KENGE 01
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 1,592
- 3,839
Aisee miaka ya zamani kidogo ukiita Chumvi baadhi maduka usiku hupewi ng'oo...Unaweza kuambiwa haipo na pengine unaiona kabisaa ETI mpaka useme DAWA YA MBOGA
Sasa Chumvi ikikuishia usiku ndo utajua hujui.Ukienda kwa mangi anakwambia sio chumvi ni dawa ya mboga au dawa ya jiko.
Tabia hii ni common mikoa ya pwani na kanda ya ziwa.Sasa wajuvi wa mambo mtujuze Kuita CHUMVI kuna madhara gani na kwanini utumie dawa ya mboga au Dawa ya jiko??
Ushirikina tu
Sasa Chumvi ikikuishia usiku ndo utajua hujui.Ukienda kwa mangi anakwambia sio chumvi ni dawa ya mboga au dawa ya jiko.
Tabia hii ni common mikoa ya pwani na kanda ya ziwa.Sasa wajuvi wa mambo mtujuze Kuita CHUMVI kuna madhara gani na kwanini utumie dawa ya mboga au Dawa ya jiko??
Ushirikina tu