Time travel na ufunuo wa ufufuko

.
e22653486423af2f749c785055ec41fa.jpeg
 
Naomba Sema neno sasa kwenye mada hii... Natambua unalo la kuchangia hapa asante
Time travel, kisayansi limekuwa jambo la kuvutia na linalofanyiwa utafiti nyakati hizi.
Katika falsafa na baadae sayansi time travel, imekuwepo na utafiti unafanyika kutafuta ukweli wake. Hatahivyo, katika hali ya kawaida ya akili, time travel aiingii akilini- illogical. Teknolojia nyakati zetu imeonekana kikwazo kufanikisha time travel, sayansi inasema. Inasisitiza kuna uwezekano wa jambo hili kuwa kweli, kadiri muda unavyokwenda na sayansi inavyokua.
Kimsingi, tangu mawazo ya time travel kuanza karne ya 20 na sasa yanavyooendelea kufanyiwa utafiti katika sayansi, kuonekana kwake illogical, hii yote ni mwanadamu katika kutafiti maumbile.
Kutoka kwenye mtazamo huu wa kibinadamu- sayansi, kunafunua ukweli "Ufufuko wa Miili", baadae mwisho wa dunia.
Kwa binadamu, ufufuko, ni illogical. Binadamu anaona swala hilo ni hadithi tu, halina ukweli wowote.
Time travel, kimsingi in jambo la field mbili tofauti. Kwamba, kwa mfano, Jane amesafiri kwenye chombo, alipoanza safari yake alikuwa na miaka 20, akiwa ndani ya chombo alitumia saa tano. Kwa muda wa saa tano aliokuwa amesafiri anawakuta waliokuwa na umri kama wake wa miaka 20 wana miaka 70. Hapa utaona kwamba time travel ya Jane was slow kwenye hiyo field aliyokuwepo. Lakini wenzake aliowaacha kwenye field nyingine (assume the earth ) time travel yao is faster.
Bado time travel inaacha maswali kama jinsi hii yote inatawalaje kifo?
Ufufuko ni tendo linatangiliwa na kifo. Kwa kifo huja ufufuko. Ingawa ufufuko ni jambo linalopita uwezo wa mwanadamu, lakini jambo hili limejifunua mara nyingi katika maisha ya binadamu.
Namna iliyowazi sasa hata katika sayansi ni Roho. Kwa uthibitisho wa Roho katika sayansi kunafunua ufufuko wa miili mwisho wa dunia
Tuifahamu time travel ninini kwanza (si lazima iwe sawa na ile unaifahamu wewe) .... Ni sawa na kurudisha muda nyuma na kuleta uhalisia wa jambo lililipita ulifanye tena ama kupeleka muda mbele na kufika ambako wengine hawajafika bado... Yaani uifike kesho kupitia muda kabla
Time travel - time and space. Here is an example:
Mtu anaesafiri kwa basi na mtu mwingine aliyesimama kando ya barabara, huyu aliye kando ya barabara ataona basi linakwenda kwa kasi (faster) wakati yule alie ndani ya basi ataona basi linakwenda kawaida (slow). Hapa ukichunguza utaona kuna suala la mwanga; kama jambo moja.
Kwenye huo mfano hapo juu, utaona kuna chombo (basi), pia utaona kuna watu wawili. Mmoja ndani ya basi na mwingine kando ya barabara. Huyu wa kando ya barabara yeye anaona chombo (basi) kinaenda kasi. Wakati wa ndani ya basi anaona basi linakwenda kawaida.
Hapa utaona pia kuna fields mbili, spaces; kama jambo la pili. Field ya kwanza ni ya yule ndani ya basi na ya pili ni ya yule kando ya basi.
Pia kwenye huu mfano hapo juu, kuna basi, chombo (tecknolojia) kama jambo la tatu.
Vitu hivi vitatu: Light, Space and Technology, vinatafuta kujua ukweli wa hili wazo la "Time Travel", katika sayansi ya maumbile.
Kwa huyu aliye ndani ya basi, she is traveling slow through time wakati huyu aliye kando ya barabara ya basi, she is traveling faster through time.

Kuhusu "Time travel", kufunua "Ufufuko" tutatazama kadiri ilivyo katika Falsafa (Philosophy).
 
