawa na kurudisha muda nyuma na kuleta uhalisia wa jambo lililipita ulifanye tena ama kupeleka muda mbele na kufika ambako wengine hawajafika bado... Yaani uifike kesho kupitia muda kabla kesho yenyewe haijafika.... Kitabu cha A girl from tomorrow kinaweza kukupa mwanga zaidi kwenye hili....

Nina hisia zinazonipa uhalisia mwingi sana katika siri ambazo bado hazijafunuliwa... Uhalisia wa uhai na maisha tena baada ya kifo.. Baada ya roho kutengana na mwili.. Kuna muunganiko unaweza kuja kutokea tena katika uhalisia wake na hapa ndio ile dhana ya time travel inaweza kuwa halisi

Kuna chords za siri bado hatujazipatia... Siri iliyojificha nyuma ya kifo na maisha baada ya Kifo na ufufuko mpya kutoka kifoni... Kwanini nawaza haya? Uhalisia ni upi? Je ni mauzauza tu ama kuna mwanga wa ukweli uliofichama!? Hebu twende kipengele kwa kipengele kuanzia kiimani mpaka nje ya imani na utata wake...

Asili ya binadamu ni Afrika... Hili halijawahi kukanushwa popote... Na tunaambiwa aliishi miaka million nyingi... Asili ya dunia ni mashariki ya kati kiimani na kidini... Misahafu karibia yote na madokezo ya kidini yanazungumzia uumbaji wa dunia kwenye ulimwengu wa kiimani kama chanzo na asili yake ni mashariki ya kati.. Hapo ndio penye chimbuko... Lakini umri ukitofautiana kutoka imani moja mpaka nyingine... Kwenye mada hii nitabaki upande wa asili ya mwanadamu na si asili ya dunia....

Kuna dondoo zisizopungua tano, zinazotoa fununu juu ya maisha baada ya kifo na ufufuko ama uhai tena... Hebu tupitie moja baada ya nyingine

1. KIDINI (Imani katika Mungu mmoja)
Zipo dini hasa ukristo na uislam.. Zinaamini katika ufufuko mara baada ya kifo lakini ufufuko huo haufanyiki sasa hivi bali kuna siku inayoitwa mwisho wa dunia ama siku ya kiama... Ndio wafu wote watafufuliwa... Kumbuka hawafufuki wenyewe WATAFUFULIWA...

2. KIDINI(katika imani ya miungu)
Zipo dini zisizoamini katika Mungu mmoja bali miungu... Yaani mungu jua, mungu miti, mungu mwezi, mungu moto nknk.. Hawa wanaamini ya kwamba binadamu anapokoma kuwa hufa na kuzaliwa tena mahali pengine kwa sura na hata umbo lingine... Na wapo watu wanatoa na shuhuda kabisa kwenye hili....

3. WAFANYA TAHAJUDI
Hawa huingia kwenye kundi la kile kipengele cha kufungua jicho la tatu... Uwezo wa kufungua jicho la tatu.. Kuona yajayo, kubashiri na hata uwezo wa kubadili mambo kadhaa yajayo kabla ya kuyafikia... Hawa nao huamini katika reincarnation... Pitia Liao fans four lessons

4.WATABIRI na WAPIGA RAMLI...
Ni watu wenye kipawa cha asili ama kipawa wezeshi kwa kutumia nguvu za ziada wanaoweza kukisoma na kukutabiria mambo yako yajayo kabla hujayafika na hata yaliyopita pia! Dhana ya time travel!? Kuna wabahatishaji lakini pia kuna wenye hakika hasa kupitia na kutumia alama za viganja, tarehe muda na nyota...

5. WAOTA NDOTO (NDOTO MAONO)
Hapa kuna watu huota na kitu kikatokea kama kilivyo... Tunafahamu kuna ndoto nyingi lakini ndoto maono hutoa uhalisia wa ajabu kabisa... Je hizi nazo ni sehemu ya time travel!? Baadhi ya ndoto huhusisha jumbe toka kwa marehemu kama vile wako hai mahali fulani na wanatoa maagizo kabisa......

Kwa kuzingatia dondoo tajwa hapo juu kuna uhalisia mwingi kwamba kuna siri za hii dunia hatujafunuliwa bado na hii inatokana na kujikita zaidi kwenye sayansi na dini za kigeni... Tunafundishwa vitu vyenye limitations nyingi huku pengine wenzetu wakiwa tayari wamesha unlock siri hizi kwa sehemu kubwa. ...

Kama imeshindikana kabisa kuficha kuwa asili ya mwanadamu ni Afrika. Basi huyu mwafrika kabeba siri kubwa kwenye uumbaji na kikomo cha kuwa... Sasa kuko wapi kushindwa kwake?

Sayansi hizi za kiafrika zisizo na ithibati zinatoa mwanga muhimu kwenye hili... Lakini zinatuthibitishia kuwa kuna ulimwengu mwingine usioonekana upo na unaexist
Sayansi ya kupaa kwa ungo bila kuonekana na wengine
Sayansi ya kumuua mtu na kumfanya msukule
Sayansi ya kuingia kwennye nyumba ya mtu bila kufungua milango wala madirisha
Sayansi ya kudhuru kwa kutumia macho tu.. (Zongo nk)
Sayansi ya kutabiri kwa kutumia jivu maji kwenye beseni ama mchanga....

Kuna ulimwengu usioonekana upo
Kuna mahali wafu wapo wanaendelea na maisha na kuna siku watarejerea kwenye miili yao
Dhana ya recycle bin inatoa mwanga kwenye hili... Waafrika kuna maarifa tulipokwa.. Turudi kwetu tuanze upya.. Tutaushangaza ulimwengu
.

Kun Siri nyingi sana katika umbaji, siku moja nitasema dah acheni tu
 
Back
Top Bottom