Tido Mhando aula Al Jazeeera

Tido Mhando aula Al Jazeeera

Kama ni kweli basi hongera sana Mhando . Ila napenda kujua kama hawa jamaa wana lugha ya kiswahili kule .
 
Blue Balaa hawezi kujidhalilisha kwa habari kubwa kama hii, halafu iwe ya kutunga!Naamini ni kweli, na Hongera kwa Tido...Sijasikia kama ALJAZEERA wana idhaa ya Kiswahili!
Ipo mbioni kuanzishwa na itakuwa Nairobi, ndio mwanzo wa kuaibika kwa serikali ya magamba kwa kumstaafisha bila hoja yenye nguvu
 
Du, kapata pande la nguvu, hongera saaaaaaaana Tido, waambie hao uliowaacha TBC na yeyote aliyekufanyia mizengwe kuwa finali ni uzeeni.
 
Kwa hili inawezekana kabisa,Tido ana uzoefu wa muda mrefu RTD, BBC, TBC na wengi ya wafanyakazi wa Al Jazeera ni ex BBC.Tunamtakia mema Tido.
 
Kama ni kweli ni great news. I can't wait for this channel to start. Hakuna mtu atayeangalia tena biased TV channels.
 
Chochote chaweza tokea kwa Tido, shule yake ndio mtaji wake, ni mtu wa kimataifa, wabongo bwana..eti wakamfukuza Tido TBC, majungu tu, wanataka kila kitu useme ndiyo. Watu wengi wanasema huwa wanaitwa kutoka nje na mkuu alafu anawatema kinamna, kisa, wanapomkatalia mambo yake
 
Miungu ikifunga mlango wachuma mungu nafungua mlango wadhahabu!
 
Hongera Tido nafikiri hata mambo ya Tanzania yatapata exposure ya uhakika maana BBC SW-tz imekuwa ni kitengo cha propaganda cha CCM sidhani kwa walivyomtenda Tido wataweza kumhonga asitangaze ukweli.
 
Kwa hili inawezekana kabisa,Tido ana uzoefu wa muda mrefu RTD, BBC, TBC na wengi ya wafanyakazi wa Al Jazeera ni ex BBC.Tunamtakia mema Tido.

Kila mtu anajua background ya Tido, acha kihede mshede, funga miguu kabla hujaharibu hali ya hewa humu.
 
wayaweke bongo na kama hawa jamaa wakiweka idara ya kiswahili itakuwa safi hawatafuni sana maneno

Kweli kabisa yawe bongo. na kama ni kweli, sasa naamini lulu ukimtupia nguruwe ni kazi bure, wataziponda ponda.
 
Tido mhando najua utakutana na watangazaji maarufu kama kina RIZ KHAN.Mambo yatanogaje huko mkuu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!, hakikisha unatwanga kote kote kwa taarifa za bongo hakuna kulemba.Hakikisha unarusha mapema sana habari za maandamano ya kupinga ufisadi.Tunataki Obama ajue mapema uozo wa CCM kabla ya 2015.Msafishie njia DR.W.P.LSAA kwani ndiyo tegemeo la watanzania wenye nchi yao
 
Hii ni habari mbaya sana kwa chama fulani come 2015, kwa maana jamaa anaweza akawa anaweka mambo hadharani huku akiwapatia aljazeera internation wayamwage ulimwenguni kwa kiingereza, duh...kutoka mchakato majimboni TBC, hadi maandamano Tandahimba ALJAZEERA.

Safi
 
habari kama hizi pelekeni Jukwaa la Celebrities. Huyo Thido na Siasa wapi na wapi? Toeni ulevi hapa
 
Back
Top Bottom