tid

  1. ndege JOHN

    Siamini TID

    Oooh siamini Kama tuko wote Kama tuko wote Mimi na wewe Oooh siamini Kama tuko wote Kama tuko wote Mimi na wewe Wajua pendo letu lilipotoka Si mbali sana mpenzi siwezi me sema Milima na mabonde Mengi tumeshuka (ooh) Maneno mengi walisema Kote bara visiwani (oh oh) Kidani cha moyo wangu (oh oh)...
  2. ESCORT 1

    TID: Makonda alinachafua sana kwenye ishu ya madawa ya kulevya

    Akihojiwa na Salama Jabir katika kipindi cha Salama na kinachorushwa Dstv, msanii wa bongofleva Khalid Mohamed maarufu TID amesema ishu ya kutajwa katika scandal ya matumizi ya madawa ya kulevya ilimchafua sana kwani alikaa ndani siku 5 na hatozisahau! TID anasema mpaka leo hajawahi kukaa sawa...
  3. K

    TID afunguka kiasi alicholipwa kwenye movie ya girlfriend

    Msanii mkali kama anavyojiita TID mnyama ,ameweka wazi kiasi alicholipwa kwenye movie mahiri miaka ya nyuma "Girlfriend" 'Walinilipa laki 5 kwenye movie ,ni pesa nyingi kwa kweli wakati huo, lakini walinichezesha main actor bila Mimi kujua" Amefunguka Mnyama huyo hatari zaidi ya simba...
  4. U

    TID na usemi wa ''Ni Yeye'': Je, ni kweli kuna haki ya umiliki wa maneno ya kawaida ya Kiswahili ambayo yamekwepo kwenye matumizi karne nyingi?

    Katika siku za karibuni katika mitandao ya jamii, huyu msanii TID amekuwa habari kuwa huu usemi ni wake kwa yeye ndio mbunifu na kufika kusema ameuandikisha cosota hivyo ana haki nao katika matumizi. Hili limenifanya niwaze, je ni kweli kuna haki ya maneno ya kawaida ya kiswahili ambayo...
  5. A

    Uchaguzi 2020 Humphrey Polepole: Dkt. Magufuli atachukua fomu ya Urais 06 Agosti Dodoma. Mwanachama aliyepiga mazonge kwenye kura za maoni atashikishwa adabu

    Katibu wa NEC - Itikadi na Uenezi ndugu Polepole ataongea na watanzania kupitia vyombo mbalimbali vya habari. Mkutano utafanyika ofisi ndogo ya CCM - Lumumba, Dar es Salaam. Usipange kukosa kufuatilia. Juzi tulikuwa na NEC ilituita vyama vyote, taarifa muhimu tumepewa, kikao kilichopita...
  6. Erythrocyte

    Video: Hivi ndivyo TID alivyomlilia Rais Mstaafu Mkapa, inasikitisha sana

    Kama ambavyo Watanzania wengi tulivyoguswa na msiba huu mzito wa Kitaifa, wasanii wetu pia wameguswa.
  7. H

    TID awataja wasanii wabovu

    Mwanamziki TID a.k.a Top In Dar amewataja wasanii ambao kwa maoni yake, amewaona si wasanii wazuri. 1. Abdu Kiba 2. Ommy Dimpoz 3. Mwasiti 4. Ben Pol
  8. Squidward

    TID Awapa Onyo Azam TV kucheza filamu yake ya Girlfriend. Awadai Millioni 300 kwa kukaidi.

    Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Tanzania T.I.D a.k.a TOP a.k.a Warioba A.k.A BASATA a.k.a POWER BANK leo kupitia instagram yake amwaga povu kali kiwango cha grisi kutoka kwa Azam TV baada ya kurusha filamu yake ya Girlfriend bila ya kibali maalumu. Maneno yake yanasomeka kama ifuatavy...
Back
Top Bottom