Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Nina kama miaka 4 na zaidi nilikuwa naota ndoto ya kuwa uchi kila mara sasa baadae maisha yakaaza kwenda hovyo…. Yaaani kukosa Kazi, kupoteza pesa na yapo hivyo mpaka sasa lakini kuna siku nikaota ndoto hiyo hiyo lakini baadae nikajisemea kwa nini nipo uchi (Katika ndoto) alafu nikaenda kuvaa nguo na hapo hapo nikashituka… Naomba msaada je haya maisha ya kushuka kiuchumi ndio sababu ya hii ndoto na kama ndio je nikiongea chumvi naweza kuondoa ili tatizo?
Ogea chumvi itakusaidia sana, hiyo hali maana kiroho uko mtupu huna ulinzi wowote wa maana
 
Salt%20Protection%20Spell%20!.jpg
 
tafuta mayai mawili yaliyoanguliwa siku hiyo hyo ya kienyeji au nunua mayai mazima dukani yaweke chini ya kitanda/uvunguni unacholalia ww lala kitandani kwa dk 10 au 15 sema nataka nijue nimechezewa nimerogwa au nimekanyaga vitu vibaya kwa muda kama wa dk 2 hvwakati ukiwa umelala kisha yatoe yatikise kama yamekua maviza au yameharibika ujue kuna mtu amekuroga kama yako sawa basi ni bahati tu hauna
kama umerogwa fanya hivi
chemsha hayo mayai mawili
kula yote hadi yaishe hizo habari za uchawi utakuja kuzisikia kwa watu utakua na kinga ambayo hakuna mtu anaweza kukuvhezea tena
Hayo mayai yakuchemsha siyatakuwa ni viza, yatafaa kuliwa kweli
 
Huwezi kuibadili kwakuwa inayeyuka na kupotea
Okay asante, kuna wengine wanasema salt ina nyonya dark energy, so iki kaa Kwa Muda wa siku moja ,ina ishiwa na nguvu so inabidi UI badilishe, ili ije na nguvu mpya ,Kasi mpya,
Niliona hii habar kwenye blog za spiritual and yoga uko mtandaoni
 
Okay asante, kuna wengine wanasema salt ina nyonya dark energy, so iki kaa Kwa Muda wa siku moja ,ina ishiwa na nguvu so inabidi UI badilishe, ili ije na nguvu mpya ,Kasi mpya,
Niliona hii habar kwenye blog za spiritual and yoga uko mtandaoni
Elimu juu ya chumvi iko deep sana kwahiyo siwezi kupingana nayo
 
Yeah ni vilimbwata vidogo vidogo tu kwa ajili ya wivu.. Kwakuwa wanaume tunarogwa sana [emoji23]
apo kweli mkuu mshana nakubali sana maana kuna siku nilimfuma geto anamwaga vitu ndani basi mpaka leo naogopa kula chakula home yani nawaza je nikimuoa itakuaje anaamini mno ushirikina.
 
apo kweli mkuu mshana nakubali sana maana kuna siku nilimfuma geto anamwaga vitu ndani basi mpaka leo naogopa kula chakula home yani nawaza je nikimuoa itakuaje anaamini mno ushirikina.
Wala usiogope kwakuwa asilimia 80 ya madawa hayafanyi kazi na kile kitendo cha kumfumania kiliua nguvu zake zote sasa kabaki mweupe unaweza kuoa bila shida
 
Back
Top Bottom