Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Kuna nguvu(nishati)zinazotuzunguka sisi binadamu,na jinsi unavyozidi kupata elimu kuhusu hizi nguvu na ndivyo utakavyozidi kujua zaidi athari za nguvu hizi,ziwe nzuri(chanya) au mbaya(hasi).
Nguvu mbaya zinaweza kuathiri mwili, nyumba tunazoishi na hata ofisi tunazofanyia kazi.
Dalili ya nguvu mbaya katika mazingira yetu ni kama zifuatazo,kuumwa kichwa Mara kwa Mara bila kuwepo kwa kisababishi kama magonjwa,maumivu ya tumbo yasioeleweka,uchovu bila kufanya kazi yoyote,kukosa usingizi,kuweweseka-kua na hali ya uoga,kukata tamaa,kuhisi akili haifanyi kazi,kutokufurahia mahusiano,na hata kuchukia sehemu unayoishi au kufanyia kazi bila sababu maalumu.

Jinsi ya kuepukana na hizi nguvu hasi(mbaya) Chukua chumvi zenye punje ndogondogo nyunyuzia juu ya carpet(zulia),sakafu au tailizi,ziache kwa muda wa angalau lisaa limoja,kisha waweza kuifagia.
Chumvi zina asili ya kushangaza iliopo ndani yake ya kunyonya hizo nguvu mbaya zilizopo kwenye icho chumba.
Pia unaweza kuweka chumvi ya mawe(mabonge) mapande makubwamakubwa kwenye kibakuli kidogo na kuweka kwenye pembe(kona) za chumba na kuitoa baada ya masaa machache,njia hii pia huondoa nguvu hasi zilizopo kwenye hicho chumba.
Hii pia inafanya kazi kwa watu badala ya kujinyunyuzia chumvi mwilini,chukua vikombe viwili vya chumvi ya baharini viweke kwenye chombo cha kuogea (ndoo) na kisha oga.
Chumvi ni tiba mbadala ya kiroho kwa ajili ya kuondoa nguvu mbaya(hasi).
Wasalaam
L.a.i.i

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna nguvu(nishati)zinazotuzunguka sisi binadamu,na jinsi unavyozidi kupata elimu kuhusu hizi nguvu na ndivyo utakavyozidi kujua zaidi athari za nguvu hizi,ziwe nzuri(chanya) au mbaya(hasi).
Nguvu mbaya zinaweza kuathiri mwili, nyumba tunazoishi na hata ofisi tunazofanyia kazi.
Dalili ya nguvu mbaya katika mazingira yetu ni kama zifuatazo,kuumwa kichwa Mara kwa Mara bila kuwepo kwa kisababishi kama magonjwa,maumivu ya tumbo yasioeleweka,uchovu bila kufanya kazi yoyote,kukosa usingizi,kuweweseka-kua na hali ya uoga,kukata tamaa,kuhisi akili haifanyi kazi,kutokufurahia mahusiano,na hata kuchukia sehemu unayoishi au kufanyia kazi bila sababu maalumu.

Jinsi ya kuepukana na hizi nguvu hasi(mbaya) Chukua chumvi zenye punje ndogondogo nyunyuzia juu ya carpet(zulia),sakafu au tailizi,ziache kwa muda wa angalau lisaa limoja,kisha waweza kuifagia.
Chumvi zina asili ya kushangaza iliopo ndani yake ya kunyonya hizo nguvu mbaya zilizopo kwenye icho chumba.
Pia unaweza kuweka chumvi ya mawe(mabonge) mapande makubwamakubwa kwenye kibakuli kidogo na kuweka kwenye pembe(kona) za chumba na kuitoa baada ya masaa machache,njia hii pia huondoa nguvu hasi zilizopo kwenye hicho chumba.
Hii pia inafanya kazi kwa watu badala ya kujinyunyuzia chumvi mwilini,chukua vikombe viwili vya chumvi ya baharini viweke kwenye chombo cha kuogea (ndoo) na kisha oga.
Chumvi ni tiba mbadala ya kiroho kwa ajili ya kuondoa nguvu mbaya(hasi).
Wasalaam
L.a.i.i

