Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 1,321
- 2,693
TikTok inataka kugeuka kuwa Whatsapp 👋, baada ya kuleta feature ya VOICE CALLS ndani ya DM! 📱📞
Ndiyo! Badala ya kutoka TikTok kwenda WhatsApp kupiga simu, baadhi ya watumiaji wameanza kuona kitufe cha kupiga audio call moja kwa moja kwenye DM za TikTok. 👀🔥
Na hii ni hatua nyingine ya TikTok kuifanya app iwe zaidi ya sehemu ya kuangalia videos—unaweza ku-chat, kushare content na sasa kupiga simu! 😳
⚠️ kumbuka Kwa sasa feature hii bado inaonekana kuwa kwenye testing/rollout ya hatua kwa hatua, hivyo huenda usiione kwenye akaunti yako bado.
Je! Ni kweli TikTok anaweza kushindana na WhatsApp? 🤔📞