TID amtembelea RC Makonda nyumbani kwake

TID amtembelea RC Makonda nyumbani kwake

Huo ndio uzalendo sio hao wanaolilia heahima zao kuharibiwa,wakati mungu aliwapa bure.
Big up Top in Dar aka TID[emoji1241][emoji112][emoji188]
Binadamu tunajisahau sana.Eti mtu anasema kwa hadhi alionayo hawezi kwenda polisi.Kujikweza kwa binadamu ni mtihani mkubwa sana mbele za Mungu
 
Yaani nyumbani kwa Makonda kumegeuka kuwa ndio Sober house!
Hilo halina tatizo. Tutampongeza sana Mhe Makonda akitumia kila njia inayowezekana kuwashawishi mateja kuacha uteja na hata wafanyibiashara wa madawa ya kulevya kuacha biashara hiyo hata kama ni kuwaita kulala nao nyumbani kwake. Tatizo na kitu ambacho hakikubaliki ni kufanya MAJUNGU mbele ya kadamnasi dhidi ya watu ambao hana hata chembe ya ushahidi bali kwa kuongozwa na hisia na ubuyu wa mitaani.
 
Safi, alichokifanya T.I.D ni uzalendo cio kuishia kulalamika mbon flan iv, huo ndo uanaume mngu akujalie uache kama kwel unatumia madawa ni mabaya ata kwa mngu cio makonda tu
 
Umjue au usimjue.. Tutakujibu tu mkuu suali lako..aliyevaa nguo nyekundu kulia kwako
Ok!! Kumbe ndo huyo!!hivi huyo ndo alompiga jaji mstaafu sinde warioba pale ubungo plaza!!
 
Kinyamwezi unaemwita mwana kakulaza ndani na kichura umeruka? Sijawahi sikia Bobby brown kaitwa central kwa kula ngada
...utakuwa mtoto wa mama wewe!..,huo msala mdogo sana.,tena kwa faida ya wengi na TID mwenyewe akiwemo!
..mwanaume halisi anafuta,maisha mengine yanasonga!
 
Back
Top Bottom