Time travel, kisayansi limekuwa jambo la kuvutia na linalofanyiwa utafiti nyakati hizi.
Katika falsafa na baadae sayansi time travel, imekuwepo na utafiti unafanyika kutafuta ukweli wake. Hatahivyo, katika hali ya kawaida ya akili, time travel aiingii akilini- illogical. Teknolojia nyakati zetu imeonekana kikwazo kufanikisha time travel, sayansi inasema. Inasisitiza kuna uwezekano wa jambo hili kuwa kweli, kadiri muda unavyokwenda na sayansi inavyokua.
Kimsingi, tangu mawazo ya time travel kuanza karne ya 20 na sasa yanavyooendelea kufanyiwa utafiti katika sayansi, kuonekana kwake illogical, hii yote ni mwanadamu katika kutafiti maumbile.
Kutoka kwenye mtazamo huu wa kibinadamu- sayansi, kunafunua ukweli "Ufufuko wa Miili", baadae mwisho wa dunia.
Kwa binadamu, ufufuko, ni illogical. Binadamu anaona swala hilo ni hadithi tu, halina ukweli wowote.
Time travel, kimsingi in jambo la field mbili tofauti. Kwamba, kwa mfano, Jane amesafiri kwenye chombo, alipoanza safari yake alikuwa na miaka 20, akiwa ndani ya chombo alitumia saa tano. Kwa muda wa saa tano aliokuwa amesafiri anawakuta waliokuwa na umri kama wake wa miaka 20 wana miaka 70. Hapa utaona kwamba time travel ya Jane was slow kwenye hiyo field aliyokuwepo. Lakini wenzake aliowaacha kwenye field nyingine (assume the earth ) time travel yao is faster.
Bado time travel inaacha maswali kama jinsi hii yote inatawalaje kifo?
Ufufuko ni tendo linatangiliwa na kifo. Kwa kifo huja ufufuko. Ingawa ufufuko ni jambo linalopita uwezo wa mwanadamu, lakini jambo hili limejifunua mara nyingi katika maisha ya binadamu.
Namna iliyowazi sasa hata katika sayansi ni Roho. Kwa uthibitisho wa Roho katika sayansi kunafunua ufufuko wa miili mwisho wa dunia

Time travel - time and space. Here is an example:
Mtu anaesafiri kwa basi na mtu mwingine aliyesimama kando ya barabara, huyu aliye kando ya barabara ataona basi linakwenda kwa kasi (faster) wakati yule alie ndani ya basi ataona basi linakwenda kawaida (slow). Hapa ukichunguza utaona kuna suala la mwanga; kama jambo moja.
Kwenye huo mfano hapo juu, utaona kuna chombo (basi), pia utaona kuna watu wawili. Mmoja ndani ya basi na mwingine kando ya barabara. Huyu wa kando ya barabara yeye anaona chombo (basi) kinaenda kasi. Wakati wa ndani ya basi anaona basi linakwenda kawaida.
Hapa utaona pia kuna fields mbili, spaces; kama jambo la pili. Field ya kwanza ni ya yule ndani ya basi na ya pili ni ya yule kando ya basi.
Pia kwenye huu mfano hapo juu, kuna basi, chombo (tecknolojia) kama jambo la tatu.
Vitu hivi vitatu: Light, Space and Technology, vinatafuta kujua ukweli wa hili wazo la "Time Travel", katika sayansi ya maumbile.
Kwa huyu aliye ndani ya basi, she is traveling slow through time wakati huyu aliye kando ya barabara ya basi, she is traveling faster through time.

Kuhusu "Time travel", kufunua "Ufufuko" tutatazama kadiri ilivyo katika Falsafa (Philosophy).
Kuhusu "Time travel", kufunua "Ufufuko" tutatazama kadiri ilivyo katika Falsafa (Philosophy). Hapa tafadhali... Mfanano na mkanganyiko wake... Uwiano na hata ukinzani wake
 
Kila nacho taka kusema naona hakipo sahiihi yani nipo nyia panda kuhusu sayancce na uchawi ukirelate na Time hack( travel) .

Then what if there is no time, no existence? NEW borns start to experience and see onto they are all life day's. Are we on that strong simulation, may be constantly somewhere but sees what will be? What is that constant place(SOURCE). What ll be when accidentally awake on behalf simulation that is your not die and simulation is quit? Seees both simulation from reality with source!! Aah but ni mtazamo tu nawasilisha.
 