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii pia inafanya kazi kwa watu badala ya kujinyunyuzia chumvi mwilini,chukua vikombe viwili vya chumvi ya baharini viweke kwenye chombo cha kuogea (ndoo) na kisha oga.
Chumvi ni tiba mbadala ya kiroho kwa ajili ya kuondoa nguvu mbaya(hasi).
Wasalaam

Jr
 
Kuna nguvu(nishati)zinazotuzunguka sisi binadamu,na jinsi unavyozidi kupata elimu kuhusu hizi nguvu na ndivyo utakavyozidi kujua zaidi athari za nguvu hizi,ziwe nzuri(chanya) au mbaya(hasi).
Nguvu mbaya zinaweza kuathiri mwili, nyumba tunazoishi na hata ofisi tunazofanyia kazi.
Dalili ya nguvu mbaya katika mazingira yetu ni kama zifuatazo,kuumwa kichwa Mara kwa Mara bila kuwepo kwa kisababishi kama magonjwa,maumivu ya tumbo yasioeleweka,uchovu bila kufanya kazi yoyote,kukosa usingizi,kuweweseka-kua na hali ya uoga,kukata tamaa,kuhisi akili haifanyi kazi,kutokufurahia mahusiano,na hata kuchukia sehemu unayoishi au kufanyia kazi bila sababu maalumu.

Jinsi ya kuepukana na hizi nguvu hasi(mbaya) Chukua chumvi zenye punje ndogondogo nyunyuzia juu ya carpet(zulia),sakafu au tailizi,ziache kwa muda wa angalau lisaa limoja,kisha waweza kuifagia.
Chumvi zina asili ya kushangaza iliopo ndani yake ya kunyonya hizo nguvu mbaya zilizopo kwenye icho chumba.
Pia unaweza kuweka chumvi ya mawe(mabonge) mapande makubwamakubwa kwenye kibakuli kidogo na kuweka kwenye pembe(kona) za chumba na kuitoa baada ya masaa machache,njia hii pia huondoa nguvu hasi zilizopo kwenye hicho chumba.
Hii pia inafanya kazi kwa watu badala ya kujinyunyuzia chumvi mwilini,chukua vikombe viwili vya chumvi ya baharini viweke kwenye chombo cha kuogea (ndoo) na kisha oga.
Chumvi ni tiba mbadala ya kiroho kwa ajili ya kuondoa nguvu mbaya(hasi).
Wasalaam
L.a.i.i

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia kitu nilichokiona ktk chumvi ya mawe nikwamba ukiimwaga chini inayeyuka yenyewe.

Pia ahasante kwa elimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chumvi
chumvi%20mawe.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
YESU aliwaambia wanafunzi wake hivi: “Nyinyi ndio chumvi ya dunia.” (Mathayo 5:13) Nao Waarabu husema kwamba, “Kuna chumvi kati yetu,” na Waajemi husema kuhusu “asiye wa kweli kwa chumvi” (asiye mwaminifu au asiye na shukrani). Kwa kuwa chumvi inaweza kuhifadhi vitu, neno “chumvi” limeheshimiwa na kustahiwa katika lugha za kale na hata za leo.

