Tibaijuka, umekosa haya? Mahakama ni chombo huru na muhimu, omba kadi ya CHADEMA lakini sio kuhamasisha vurugu

Mahakama ipi hiyo ambayo ipo huru?
 
yes,
ana maisha yake na yana mtesa mno nje ya game.
laana ya dhuluma inamtesamno hasa ile ya pesa ya mboga ya escrow
Sethi swaiba wa ruge si kawachangia huko na mmeipokea pesa yake gentleman

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…