TID amtembelea RC Makonda nyumbani kwake

TID amtembelea RC Makonda nyumbani kwake

Usimuhukumu mtu, hujui lililo moyoni mwake na anayoyapitia!
 
Msanii wa kizazi kipya nchini TID ambaye siku kadhaa zilizopita alikuwa matatizoni akihusishwa na matumizi ya madawa ya kulevya, amefunguka na kusema muziki bila madawa ya kulevya inawezekana.

ea28335e4e9af54c7a178b027d873eb0.jpg


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaama Mhe. Paul Makonda akiwa na msanii TID nyumbani kwake leo.

TID ambaye leo amekutana na Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda anasema kuwa amepata nafasi ya kukaa na kujadili na kiongozi huyo kuona namna gani wanaweza kuoka vipaji vya wasanii.

"Muziki bila madawa ya kulevya inawezekana..This is the turning Point kwangu mimi na kizazi cha muziki huu wa kizazi kipya, nikiwa na Mhe. Makonda leo tukijadili jinsi gani ya kuokoa Vipaji na sanaa kwa ujumla, Mungu ibariki bongo fleva, Mungu ibariki Tanzania" aliandika TID

Kwa upande wake Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda alikuwa na haya ya kusema baada ya TID kumtembelea leo nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.

"Mungu wetu hajalala na siku zote anampenda amtafutae, karibu tea nyumbani T I D" aliandika Paul Makonda.
 
Anazunguka kuwaomba msamaha mmoja mmoja aliowachafulia jina
 
Wapi sio size yake? Na wao ni size ya nani mkuu?
Unanifanya niendelee kuamini wengine hutumia vichwa ili kufugia nywele na si vinginevyo!
Ndio akili yako ilipofikia siwezi kukulaumu. TID waweza kunlinganisha na wale waliofanya Spika atoe official statement kuwa wakihitajika lazima yeye apate taarifa? Kama hulioni hilo pengine kwako hakuna tofauti ya nywele za juu na chini
 
Back
Top Bottom