Muda ninini? Linaweza kuwa swali gumu kujibika lakini unaweza kuelewa kupitia maelezo yafuatayo

Ni lazima kutambua ya kwamba kuna aina mbili za muda
1. Muda halisi unaosomeka na kuandikika kwa tarakimu
2. Muda usiosomeka wala kupimika... Muda was kufikirika ndani ya fikra

Muda unaosomeka na kuandikika kwa tarakimu hatuna muamana nao.... Upo hatuwezi kuubadili wala kuudhibiti... Muda huo upo tangu uumbaji.. Hakuna mwanadamu awaye yote awezaye kuurekebisha, kuubadili wala kuutawala vyovyote vile.... Sisi ndio tunaufuta utakavyo hatuna milki nao.. Ulikuwepo... Upo na utakuwepo...

Muda usiosomeka wala kuandikika kwa tarakimu... Muda wa mawazoni na ndani ya fikra zetu.... Huu ni muda ndani yetu... Muda huu si wa wingi kwa maana ya wote bali ni muda wa umoja, muda wa kipekee unaotofautiana na kila mmoja wetu hapa...

Muda huu hujaribu tu kupimika kwa kumbukumbu ya mawazo na matendo yaliyopita, na mawazo ama matendo yajayo yasiyojulikana bado...
Tunakumbuka nyakati za furaha ama huzuni zilizopita huku tukitaraji mema ama mabaya ya nyakati zijazo.. Unaweza kuangalia nyuma ulikotoka kifikra na ukatamani kurudi huko.... Mawazo na fikra zako vikakubeba na kukupeleka huko mazima.... Yaani kimwili unaishi sasa katika wakati huu halisi lakini kifikra uko nyuma kabisa ya wakati mwaka juzi ama jana ama mwezi uliopita

Ukiwa katika hali hii unakuta muda halisi unakuwa na muingiliano na muda wa kufikirika... Muda uliokwisha kufa... Muingiliano wa muda na uumbaji... Dhana ya kuwa na kukoma kuwa....!

Nimeeleweka?
 
Kwa mujibu wa historia iliyoshindikana kabisa kuchakachulika mwafrika ndio binadamu mkongwe zaidi na inasemekana ndio binadamu wa kwanza kuumbwa... Kwahiyo huyu ndio chanzo ndio asili na ndio awali
Awali ni awali tu haiwezi kushindwa na upili... Maarifa mengi kuhusiana na huu ulimwengu yana asili na Africa na waafrika... Ila kuna kitu kilitokea hapo kati tukazidiwa maarifa tukapokwa cha kwetu na kupewa maarifa ya kulazimishwa... Yasiyo na tija, ubunifu wala uvumbuzi mpya...
Elimu yetu ya kiroho ambayo ndio kama engine ya dunia ikapewa jina la Forbidden education... Tukaumbiwa kuamini na kuaminishwa vitu tusivyo na asili navyo... Tukafunzwa kuisoma na kuitukuza sayansi kama ndio hekima, ndio elimu ndio uvumbuzi na ufumbuzi.... Lakini sayansi bila roho (nishati) si lolote si chochote ni mfu kama jiwe
Sasa Bwana Mshana najua si rahisi kuyaoorodhesha maarifa usemayo ni forbidden (Ikiyataja sawa ) . Hivyo swali langu ni kwamba nikifahamu kuwa asili ya binadamu ni Afrika , huu ufahamu utawezaje kuwa msaada wa mabadiliko ya kile kilichopokwa na tukafikia ama kuwazidi waliotupoka ?
 
Sasa Bwana Mshana najua si rahisi kuyaoorodhesha maarifa usemayo ni forbidden (Ikiyataja sawa ) . Hivyo swali langu ni kwamba nikifahamu kuwa asili ya binadamu ni Afrika , huu ufahamu utawezaje kuwa msaada wa mabadiliko ya kile kilichopokwa na tukafikia ama kuwazidi waliotupoka ?
Sahihi kabisa ndio mwanzo wa ufunuo mpya wa tafiti zilizokatishwa na kubezwa
 
Ngoja kwanza tujifunze mambo ya time travel tukishaiweza tutaenda mbele ki muda mpaka siku ya baada ya kihama tutamwuliza Mungu na Shetani kuhusu hilo harafu tunarudi nyuma kimuda hadi leo na tutakuwa tumepata jibu
Nina swali endapo ni nje na mada kwanini mungu na shetani wamekuwa wakijihusisha Sana na matendo ya mwanadamu kwani hakuna vyengine vya kufanya...?
 
