Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya tatu

Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya tatu

Umeongelea "kunuizia", hebu Fanya hima utupe na maneno ya kunuizia
Hayafanani inategemea una shida gani lakini haya yanaweza kuwa msaada....
Chumvi ni tiba nitibie shida yangu
Chumvi ni ladha niletee ladha kwenye maisha yangu
Chumvi ni kinga nikinge na mambo mabaya na hatari zote
Chumvi ni kikoleza... Koleza mafanikio yangu, kutafuta kwangu, kupendwa kwangu nk
Chumvi ni kiungo nifanye nifanyike kiungo kila nitakapopita
 
Hayafanani inategemea una shida gani lakini haya yanaweza kuwa msaada....
Chumvi ni tiba nitibie shida yangu
Chumvi ni ladha niletee ladha kwenye maisha yangu
Chumvi ni kinga nikinge na mambo mabaya na hatari zote
Chumvi ni kikoleza... Koleza mafanikio yangu, kutafuta kwangu, kupendwa kwangu nk
Chumvi ni kiungo nifanye nifanyike kiungo kila nitakapopita
Hii naona inabidi uianzishie maada kabisa, kuna mtu alinitumia huu Uzi yeye nuizia yake anasema tu "chumvi una nguvu Fanya kazi yako, chumvi una nguvu Fanya kazi yako, chumvi una nguvu Fanya kazi yako" nikamwambia ndivyo Mshana alivyoandika???, anasema Mshana alisema tunuizie tu

Haya maneno tunaweza kuyapata kwa mtiririko kama huu wapi, jinsi gani ya kuya google.....Dada zetu wasije anza kunuiza chumvi ni nyeupe......nifanye niwe mweupe bila kalo laiti🙂🙂
 
Hii naona inabidi uianzishie maada kabisa, kuna mtu alinitumia huu Uzi yeye nuizia yake anasema tu "chumvi una nguvu Fanya kazi yako, chumvi una nguvu Fanya kazi yako, chumvi una nguvu Fanya kazi yako" nikamwambia ndivyo Mshana alivyoandika???, anasema Mshana alisema tunuizie tu

Haya maneno tunaweza kuyapata kwa mtiririko kama huu wapi, jinsi gani ya kuya google.....Dada zetu wasije anza kunuiza chumvi ni nyeupe......nifanye niwe mweupe bila kalo laiti🙂🙂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haifanyi kazi ya mkorogo. Ila huyo aliyenuizia kwa kusema kuwa CHUMVI UNA NGUVU FANYA KAZI YAKO... Bado alikuwa sahihi sana... Yaani aliiweka kwenye automation mode... Na hata usipotamka kitu bado inatenda
 
Nilisoma Uzi wako nikaitafta hyo chumvi nikaogea nashangaa nikaanza kulala vzuri no ndoto za kutisha na mambo wengine, nilizoea tukiwa wadogo kuogeshwa na magadi kuondoa sijui zongo na hii ya chumvi iko bien sana
Hivi zongo ni kitu gani hasa mkuu?
Kama una maelezo mazuri
 
M
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haifanyi kazi ya mkorogo. Ila huyo aliyenuizia kwa kusema kuwa CHUMVI UNA NGUVU FANYA KAZI YAKO... Bado alikuwa sahihi sana... Yaani aliiweka kwenye automation mode... Na hata usipotamka kitu bado inatenda
Mkuu maneno ya muhimu sana, yanatilia mkazo.

Hebu tupe script ya manuizi ya chumvi kwa mtu anehitaji nuksi afute na kujikinga na wanga
 
Hii naona inabidi uianzishie maada kabisa, kuna mtu alinitumia huu Uzi yeye nuizia yake anasema tu "chumvi una nguvu Fanya kazi yako, chumvi una nguvu Fanya kazi yako, chumvi una nguvu Fanya kazi yako" nikamwambia ndivyo Mshana alivyoandika???, anasema Mshana alisema tunuizie tu

Haya maneno tunaweza kuyapata kwa mtiririko kama huu wapi, jinsi gani ya kuya google.....Dada zetu wasije anza kunuiza chumvi ni nyeupe......nifanye niwe mweupe bila kalo laiti🙂🙂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hayafanani inategemea una shida gani lakini haya yanaweza kuwa msaada....
Chumvi ni tiba nitibie shida yangu
Chumvi ni ladha niletee ladha kwenye maisha yangu
Chumvi ni kinga nikinge na mambo mabaya na hatari zote
Chumvi ni kikoleza... Koleza mafanikio yangu, kutafuta kwangu, kupendwa kwangu nk
Chumvi ni kiungo nifanye nifanyike kiungo kila nitakapopita
Shukran
 
 
ujue natafakari sana ila nashindwa kupata maana halisi ya manuizi kwakweli, ni kama vile tunavyoomba msikitini na makanisani au
Yale ni maombi na dua haya ni manuizi.. Maombi na dua ni kwa Mungu atende... Manuizi ni dhamira binafsi juu ya matokeo ya jambo
 
Back
Top Bottom