Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya tatu

Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya tatu

Post hii nimeisoma jana nime practice na naona it could work... maana asubuhi nimeamka nikiwa mwepesi na mwenye kujiamini

Japo nilitumia chumvi ya majumbani( ya mboga) lakini naona kuwa sio mbaya it could work

Nna mpango wa kununua chumvi yenyewe ambayo ina nguvu. Mwisho kabisa natoa shukrani za dhati kwa Mshanajr Mungu akujarie sana bro! Akuongezee na maarifa mengine maana unawasaidia wengi naamini
 
Habar mkuu mshanaJt
Nakufwatilia sana kaka na napenda baadhi ya mada zako na napenda pia unavyojibu maswali ya waulizaji bila ubaguaji wa maswali yaani unajibu maswali aina zote PONGEZI sana.

Naomba kuuliza
Hiyo chumvi ya mawe inapata wapi nguvu ya kutenda maajabu hayo???!

Samahani kwa swali langu mkuu wangu.
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]tubarikiwe pamoja kaka ndio furaha yangu kuu
Post hii nimeisoma jana nime practice na naona it could work... maana asubuhi nimeamka nikiwa mwepesi na mwenye kujiamini

Japo nilitumia chumvi ya majumbani( ya mboga) lakini naona kuwa sio mbaya it could work

Nna mpango wa kununua chumvi yenyewe ambayo ina nguvu. Mwisho kabisa natoa shukrani za dhati kwa Mshanajr Mungu akujarie sana bro! Akuongezee na maarifa mengine maana unawasaidia wengi naamini

Jr[emoji769]
 
Asante sana naomba nitakurejea nikitulia nikujibu kwa kina
Habar mkuu mshanaJt
Nakufwatilia sana kaka na napenda baadhi ya mada zako na napenda pia unavyojibu maswali ya waulizaji bila ubaguaji wa maswali yaani unajibu maswali aina zote PONGEZI sana.

Naomba kuuliza
Hiyo chumvi ya mawe inapata wapi nguvu ya kutenda maajabu hayo???!

Samahani kwa swali langu mkuu wangu.

Jr[emoji769]
 
Hii pia inafanya kazi kwa watu badala ya kujinyunyuzia chumvi mwilini,chukua vikombe viwili vya chumvi ya baharini viweke kwenye chombo cha kuogea (ndoo) na kisha oga.
Chumvi ni tiba mbadala ya kiroho kwa ajili ya kuondoa nguvu mbaya(hasi).
Wasalaam
Sawa mkuu ila usinisahau.
#MshanaJr

Jr[emoji769]
 
CC : ZESH

Jr[emoji769]
 
Hii pia inafanya kazi kwa watu badala ya kujinyunyuzia chumvi mwilini,chukua vikombe viwili vya chumvi ya baharini viweke kwenye chombo cha kuogea (ndoo) na kisha oga.
Chumvi ni tiba mbadala ya kiroho kwa ajili ya kuondoa nguvu mbaya(hasi).
Wasalaam

Jr[emoji769]
Mkuu samahani
Hukunijibu swali langu
Nilikuuliza kuwa CHUMVI inapata wapi nguvu kubwa kiasi hicho kutenda yote hayo???
Kwa nini viumbe wabaya wanaiogopa???
Kwa nini hasa????
Naomba jibu mkuu.

#MshanaJr
 
Mkuu samahani
Hukunijibu swali langu
Nilikuuliza kuwa CHUMVI inapata wapi nguvu kubwa kiasi hicho kutenda yote hayo???
Kwa nini viumbe wabaya wanaiogopa???
Kwa nini hasa????
Naomba jibu mkuu.

#MshanaJr
YESU aliwaambia wanafunzi wake hivi: “Nyinyi ndio chumvi ya dunia.” (Mathayo 5:13) Nao Waarabu husema kwamba, “Kuna chumvi kati yetu,” na Waajemi husema kuhusu “asiye wa kweli kwa chumvi” (asiye mwaminifu au asiye na shukrani). Kwa kuwa chumvi inaweza kuhifadhi vitu, neno “chumvi” limeheshimiwa na kustahiwa katika lugha za kale na hata za leo.

Chumvi pia imekuwa alama ya uthabiti na udumifu. Hiyo ndiyo sababu, katika Biblia agano muhimu liliitwa “agano la chumvi,” na wale waliokubaliana mara nyingi walikula mlo pamoja, uliotiwa chumvi ili kuidhinisha agano hilo. (Hesabu 18:19) Chini ya Sheria ya Musa, chumvi ilitiwa kwenye matoleo madhabahuni, bila shaka ikionyesha hali ya kutokuwa na ufisadi au uharibifu wowote.

Jr[emoji769]
 
YESU aliwaambia wanafunzi wake hivi: “Nyinyi ndio chumvi ya dunia.” (Mathayo 5:13) Nao Waarabu husema kwamba, “Kuna chumvi kati yetu,” na Waajemi husema kuhusu “asiye wa kweli kwa chumvi” (asiye mwaminifu au asiye na shukrani). Kwa kuwa chumvi inaweza kuhifadhi vitu, neno “chumvi” limeheshimiwa na kustahiwa katika lugha za kale na hata za leo.

Chumvi pia imekuwa alama ya uthabiti na udumifu. Hiyo ndiyo sababu, katika Biblia agano muhimu liliitwa “agano la chumvi,” na wale waliokubaliana mara nyingi walikula mlo pamoja, uliotiwa chumvi ili kuidhinisha agano hilo. (Hesabu 18:19) Chini ya Sheria ya Musa, chumvi ilitiwa kwenye matoleo madhabahuni, bila shaka ikionyesha hali ya kutokuwa na ufisadi au uharibifu wowote.

Jr[emoji769]
Naaam nimeelewa.
Au naweza sema chumvi ndimu kitunguu swaumu na viungo vingine vina nguvu za asili kutoka kwa mungu.
Na ndo maana tunachemsha muarobaini na kunywa maji yake ama kujifukisha na mtu homa inaondoka
So hivi vitu si ushirikina kumbe
Nimekuelewa saaanaaaa.

#MshanaJr
#MshanaJr
#MshanaJr
 
Hapana hakuna ushirikina hapo... Kuna vitu vingi tu vina nguvu ya asili
Naaam nimeelewa.
Au naweza sema chumvi ndimu kitunguu swaumu na viungo vingine vina nguvu za asili kutoka kwa mungu.
Na ndo maana tunachemsha muarobaini na kunywa maji yake ama kujifukisha na mtu homa inaondoka
So hivi vitu si ushirikina kumbe
Nimekuelewa saaanaaaa.

#MshanaJr
#MshanaJr
#MshanaJr

Jr[emoji769]
 
Hapana hakuna ushirikina hapo... Kuna vitu vingi tu vina nguvu ya asili

Jr[emoji769]
Naam mkuu mshana.
Emu niambie hapa kama nipo sahihi.
1. NAWEKA MAJI NUSU KWENYE NDOO YA LITA 10 YAANI HAIJAI MPAKA JUU
2. NAWEKA CHUMVI YA MAWE KIASI NAKADIRIA KUTOKANA NA KIASI CHA MAJI.
3. KISHA NAMINYIA NDIMU MOJA.
4. KISHA NAKOROGA KWA MWELEKEO MMOJA ILI CHUMVI ICHANGANYIKE NA MAJI
5. KISHA NAOGA
6. KWA SIKU MARA 1

Je nipo sahihi Mkuu???

#MshanaJr
 
Back
Top Bottom