Kuna mtu aliniambia yanafaa.Kwani si imefanana na Magadi? Je ukitumia magagi vp.. Kaka mshana tupe na kazi ya magadi
Anuizie kuondoa nuksi na kutakasa nyota
Hapana rafiki sio lazima kichwani lakini usoni usikoseHey Mshana, kama nataka kuoga kwa mwezi mzima kwa nia ya kusafisha mwili ni lazima nianzie kujimwagia maji kichwani? Maana Dah kutia nywele maji kila siku ni mtihani kwa sisi wanawake. Au nikijipangusa kichwani kwa juujuu inatosha? Pls nijibu ili nianze matumizi.
Hapana si lazima unaweza kuendelea tu hivyo hivyoChumvi ya mawe niliimwaga kavu sehem ya Biashara na Alhamdulillah Biashara inaenda vizuri haswa nikiwepo mimi niliemwagia eneo husika. Nataka nianze kunyunyizia na maji nione itakuwaje maana nimeona hapo umeandika lazma kubadilisha chumvi.
Hapana rafiki sio lazima kichwani lakini usoni usikose
Haya Mambo sijui yakoje Kuna bwana mmoja alishaniambia Hilo pia, sikuamini japo leo nakusikia Tena Mshana Jr. Inaeleza kuwa unafahamu siku yako kwa uhakika.Ndio natambua hilo kwa hakika
Jr![]()
Naomba kujua jins unavopangilia ayo maombiKuna jamaa kipindi cha nyuma alitaka kunidhulumu kiwanja fln hiv makusudi tu. Nikamtuma kijana mmoja akaniletee udongo wa kile kiwanja niufanyie kazi!
Nilichokifanya sasa; nilichukua chumvi ya asili nilitoa kateshi, nikachanganya na huo udongo, nikaandika na jina la huyo bwana na rafiki zake ili umoja usiwepo, nikasali sana ile usiku..sana..asubh nikampigia yule kijana aje achukue hlf akamwage ule udongo +chumvi pale kwenye kiwanja!
Nikamwambia sasa tutulie huyu jamaa hatafatilia tena hiki kiwanja na atakisahau mana nia yake si nzuri! Ooooh alinitafuta mwenyewe, akanambia hiki kiwanja ni chako sina mda wa kubishania haki ya mtu!
Tunapeana hi tu tukikutana!
Kuna ofisi moja nilikua nataka mkopo, sasa kila siku usumbufu, hawataki kunipa hela....nikahakikisha napata majina yao wote wale afisa mkopo na meneja wao...nikafanya juu chini nikabeba udongo kidogo sana wa pale, kwasababu sipeleki kwa mganga naweza shika udongo kwa mkono tu haina shida, ni tofauti na kwa mganga...sasa sababu namwamini Mungu katika Kristo Yesu, nilifanyia kazi navyojua mimi, nikarudi pale kwa kuhangaikiwa nipate hela haraka, wakajilaumu kwann wamenicheleweshea kunipa mkopo mapema, niliwanyamazia tuu!
Haya mambo yanafanya kazi kwa kupitia imani ambapo lazima kuwepo na ufahamu fln utakaoungana na hiyo imani na imani lazima iungane na supernatural being...hakuna mtu duniani anayeishi nje ya kuamini kwake, hayupo na hatatokea.
Nimezoea magadi huwa yanapatikana masokoni, Vipi MAKATA nayo yapo sokoni, maana jina ndiyo nalisikiaMakata generarally ni kwa ajili ya kula kitu kibaya.. Ndoto za kula nyama tumia ndimu kulamba
Jr![]()
Vipi kwa DSM, au Tanga upatikanaji wake?Sio sehemu zote yanapatikana