Upiversity
JF-Expert Member
- Jun 19, 2015
- 3,487
- 2,634
...sana tu!,kinyamwezi zaidi Mnyama T.I.D!
..life goes on!
..life goes on!
[emoji13] [emoji13] huyo hapoSory mkuu hapo t.i.d ndo yupi[emoji134]
Hahahahhaa uwiiii khaaa mkuu utanilipa mbavu zanguSory mkuu hapo t.i.d ndo yupi[emoji134]
Huo ndio uzalendo sio hao wanaolilia heahima zao kuharibiwa,wakati mungu aliwapa bure.
Big up Top in Dar aka TID[emoji1241][emoji112][emoji188]
Kiburi ndicho kilimpeleka jela mara ya kwanza, baada yakupiga mtoto wa alieyekuwa bodyguard wa Kikwete walimwambia aende akaombe msamaha lakini wakati huo TID alikuwa kweli Top In Dar, mara yuko London, mara hiv, siku anahukumiwa kufungwa hakuamini.Hahaha hatimaye mnyama kapata kiboko yake TID na kiburi chake this time kawa mpole kama kama kobe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] TID myamaaaaaaMapema leo Mwanamuziki Khalid Mohamed maarufu kama "Top In Dar" (TID) ambaye alikuwa miongoni mwa watu wa kwanza kuitwa polisi kwa mazungumzo ya tuhuma zake kuhusu anavyohusika na madawa ya kulevya, alifika nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda kwa ya kumsalimia na mazungumzo ya kawaida
Kwa muda wote ambao wawili hao walipokuwa pamoja walionekana kufurahia mazungumzo yao, wakiwa wamekaa kama marafiki. Mkuu wa Mkoa akitumia muda wa mazungumzo hayo kumshauri TID kuhusu maisha kwa ujumla na umuhimu wa kumtegemea Mungu katika kila jambo analofanya![]()
Kwa upande wake TID yeye alitumia muda huo kumweleza Paul Makonda kuhusu maisha ya kawaida na yale ya muziki, Aidha, mazungumzo ya wawili hayo yaligusa kuhusu namna wanavyoweza kuokoa vipaji vya wasanii
Aidha, TID amenukuliwa akisema "Muziki bila madawa ya kulevya inawezekana... This is the turning Point kwangu mimi na kizazi cha muziki huu wa kizazi kipya, nikiwa na Mhe. Makonda leo tukijidili jinsi ya kuokoa vipaji na sanaa kwa ujumla, Mungu ibariki bongo fleva, Mungu ibariki Tanzania".
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kaoge amepata dume teja haaa
Kumbe aliyepigwa alikuwa mtoto wa bodyguard wa jk.Kiburi ndicho kilimpeleka jela mara ya kwanza, baada yakupiga mtoto wa alieyekuwa bodyguard wa Kikwete walimwambia aende akaombe msamaha lakini wakati huo TID alikuwa kweli Top In Dar, mara yuko London, mara hiv, siku anahukumiwa kufungwa hakuamini.
Wa kiume, ulikuwa ubabe wa club tu mkuu, ninadhani ilikuwa Maisha Club.Kumbe aliyepigwa alikuwa mtoto wa bodyguard wa jk.
ni ke au me?
Na hashm thabit aliwah mpiga tid.
SanaaHahaha hatimaye mnyama kapata kiboko yake TID na kiburi chake this time kawa mpole kama kama kobe
Mapema leo Mwanamuziki Khalid Mohamed maarufu kama "Top In Dar" (TID) ambaye alikuwa miongoni mwa watu wa kwanza kuitwa polisi kwa mazungumzo ya tuhuma zake kuhusu anavyohusika na madawa ya kulevya, alifika nyumbani kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda kwa ya kumsalimia na mazungumzo ya kawaida
Kwa muda wote ambao wawili hao walipokuwa pamoja walionekana kufurahia mazungumzo yao, wakiwa wamekaa kama marafiki. Mkuu wa Mkoa akitumia muda wa mazungumzo hayo kumshauri TID kuhusu maisha kwa ujumla na umuhimu wa kumtegemea Mungu katika kila jambo analofanya![]()
Kwa upande wake TID yeye alitumia muda huo kumweleza Paul Makonda kuhusu maisha ya kawaida na yale ya muziki, Aidha, mazungumzo ya wawili hayo yaligusa kuhusu namna wanavyoweza kuokoa vipaji vya wasanii
Aidha, TID amenukuliwa akisema "Muziki bila madawa ya kulevya inawezekana... This is the turning Point kwangu mimi na kizazi cha muziki huu wa kizazi kipya, nikiwa na Mhe. Makonda leo tukijidili jinsi ya kuokoa vipaji na sanaa kwa ujumla, Mungu ibariki bongo fleva, Mungu ibariki Tanzania".
kwa bongo c lakushangaa sana>> huyu madereva huyu ajiangalie ataendelea kupokea wageni mwisho wa siku watampa sheeda wengine sio watu wazuri kabisa watampa mkono wa hongera kumbe ndio ananyonywa damu>>