Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya tatu

Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya tatu

Ndivyo walivyo, hata kama ni maandazi mnaandaa mtashangaa hayaumuki kamwe [emoji108][emoji108][emoji108]

Lakini mkiweza kukumbuka kunakuwaga na namna ya kufanya kabla ili kusudi wasiharibu vyakula kwa mazongo!

Sema mara nyingi ni rahisi kujisahau kuchukua tahadhari mapema wakati wa maandalizi ya chakula!


Sent using Jamii Forums mobile app

Aaah tanga hapana bwana duuuh sitakaa nisahau lile tumbo yaani unaharisha mpk nguvu zinakuisha duuh
 
[emoji1][emoji1][emoji1]halafu uchawi wenyewe ni zongo tu lakini acha kabisa huo mziki wake
Nimecheka kama mazuri wallah tanga kiboko duuuh japo ni nyumban lkn sijui kwa nini siwezi kuishi ht kidogo tanga

Jr[emoji769]
 
Mkuu mshana je sisi wabetiji atuwezi tumia fursa hii ya chumvi kupunguza vipigo tunavyopata kutoka kwa muhindi mana betting nayo ni biashara pia


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Pouwa kikubwa sio maji kiasi gani kwakuwa hata nusu Lita inatosha

Jr[emoji769]
Nakubali nakubali mkuu mshana
Pamoja sana.

Vp lakin mkuu na ww umefungiwa laini nini!!!?
Hahahahahaha. Natania tu mkuu

#MshanaJr
 
Udu
Mkuu mshana je sisi wabetiji atuwezi tumia fursa hii ya chumvi kupunguza vipigo tunavyopata kutoka kwa muhindi mana betting nayo ni biashara pia


Sent from my iPhone using JamiiForums
Usidhani wachezeshaji ni wajinga wa kuchezesha bila kujipanga... Nao wamefanya yao

Jr[emoji769]
 
Uu mvuto unaokusidiwa hapo ni mvuto gani?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yeah hata sisi watu waliumwa na kuharisha mno.... Makata ndio yaliokoa jahazi... Halafu wakati wa kurudi Dar tukatumia siku mbili.... Tulikuwa na gari 3 yani zilikuwa zinaharibika kwa zamu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jr[emoji769]
Acha nikupe mkasa jamani tanga kiboko harus ya mdog wangu ikapendekezwa ikafanywe tanga mweh pilau lilitiwa zongo hakuna aliesalimika na kuhara tulihara mpk wageni waalikwa ponapona yetu ni makata sina hamu umbuje maan watu ni kuulizan tu wew vip mpk bibi harus na babu harus mwendo ni mmoj tu sitasahau tanga sahare asanteni jamani
Makata ndio nin wakuu?,sababu naona mmelizungumzia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayafanani inategemea una shida gani lakini haya yanaweza kuwa msaada....
Chumvi ni tiba nitibie shida yangu
Chumvi ni ladha niletee ladha kwenye maisha yangu
Chumvi ni kinga nikinge na mambo mabaya na hatari zote
Chumvi ni kikoleza... Koleza mafanikio yangu, kutafuta kwangu, kupendwa kwangu nk
Chumvi ni kiungo nifanye nifanyike kiungo kila nitakapopita
Ahsante
 
Ni kama magadi lakini kazi yake kubwa kukufanya uharishe au utapike kitu kibaya ulicholishwa ama kula hasa kwa njia ya uchawi wa zongo

Jr[emoji769]
Naomba maelekezo jinsi ya kutumia makata

Je,kuota ndoto za Kila nyama unaweza kutumia makata??
 
Back
Top Bottom