By Raymond Kaminyoge, Mwananchi
Dar es Salaam. Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anne Tibaijuka amesema amepata tuzo nchini Marekani ikiwa ni kuthamini mchango wake akiwa Umoja wa Mataifa lakini akakataa kuchukua fedha dola 100,000( zaidi ya Sh 200 milioni) ambazo huambatana na tuzo hiyo.
Alisema alikataa kupokea fedha hizo kwa sababu maadili ya nchi yetu hayaruhusu kupokea zawadi kama hiyo.
Alisema lakini aliwaeleza kwamba katika mkoa anakotoka kumetokea tetemeko la ardhi na kuna maafa.
Alisema wao wataamua cha kufanya lakini yeye binafsi amekataa kupokea fedha hizo.
Mkuu hii inatosha mboga kwa siku ishirini tu hata mwezi haimalizi, ndio maana kaikataa.Mbona ile "pesa ya mboga" toka kwa Escrow aliipokea? ...... Mwepesi kweli kusahau!!!!!
Huo ndio ukweli.Kwa maadili ya utumishi asingekataa - ila angepokea kisha zawadi hiyo angeikabidhi serikalini na kukatiwa ERV kisha fedha zingeingizwa kwenye hazina ya serikali.
HUYU WA KIMATAIFA ANA UZOEFU ANAJUA NDEGE ZA MAREKANI HAZIRUHUSU SANDARUSI ANGEKWENDA HUKO BAADA YA NDEGE ZA MAGBOMBIER KUANZA TRIP ZA USAHawa Ma Prof wa inji hii ni tatizo ,huyu mama haiba yake kimataifa imeshuka sana baada ya ile mambo ya ESCROW.
sorry unaweza kusema sababu za kukataa hizi pesa?!Kitendo cha Serikali kutafuta pesa kwa ajili ya kusaidia wahanga wa tetemeko wa mkoa wa Kagera huku jimbo la Buleba likiwa ni sehemu ya mkoa wa Kagera Mbunge wake akiwa ni Profesa Anna Tibaijuka ambaye hivi karibuni ameshinda tuzo ya kimataifa ya maswala ya uongozi na KUKATAA TAKRIBANI T..SH 200 MIL KAMA KIAMBATA CHA TUZO.NI JAMBO LA KUSTAJABISHA KWA KIONGOZI MKUU KAMA HUYU ANAYETOKA KATIKA ENEO LILILOATHIRIKA NA JANGA HILI AMBAPO BADO JUHUDI ZA KUKUSANYA MICHANGO ZINAENDELEA FANYIKA. LAITI KAMA NINGEKUWA NI MWENYEKITI WA CCM NINGEMVUA UANACHAMA KAMA HATUA MUHIMU YA KUELEKEA MVUA UBUNGE WAKE
Mi ninashangazwa na hatua aliyochukua kukataa hiyo pesa,maelezo aliyotoa na kiwango cha kuelimika kwake na majanga yaliyo tusibu kwa kweli sijamuelewa jamani.Kitendo cha Serikali kutafuta pesa kwa ajili ya kusaidia wahanga wa tetemeko wa mkoa wa Kagera huku jimbo la Buleba likiwa ni sehemu ya mkoa wa Kagera Mbunge wake akiwa ni Profesa Anna Tibaijuka ambaye hivi karibuni ameshinda tuzo ya kimataifa ya maswala ya uongozi na KUKATAA TAKRIBANI T..SH 200 MIL KAMA KIAMBATA CHA TUZO.NI JAMBO LA KUSTAJABISHA KWA KIONGOZI MKUU KAMA HUYU ANAYETOKA KATIKA ENEO LILILOATHIRIKA NA JANGA HILI AMBAPO BADO JUHUDI ZA KUKUSANYA MICHANGO ZINAENDELEA FANYIKA. LAITI KAMA NINGEKUWA NI MWENYEKITI WA CCM NINGEMVUA UANACHAMA KAMA HATUA MUHIMU YA KUELEKEA MVUA UBUNGE WAKE