Nina swali endapo ni nje na mada kwanini mungu na shetani wamekuwa wakijihusisha Sana na matendo ya mwanadamu kwani hakuna vyengine vya kufanya...?
Hili swali hatari sana. Inasimuliwa wote eana uwezo mkunwa sana kitendo cha kusumbuana kuhusu binadamu ni cha kufikirisha.
 
Shida ilianzia kwa huyu aliyetoa majina ya mabara,afrika,asia n.k
Tabu ikaja mzungu na Mungu kwamba wenyewe wana uhusiano wa karibu sana na Mungu au ?
Tokea tunakua tunaenda kanisani tunamiinishwa yesu alikua mzungu mtume na mtume muarabu..
Sisi africa chetu ni kipi haswa ?
Hebu tuanze na tulichonacho kwanza tukirudi nyuma tutafika wapi na historia imeshafutwa yote..
Sawa binadamu wa kwanza alikua muafrika enh !?
Asili ya neno afrika ni ipi ?manaake nini ?
Kabla ya hapo kulikua na jina gani

Aaaaahhhh hebu niende kwa dada ASHA nikakope bingwa mbili
 
Shida ilianzia kwa huyu aliyetoa majina ya mabara,afrika,asia n.k
Tabu ikaja mzungu na Mungu kwamba wenyewe wana uhusiano wa karibu sana na Mungu au ?
Tokea tunakua tunaenda kanisani tunamiinishwa yesu alikua mzungu mtume na mtume muarabu..
Sisi africa chetu ni kipi haswa ?
Hebu tuanze na tulichonacho kwanza tukirudi nyuma tutafika wapi na historia imeshafutwa yote..
Sawa binadamu wa kwanza alikua muafrika enh !?
Asili ya neno afrika ni ipi ?manaake nini ?
Kabla ya hapo kulikua na jina gani

Aaaaahhhh hebu niende kwa dada ASHA nikakope bingwa mbili
Tokea tunakua tunaenda kanisani tunamiinishwa yesu alikua mzungu mtume na mtume muarabu..
 
Asili ya binadamu ni Afrika... Hili halijawahi kukanushwa popote... Na tunaambiwa aliishi miaka million nyingi... Asili ya dunia ni mashariki ya kati kiimani na kidini... Misahafu karibia yote na madokezo ya kidini yanazungumzia uumbaji wa dunia kwenye ulimwengu wa kiimani kama chanzo na asili yake ni mashariki ya kati.. Hapo ndio penye chimbuko... Lakini umri ukitofautiana kutoka
Kuhusu asili ya binadamu ni Afrika au wapi. Mimi huwa sikubaliani na madai hayo na kimsingi huwa naona mawazo hayo kama UBINAFSI wa bure!
Hakuna ushahidi wapi hasa ni asili ya mwanadamu, Afrika, Asia, Europe, America au Australia. Kimsingi hakuna mtu anaeweza kujua exactly wapi, hasa mwanadamu wa kwanza alianza kuishi, jibu sahihi ni Duniani.
Mawazo kwamba, aliishi Afrika au Ulaya au kwingine kokote, ni makisio tu, hasa ya kutafuta ukweli wa historia ya mwanadamu.
Ukweli ni kwamba, historia halisi ya mwanadamu, inayoeleweka vizuri, ni baada ya Yesu Kristo. Kabla ya Yesu Kristo, historia ya mwanadamu siyo wazi, imejaa makisio.
Saula la kwamba, Mwafrika anauwezo mkubwa wa akili, siri nyingi za ulimwengu, sayansi na teknoloji: maarifa yote, ni vigumu kuwa, ni la Mwafrika pekee, na kwamba jamii nyingine zilichukuwa kwa Mwafrika. Siyo kweli. Hii ni kwa sababu vile alivyo Mwafrika kimaumbile ndivyo pia alivyo Mzungu, Mwarabu, Mhindi au jamii nyingine ya binadamu.
Mwafrika, ambae mawazo yanadai teknolojia, na maadili mema yanatoka kwake, mbona hatuoni akidhihirisha ukweli huo (maadili mema, sayansi na teknolojia)?
Yesu ambae Wafrika wengi wanamkataa, kadiri ya historia siyo Mzungu, lakini Wazungu wanamfuata kikamilifu. Kwanini Wazungu wanamfuata Yesu, asiye asili yao na Wafrika ni kinyume chake?
Ukitazama mawazo ya Wafrika - wanavyoishi, wanasema, walikuwa/wana DINI ZAO. Lakini ukiwauliza hizo dini zao ni zipi na nani mwanzilishi wao? Na kwa vipi zinatofautiana na dini ya Yesu? Hawana majibu!
Ukiwauliza Wafrika, inawezekanaje watu tu, waliokuja kwenu, wakachukua sayansi na teknolojia yenu na maadili mema, wawashinde ninyi wenye nayo wamiliki (Wafrika)?
Kimsingi mawazo hayo ya UAFRIKA kama yanavyosemwa na Wafrika wenyewe, ni UONGO, hayana ukweli wowote. Kwa mawazo hayo, dhana na kuelekea maisha hayo, tumeukataa UKWELI na kwa sababu hiyo ndiyo maana tuko masikini, hatuna teknolojia, maadili hakuna, wala sayansi, achilia mbali falsafa na teolojia.
 
