Oooh siamini
Kama tuko wote
Kama tuko wote
Mimi na wewe
Oooh siamini
Kama tuko wote
Kama tuko wote
Mimi na wewe
Wajua pendo letu lilipotoka
Si mbali sana mpenzi siwezi me sema
Milima na mabonde
Mengi tumeshuka (ooh)
Maneno mengi walisema
Kote bara visiwani (oh oh)
Kidani cha moyo wangu (oh oh)...
Akihojiwa na Salama Jabir katika kipindi cha Salama na kinachorushwa Dstv, msanii wa bongofleva Khalid Mohamed maarufu TID amesema ishu ya kutajwa katika scandal ya matumizi ya madawa ya kulevya ilimchafua sana kwani alikaa ndani siku 5 na hatozisahau!
TID anasema mpaka leo hajawahi kukaa sawa...
Msanii mkali kama anavyojiita TID mnyama ,ameweka wazi kiasi alicholipwa kwenye movie mahiri miaka ya nyuma "Girlfriend"
'Walinilipa laki 5 kwenye movie ,ni pesa nyingi kwa kweli wakati huo, lakini walinichezesha main actor bila Mimi kujua"
Amefunguka Mnyama huyo hatari zaidi ya simba...
Katika siku za karibuni katika mitandao ya jamii, huyu msanii TID amekuwa habari kuwa huu usemi ni wake kwa yeye ndio mbunifu na kufika kusema ameuandikisha cosota hivyo ana haki nao katika matumizi.
Hili limenifanya niwaze, je ni kweli kuna haki ya maneno ya kawaida ya kiswahili ambayo...
Katibu wa NEC - Itikadi na Uenezi ndugu Polepole ataongea na watanzania kupitia vyombo mbalimbali vya habari. Mkutano utafanyika ofisi ndogo ya CCM - Lumumba, Dar es Salaam. Usipange kukosa kufuatilia.
Juzi tulikuwa na NEC ilituita vyama vyote, taarifa muhimu tumepewa, kikao kilichopita...
Mkongwe wa muziki wa kizazi kipya Tanzania T.I.D a.k.a TOP a.k.a Warioba A.k.A BASATA a.k.a POWER BANK leo kupitia instagram yake amwaga povu kali kiwango cha grisi kutoka kwa Azam TV baada ya kurusha filamu yake ya Girlfriend bila ya kibali maalumu.
Maneno yake yanasomeka kama ifuatavy...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.