Pastory Kimaryo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 967
- 664
Kwani mtu akiwa na talent bila pesa hatakiwi kuwa appreciated?Talent bila pesa?
Kwani mtu akiwa na talent bila pesa hatakiwi kuwa appreciated?Talent bila pesa?
TID anachamba hicho sio kipaji Tena labda huko kwenye taarabu ndio mnaona kipajiKwani mtu akiwa na talent bila pesa hatakiwi kuwa appreciated?
It happens. R Kelly ana nini ??Talent bila pesa?
Mtu anaweza akawa na kipaji ila akashindwa kukitumia vizuri na kuna wengine hawana kabisa hata akiwa na resources kias gan, anyways huo ni mtazamo wako not the majority's. Kumbuka watu wengi tunamkubali ila wewe peke akoTID anachamba hicho sio kipaji Tena labda huko kwenye taarabu ndio mnaona kipaji
Kumbe!! sikujua hiloPoa man, afu kumbuka huyu mwamba ni bonge moja la role model wa Diamond japokuwa juz alimdiss kinoma!
Yes Donald ngomaNgoma as Donald Ngoma? Or what?
Kuna ishu Diamond alifanya sio poa kwa mwanaKumbe!! sikujua hilo
Daah Platnumz kazinguaKuna ishu Diamond alifanya sio poa kwa mwana
Unamkubali mume wa mtu?Mtu anaweza akawa na kipaji ila akashindwa kukitumia vizuri na kuna wengine hawana kabisa hata akiwa na resources kias gan, anyways huo ni mtazamo wako not the majority's. Kumbuka watu wengi tunamkubali ila wewe peke ako
Talent ni kitu kingine na pesa ni kitu kingine..Talent bila pesa?
Okay. Diamond ana pesa au talent?Talent ni kitu kingine na pesa ni kitu kingine..
Hapana nakukubali wewe mke wa mtu, afu wala usijali ukiachika utaolewa tena.Unamkubali mume wa mtu?
Huuhuu wa ugali,kuwa siriaz basi. Mahindi, mhogo kidogo unakuwa Bomba kinyama.Unga umepoteza wengi sana
Alisoma wapii na kwa Level ganiiiHuyu mnyama namkubali sana nadhani kuliko hata wasanii wote hapa bongo na uzuri ana kaelimu kidogo kichwani..Tatizo lake ni ulevi uliokithiri.
Kaishia form 6
Pale club kile kipande AY na GK wanatongoza kila msichana wanayemuona. AY alikuwa amevaa Kofia fulani hivi, Dem mmoja akamchamba AY we vipi muone Kwanza Kofia Kama muuza Madafu. Yani Hilo neno I'll never forgetNina bro wangu mmoja alikuwa anapenda sana pale ay na gk wanapomtongoza demu wa tid.... Its a very very long time