Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Ishu ndogo sana hizo, cha kufanya nenda kwa waombaji wakuombee na uokoke uwe mtu wa sala utaenjoy maisha kianzia hapo.
Huko kote nimepenya mkuu
Tatizo linatulia then linarudi
Kuna kipindi nilikuwa naenda kwa peter Nyaga ili yapungue na tatizo lilipungua lakini lilirudi kwa kasi Sana

Hiyo ni baada ya kuacha kwenda kwa peter Nyaga
 
hivi hii ya kumwaga mchanga ni uchawi eeh maana kwenye bati home kila mara nasikia hii yani kila siku mpaka nawaza hii michanga nani anamwaga kwani yani kama manyunyu ya mvua kidogo. Na nimemwaga chumvi lakini bado nasikia hii michanga.
Ndiyo ni mchawi huyo
Lengo ni usiendelee
Magomvi yasiyokwisha
Kuchafua nyota

Yaani me ilifika kipindi nikawa nahisi paji la uso linawaka moto pindi walipokuwa wakifanya hivyo

Pia watu wakawa wananichukia bila 7babu yaani nikija kupata nafuu nitaenda radioni kuhadithia mitihani niliyopitia

Ili watu wajue kwamba Kuna watu wamevaa Dini Kumbe ni waasi wakubwa hapa Duniani
Kazi kuwatesa wenzao wasiyokuwa na kinga
 
Ngoja na mimi niende pale kariakoo kwenye maduka ya asili nikanunue kilo 10 kabisa nikomeshee,,maana mwaka wa pili sasa sipati kazi ila kampuni za wenzangu wanapata kazi na kupata riziki japo za kuendesha maisha mimi kwangu kupata hata visenti vya mboga tu ni ishu kubwa yaan kwa kifupi nimekata ringi natembea juu ya chaki
 
Tiba ya chumvi sio ya muda mfupi.. Unatakiwa kuitumia kwa miezi hata mwaka na taratibu utaona nabadiliko kidogo kidogo.. Uzuri wa chumvi ni kwamba ikishatibu imetibu ila inabidi uwe mvumilivu
Mmh braza Mshana si umesema tutumie kwa kipindi Cha siku 7,14 au 21 hii imekaaje
 
Mmh braza Mshana si umesema tutumie kwa kipindi Cha siku 7,14 au 21 hii imekaaje
Soma hii
 
Ndiyo ni mchawi huyo
Lengo ni usiendelee
Magomvi yasiyokwisha
Kuchafua nyota

Yaani me ilifika kipindi nikawa nahisi paji la uso linawaka moto pindi walipokuwa wakifanya hivyo

Pia watu wakawa wananichukia bila 7babu yaani nikija kupata nafuu nitaenda radioni kuhadithia mitihani niliyopitia

Ili watu wajue kwamba Kuna watu wamevaa Dini Kumbe ni waasi wakubwa hapa Duniani
Kazi kuwatesa wenzao wasiyokuwa na kinga
[emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo me si mjuzi wa hii kitu lakini kwa uelewa wangu oga Kwanza na sabuni yako then jimwagie Sasa na maji yenye chumvi.....!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Haina shida
nashukuruni kwa maoni na ushauri

huu uzi niliufungua saa saba usiku, nikawa nausoma kwa mara ya 3 mfululizo

sasa.nikajiuliza kwann nisijaribu kuiogea hii chumvi leo (usiku huu huu)

aisee kweli nikaamua

kwanza kabisa, nikaxhukua chumvi nikaichanganya na maji ya kunywa, nikanuia nikayanywa.

pili, nikaweka maji bafuni, nikachukua chumvi nikanuia kisha nikaiweka majini nikaiogea bila sabuni.

nikatoga bafuni.

nikasema sasa nikijipaka mafuta, nichukue chumvi nyingine nichanganye namafuta nijipake mwili mzima😅😅😅

kweli nikafanya hivyo kweli.

nikaelekea kulala, lakn kabla nakumbuka nilisoma humu kwamba ukiweka kipande cha mkaa chini ya godoro unalala poa sana..😂😂😂

nikaweka pale aisee😅😅

nikaanza kuutafuta usingizi, hapo inaenda saa tisa usiku.

MAAJABU YANAIBUKA
Aisee sisimulii uongo, ila nimeota ndoto iliyonitisha sana, lakn nikawa kama naona kinachoendelea! NAOTA HUKU NAONA KABISA!!

Mwili umeanza kuwa mzito sana ghafla, nikaanza kuona paka mweusi tii kama anajiondoa kwenye.mwili wangu, paka alikuwa anatisha (lilikuwa likubwa kiumbo)

ghafla ndoto ikakata.

baadae tena naliona lile lile lipaka linapambana kujiondoa kwangu kwa mara ya pili. Nilishtuka sana. Hio ndoto ikaisha

nikaota tena nyingine, nashangaa nimeisahau

ikaja nyingine tena namuona mwanamke mrembo sana analazimisha nifanye nae mapenzi, kavua yuko uchi wa mnyama, nikamkatalia!! sikulala nae..

Hizi ndoto nimeziota leo tu baada ya kuogea chumvi, kujipaka mwili mzima na kulala na kipande cha mkaa!!

bado najiuliza hapa kuna nn nyuma ya pazia
 
nashukuruni kwa maoni na ushauri

huu uzi niliufungua saa saba usiku, nikawa nausoma kwa mara ya 3 mfululizo

sasa.nikajiuliza kwann nisijaribu kuiogea hii chumvi leo (usiku huu huu)

aisee kweli nikaamua

kwanza kabisa, nikaxhukua chumvi nikaichanganya na maji ya kunywa, nikanuia nikayanywa.

pili, nikaweka maji bafuni, nikachukua chumvi nikanuia kisha nikaiweka majini nikaiogea bila sabuni.

nikatoga bafuni.

nikasema sasa nikijipaka mafuta, nichukue chumvi nyingine nichanganye namafuta nijipake mwili mzima😅😅😅

kweli nikafanya hivyo kweli.

nikaelekea kulala, lakn kabla nakumbuka nilisoma humu kwamba ukiweka kipande cha mkaa chini ya godoro unalala poa sana..😂😂😂

nikaweka pale aisee😅😅

nikaanza kuutafuta usingizi, hapo inaenda saa tisa usiku.

MAAJABU YANAIBUKA
Aisee sisimulii uongo, ila nimeota ndoto iliyonitisha sana, lakn nikawa kama naona kinachoendelea! NAOTA HUKU NAONA KABISA!!

Mwili umeanza kuwa mzito sana ghafla, nikaanza kuona paka mweusi tii kama anajiondoa kwenye.mwili wangu, paka alikuwa anatisha (lilikuwa likubwa kiumbo)

ghafla ndoto ikakata.

baadae tena naliona lile lile lipaka linapambana kujiondoa kwangu kwa mara ya pili. Nilishtuka sana. Hio ndoto ikaisha

nikaota tena nyingine, nashangaa nimeisahau

ikaja nyingine tena namuona mwanamke mrembo sana analazimisha nifanye nae mapenzi, kavua yuko uchi wa mnyama, nikamkatalia!! sikulala nae..

Hizi ndoto nimeziota leo tu baada ya kuogea chumvi, kujipaka mwili mzima na kulala na kipande cha mkaa!!

bado najiuliza hapa kuna nn nyuma ya pazia
ndo ishaanza kufanya kazi...........it means hao viumbe wameshaanza kukutana na upinzani..............kumaanisha kwamba mwanzoni walikuwa wanakuingia kiulaini sanaaaaaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom