Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya tatu

Kwani si imefanana na Magadi? Je ukitumia magagi vp.. Kaka mshana tupe na kazi ya magadi
 
Anuizie kuondoa nuksi na kutakasa nyota

Hey Mshana, kama nataka kuoga kwa mwezi mzima kwa nia ya kusafisha mwili ni lazima nianzie kujimwagia maji kichwani? Maana Dah kutia nywele maji kila siku ni mtihani kwa sisi wanawake. Au nikijipangusa kichwani kwa juujuu inatosha? Pls nijibu ili nianze matumizi.
 
Chumvi ya mawe niliimwaga kavu sehem ya Biashara na Alhamdulillah Biashara inaenda vizuri haswa nikiwepo mimi niliemwagia eneo husika. Nataka nianze kunyunyizia na maji nione itakuwaje maana nimeona hapo umeandika lazma kubadilisha chumvi.
 
Hey Mshana, kama nataka kuoga kwa mwezi mzima kwa nia ya kusafisha mwili ni lazima nianzie kujimwagia maji kichwani? Maana Dah kutia nywele maji kila siku ni mtihani kwa sisi wanawake. Au nikijipangusa kichwani kwa juujuu inatosha? Pls nijibu ili nianze matumizi.
Hapana rafiki sio lazima kichwani lakini usoni usikose
 
Chumvi ya mawe niliimwaga kavu sehem ya Biashara na Alhamdulillah Biashara inaenda vizuri haswa nikiwepo mimi niliemwagia eneo husika. Nataka nianze kunyunyizia na maji nione itakuwaje maana nimeona hapo umeandika lazma kubadilisha chumvi.
Hapana si lazima unaweza kuendelea tu hivyo hivyo
 
Asante sana Mshanajr hii kitu inafanya kazi kwa asilimia 200...boss wang ana sehem nying za biashara juzi kafungua nyingine nkaenda kumwaga chumvi asubuh aisee biashara inaenda kuliko hata sehem alizokua nazo mwanzo
 
Kuna jamaa kipindi cha nyuma alitaka kunidhulumu kiwanja fln hiv makusudi tu. Nikamtuma kijana mmoja akaniletee udongo wa kile kiwanja niufanyie kazi!

Nilichokifanya sasa; nilichukua chumvi ya asili nilitoa kateshi, nikachanganya na huo udongo, nikaandika na jina la huyo bwana na rafiki zake ili umoja usiwepo, nikasali sana ile usiku..sana..asubh nikampigia yule kijana aje achukue hlf akamwage ule udongo +chumvi pale kwenye kiwanja!

Nikamwambia sasa tutulie huyu jamaa hatafatilia tena hiki kiwanja na atakisahau mana nia yake si nzuri! Ooooh alinitafuta mwenyewe, akanambia hiki kiwanja ni chako sina mda wa kubishania haki ya mtu!
Tunapeana hi tu tukikutana!

Kuna ofisi moja nilikua nataka mkopo, sasa kila siku usumbufu, hawataki kunipa hela....nikahakikisha napata majina yao wote wale afisa mkopo na meneja wao...nikafanya juu chini nikabeba udongo kidogo sana wa pale, kwasababu sipeleki kwa mganga naweza shika udongo kwa mkono tu haina shida, ni tofauti na kwa mganga...sasa sababu namwamini Mungu katika Kristo Yesu, nilifanyia kazi navyojua mimi, nikarudi pale kwa kuhangaikiwa nipate hela haraka, wakajilaumu kwann wamenicheleweshea kunipa mkopo mapema, niliwanyamazia tuu!

Haya mambo yanafanya kazi kwa kupitia imani ambapo lazima kuwepo na ufahamu fln utakaoungana na hiyo imani na imani lazima iungane na supernatural being...hakuna mtu duniani anayeishi nje ya kuamini kwake, hayupo na hatatokea.
Naomba kujua jins unavopangilia ayo maombi
 
Haya Mambo sijui yakoje Kuna bwana mmoja alishaniambia Hilo pia, sikuamini japo leo nakusikia Tena Mshana Jr. Inaeleza kuwa unafahamu siku yako kwa uhakika.

Haya Mambo yanakuwaje jamani.?
Ni ya kiroho zaidi
 
Back
Top Bottom