KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,215
- 56,855
Safi... Umeelekea kwenye nguvu ufahamu je wanao...?Nguvu hai isiyoonekana kwa macho wala kuwa na ithibati za kisayansi bali matokeo yake
Ikiwa Kama mungu na sifa zake zote unafikiri tunafaidanae gani ktk haya maisha ikiwa yeye katuumba tuishi na tufe nabaadae mbinguni au motoni tunafaidika Nini na hayo...?
Na yeye anafaidika Nini kwa uwepo wetu,pia kwa wale waendao motoni au peponi..?