Habar za jioni magwiji,
Mkichunguza kwa jicho la ndani ya utosi mtaona kwa ukaribu kabisa mbio na heka heka za mama huyu profesa katika Media za Ndani na Nje ya Tz akijieleza,kujitetea...
kwa lengo la kujisafisha....
Alianza na voice of America, akaja BBC, Mara kaibukia kwa Muhcn Mambo TV 1 ndani ya mawazo pevu...
Stori anayoinadi ni ile ile kana kwamba anawapa waandishi maswali ya kumuulza,...Kisa eti kwa sabb alipata tunzo huko ughaibuni ilio ambatana na FEDHWAAAA sasa yy madai yake etiiij ameuchunia mpunga na kujinyakulia tuzo peke yake...Hoja yke ni kuwa kama anauwezo wa kukataa mamilioni hayo kwann tumuone alikuwa na NIA MBAYA /KAIBA fedha za escroooo...Kwan anashida gan mpaka afanye hvyo...Lkn anasahau kuwa kilichotangulia ni ukwapuaji huo wa jasho La wa Tz ndipo akaja kukataa hzo fedha,ambaz kisingi CC tunamuona ni mtu alietosheka na alicho tupokonya ndo mana hzo nyengine haztakiii,[HASHTAG]#HATUKUELEWI[/HASHTAG] NA WALA HAWATOKUELEWA#
Eti amefanya kaz na WAZUNGUA na wanamjua sio Mwizi xx inakuaje wazungu wanaskia eti KAIBA FEDHWAAAA,Lkn amesahau kuwa wazungu hawashangai kuiba kwake bali wanamshangaa njia aliotumia kuikwapua hio Ngawira....
Sipendi kuwachosha ila nawaomba mumshauri kuwa hata atumie MEDIA za dunian kote,Dhambi ameshaifanya na hawez kuifuta ,kilichobak akiri tu ndo atapata PEACE OF MIND...
[HASHTAG]#MAMA[/HASHTAG] PROFESA PUMZIKA XX HAWATAKUELEWA#