Chumvi pia imekuwa alama ya uthabiti na udumifu. Hiyo ndiyo sababu, katika Biblia agano muhimu liliitwa “agano la chumvi,” na wale waliokubaliana mara nyingi walikula mlo pamoja, uliotiwa chumvi ili kuidhinisha agano hilo. (Hesabu 18:19) Chini ya Sheria ya Musa, chumvi ilitiwa kwenye matoleo madhabahuni, bila shaka ikionyesha hali ya kutokuwa na ufisadi au uharibifu wowote.

hili ni somo kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr
 
Kuna nguvu(nishati)zinazotuzunguka sisi binadamu,na jinsi unavyozidi kupata elimu kuhusu hizi nguvu na ndivyo utakavyozidi kujua zaidi athari za nguvu hizi,ziwe nzuri(chanya) au mbaya(hasi).
Nguvu mbaya zinaweza kuathiri mwili, nyumba tunazoishi na hata ofisi tunazofanyia kazi.
Dalili ya nguvu mbaya katika mazingira yetu ni kama zifuatazo,kuumwa kichwa Mara kwa Mara bila kuwepo kwa kisababishi kama magonjwa,maumivu ya tumbo yasioeleweka,uchovu bila kufanya kazi yoyote,kukosa usingizi,kuweweseka-kua na hali ya uoga,kukata tamaa,kuhisi akili haifanyi kazi,kutokufurahia mahusiano,na hata kuchukia sehemu unayoishi au kufanyia kazi bila sababu maalumu.

Jinsi ya kuepukana na hizi nguvu hasi(mbaya) Chukua chumvi zenye punje ndogondogo nyunyuzia juu ya carpet(zulia),sakafu au tailizi,ziache kwa muda wa angalau lisaa limoja,kisha waweza kuifagia.
Chumvi zina asili ya kushangaza iliopo ndani yake ya kunyonya hizo nguvu mbaya zilizopo kwenye icho chumba.
Pia unaweza kuweka chumvi ya mawe(mabonge) mapande makubwamakubwa kwenye kibakuli kidogo na kuweka kwenye pembe(kona) za chumba na kuitoa baada ya masaa machache,njia hii pia huondoa nguvu hasi zilizopo kwenye hicho chumba.
Hii pia inafanya kazi kwa watu badala ya kujinyunyuzia chumvi mwilini,chukua vikombe viwili vya chumvi ya baharini viweke kwenye chombo cha kuogea (ndoo) na kisha oga.
Chumvi ni tiba mbadala ya kiroho kwa ajili ya kuondoa nguvu mbaya(hasi).
Wasalaam
L.a.i.i

Sent using Jamii Forums mobile app
Sokoni zinapatikana ee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana hao hawakuwa siafu wale wa kawaida tunaowajua sisi

Sent using Jamii Forums mobile app
Habar mkuu mshana .
Sasa mkuu kutokana na kilichomfika huyo Dada wa siafu chumbani kwake.
Je ipi ni njia bora na yenye nguvu zaidi?
Katika kukinga ama kulinda ama kuepusha nyumba isiingiwe na wadudu wa hatari kama nyoka, siafu na wengineo wabaya zaidi walio hatari???
Chumvi ya mawe itatumikaje hapo kuchoma ama?????

Naomba majibu mkuu
Shukrani.
 
Mie nimeoga miezi mitatu mfululizo cheche mambo hayasongi kabisa, sijui na huyu mhutu pale magogoni ndo tatizo.
 
Mi sitaki hizo dawa za kuoga wala kupaka, mi nataka dawa ya kuwa kuwapumbaza mabosi ,nikienda na andiko langu wanalikubal
 
Habar mkuu mshana .
Sasa mkuu kutokana na kilichomfika huyo Dada wa siafu chumbani kwake.
Je ipi ni njia bora na yenye nguvu zaidi?
Katika kukinga ama kulinda ama kuepusha nyumba isiingiwe na wadudu wa hatari kama nyoka, siafu na wengineo wabaya zaidi walio hatari???
Chumvi ya mawe itatumikaje hapo kuchoma ama?????

Naomba majibu mkuu
Shukrani.
Usichome chumvi.. Ni kitu kibaya sana... Tunachoma chumvi pale tunapotaka kufanya manuizi mabaya
Imwage tu kuzunguka nyumba inatosha kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom