charty
JF-Expert Member
- Oct 28, 2013
- 7,460
- 6,003
Tena wewe inabidi tukakutoe zongo na lile chumvi la maji ya bahari..Mamaa,njoo unitibu zongo!!!!
Tena wewe inabidi tukakutoe zongo na lile chumvi la maji ya bahari..Mamaa,njoo unitibu zongo!!!!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Tena wewe inabidi tukakutoe zongo na lile chumvi la maji ya bahari..
utanisaidia kumzamisha na kumuogesha,mie nitanunua tu kaniki nyeusi hahaah
Na mafuta ya Olive, oops, ya Zaituni!!utanisaidia kumzamisha na kumuogesha,mie nitanunua tu kaniki nyeusi hahaah
Hana mba!? [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]utanisaidia kumzamisha na kumuogesha,mie nitanunua tu kaniki nyeusi hahaah
hahah kwan akiwa na mba ataharibu dawa???Hana mba!? [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app
hapa ni chumvi tu na mafuta ya mawese😀😀
Na mafuta ya Olive, oops, ya Zaituni!!
😀😀
Maambukizi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125]hahah kwan akiwa na mba ataharibu dawa???
Oga na sabuni takata, chukua maji mengine kwenye ndoo weka fumba la chumvi changanya jumwagie mwilinimkuu kama unataka tumia kuogea unapimaje unaweka mengi hadi Maji yawe na radha? na je, unapooga unaruhusiwa kutumia sabuni? na je, chumvi inayohitajika ni kama ile ya uvinza kgm?
cc. mshana jr
sawa mkuu hapo kwenye "fumba" ndo sijaelewa kiswahiliOga na sabuni takata, chukua maji mengine kwenye ndoo weka fumba la chumvi changanya jumwagie mwilini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimesikia chumvi unachanganya na kahawa na kuiacha iyayuke pamoja kisha unajimwagia baada ya kuoga huku ukinuia, bado sina imani na hivi vitu!Kuna sehemu nilisoma wanasema chumvi eti una changanya na mafuta ya zaituni kuna ukweli gani mshana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana watu huambiwa kama una nuksi ogea maji ya baharisasa kama issue ni chumvi vipi kuhusu mtu kuogabaharini kwasababu maji ya bahari yote ni chumvi tupu at mshana.
Mimi niliitumia kwa wadeni wangu walikua wananizungusha muda mrefu nikawanuia kwa kuwataja majina yao wanilipe pesa zangu huwezi amini yani siku hiyo hiyo nilipata pesa zangu. Hata kwenye biashara zangu pia huwa natumia na naona matokeo, na mengine mengiShare nasi ushuhuda wako tujifunze. If that's okay.
-Kaveli-
Mimi niliitumia kwa wadeni wangu walikua wananizungusha muda mrefu nikawanuia kwa kuwataja majina yao wanilipe pesa zangu huwezi amini yani siku hiyo hiyo nilipata pesa zangu. Hata kwenye biashara zangu pia huwa natumia na naona matokeo, na mengine mengi
Mimi niliitumia kwa wadeni wangu walikua wananizungusha muda mrefu nikawanuia kwa kuwataja majina yao wanilipe pesa zangu huwezi amini yani siku hiyo hiyo nilipata pesa zangu. Hata kwenye biashara zangu pia huwa natumia na naona matokeo, na mengine mengi