Kuhusu asili ya binadamu ni Afrika au wapi. Mimi huwa sikubaliani na madai hayo na kimsingi huwa naona mawazo hayo kama UBINAFSI wa bure!
Hakuna ushahidi wapi hasa ni asili ya mwanadamu, Afrika, Asia, Europe, America au Australia. Kimsingi hakuna mtu anaeweza kujua exactly wapi, hasa mwanadamu wa kwanza alianza kuishi, jibu sahihi ni Duniani.
Mawazo kwamba, aliishi Afrika au Ulaya au kwingine kokote, ni makisio tu, hasa ya kutafuta ukweli wa historia ya mwanadamu.
Ukweli ni kwamba, historia halisi ya mwanadamu, inayoeleweka vizuri, ni baada ya Yesu Kristo. Kabla ya Yesu Kristo, historia ya mwanadamu siyo wazi, imejaa makisio.
Saula la kwamba, Mwafrika anauwezo mkubwa wa akili, siri nyingi za ulimwengu, sayansi na teknoloji: maarifa yote, ni vigumu kuwa, ni la Mwafrika pekee, na kwamba jamii nyingine zilichukuwa kwa Mwafrika. Siyo kweli. Hii ni kwa sababu vile alivyo Mwafrika kimaumbile ndivyo pia alivyo Mzungu, Mwarabu, Mhindi au jamii nyingine ya binadamu.
Mwafrika, ambae mawazo yanadai teknolojia, na maadili mema yanatoka kwake, mbona hatuoni akidhihirisha ukweli huo (maadili mema, sayansi na teknolojia)?
Yesu ambae Wafrika wengi wanamkataa, kadiri ya historia siyo Mzungu, lakini Wazungu wanamfuata kikamilifu. Kwanini Wazungu wanamfuata Yesu, asiye asili yao na Wafrika ni kinyume chake?
Ukitazama mawazo ya Wafrika - wanavyoishi, wanasema, walikuwa/wana DINI ZAO. Lakini ukiwauliza hizo dini zao ni zipi na nani mwanzilishi wao? Na kwa vipi zinatofautiana na dini ya Yesu? Hawana majibu!
Ukiwauliza Wafrika, inawezekanaje watu tu, waliokuja kwenu, wakachukua sayansi na teknolojia yenu na maadili mema, wawashinde ninyi wenye nayo wamiliki (Wafrika)?
Kimsingi mawazo hayo ya UAFRIKA kama yanavyosemwa na Wafrika wenyewe, ni UONGO, hayana ukweli wowote. Kwa mawazo hayo, dhana na kuelekea maisha hayo, tumeukataa UKWELI na kwa sababu hiyo ndiyo maana tuko masikini, hatuna teknolojia, maadili hakuna, wala sayansi, achilia mbali falsafa na teolojia.
Kimsingi mawazo hayo ya UAFRIKA kama yanavyosemwa na Wafrika wenyewe, ni UONGO, hayana ukweli wowote. Kwa mawazo hayo, dhana na kuelekea maisha hayo, tumeukataa UKWELI na kwa sababu hiyo ndiyo maana tuko masikini, hatuna teknolojia, maadili hakuna, wala sayansi, achilia mbali falsafa na teolojia. umenipa mawazo na mtazamo mpya... Japo bado naona kama Afrika bado kuna mahali tuliyumba na kupotea mazima... Bado nina hisia zenye nguvu mno kuwa Afrika hiyo ya zamani ilikuwa nyingine tofauti kabisa na hii ya leo iliyo utumwani kuanzia fikra mpaka matendo bila kusahau mitazamo
 
Kuhusu "Time travel", kufunua "Ufufuko" tutatazama kadiri ilivyo katika Falsafa (Philosophy).
emoji118.png
emoji118.png
emoji118.png
emoji118.png
Hapa tafadhali... Mfanano na mkanganyiko wake... Uwiano na hata ukinzani wake
Time travel ieleweke kama ni mawazo ya kufikirika ya kisayansi kwamba kusafiri kwa wakati kuna wezekana kwa mwili, ambapo jambo la teknolojia (chombo) linajitokeza kama nguzo muhimu. Maswala kama time na space (two different field), kwa vyovyote vile hayatenganishwi na wazo hili.
Jambo la msingi hapa kuelewa ni, kusafiri kwa wakati kimwili.
Time travel, licha kwamba ni suala la sayansi ya maumbile,lakini bado halionyeshi jinsi hiyo, itawezaje kudhibiti kifo?
Utata wake pia uko katika Space. Ukisoma utaona kuna space mbili: the first space time is slow and the second space time is faster. Je, ni vipi space moja haiwezi kuathiri nyingine kikani?
Time travel, hatahivyo haifafanui kivipi jinsi hiyo itazuia uharibifu wa mwili.
Hapo hapo, time travel inatupa kujiuliza: second field ni ipi?
Kifalsafa, time travel ina jibiwa kwa mtazamo huu: ETERNALISM, POSSIBILISM and PRESENTISM.
Kimsingi, mitazamo yote inatazama time travel kama jambo la MIND. Suala la time travel lina dhihirika kwenye mindi. Uwezekano au uwepo wake, ni kuliko pekee kwa Akili kwa sasa.
Time ndiyo hoja kuu kwenye mtazamo wa kifalsafa. Kwenye mind kuna time pia kwenye physical kuna time.
It is possible kwa mind to travel back while you are present vile vile inawezekana kwa mind to travel the future in time.
Je, time travel ina funua "ufufuko"?
Mtazamo wangu unazingatia ukweli wenyewe wa ufufuko pia ukweli wa mambo yanavyojifunua kwa nyakati mbalimbali. Hapa nataka kusema, sayansi haipaswi kupuuzwa hata kidogo, pamoja na kwamba inashughulika kutafuta kweli za maumbile, kwani ndiyo kwa yenyewe imethibitisha mambo yaliyo nje ya akili ya mwanadamu.

Ukweli ni kwamba maarifa ya sayansi, hakuna namna tunaweza kuwa nao, pasipo Mungu Mwenyewe. Kwa sababu hiyo, sayansi inakuwa maarifa muhimu yanayobainisha ufunuo wa Mungu; ingawa kwa kupapasa, mambo yapitayo akili ya mwanadamu.
 
umenipa mawazo na mtazamo mpya... Japo bado naona kama Afrika bado kuna mahali tuliyumba na kupotea mazima... Bado nina hisia zenye nguvu mno kuwa Afrika hiyo ya zamani ilikuwa nyingine tofauti kabisa na hii ya leo iliyo utumwani kuanzia fikra mpaka matendo bila kusahau mitazamo
Hakika unachoona kama Afrika tulipotea na kuzama mazima ndiyo ukweli ndugu Mshana.
Kweli Wafrika tumepotea na bahati mbaya zaidi ni kwamba, hatuna mtu wa kuturudisha kwenye ukweli!
Unaweza ukajiliza jambo hili, ambalo Wafrika wanaling'ang'ania sana: "Sisi ni Wafrika", ndiyo hata kama sisi ni Wafrika. Je, ndiyo jamii pekee iliyopo duniani? Kuwa Mwafrika maana yake nini? Afrika ni wapi hasa katika dunia kama siyo jambo la mipaka tu ambayo katika ulimwengu wa leo hata kale ni suala la kulahisisha utawala tu?
Je, ni kweli eneo hili linalotambulika kiramani kama Afrika, Wafrika ndiyo wakazi wake wa kwanza kuishi?
 
28 Reactions
Reply
Back
Top Bottom