Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

Mshana kwanza ahsante kwa somo zuri , pili naomba kuuliza nmeshindwa maliza maoni ya wakuu sijui uvivu ,jinsi ya kuogea ni kwamba naoga kwanza halafu nachukua maji masafi natia chumvi nanuiza ama naweka moja kwa moja kwenye maji naog? Halafu hyo ya kumwaga kuzunguka kitanda je nailoweka kwenye maji ama nzima nzima kama ilivyo,ahsante
Vyote ni sawa tu oga kisha jimwagie ama ogea, na ya kuzungusha si lazima iyeyuke yote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehehe sisi kijijini kwetu kipindi hicho tulikuwa tunaaamini kwamba ukichoma chumvi motoni ile usiku wakati wa kulala basi hakuna mchawi atakayegusa nyumbani je kuna ukweli wowote wa hili? Nakumbuka bibi alikuwa akisikia paka na bundi wanalia tu anatutuma chumvi anachoma motoni then mda ule ule milio yote inakoma mshana jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hehehe sisi kijijini kwetu kipindi hicho tulikuwa tunaaamini kwamba ukichoma chumvi motoni ile usiku wakati wa kulala basi hakuna mchawi atakayegusa nyumbani je kuna ukweli wowote wa hili? Nakumbuka bibi alikuwa akisikia paka na bundi wanalia tu anatutuma chumvi anachoma motoni then mda ule ule milio yote inakoma mshana jr

Sent using Jamii Forums mobile app
Majibu unayo tayari, ukichoma chumvi unaatract nguvu hasi, chumvi na moto inaleta kifo sasa chochote cha karibu hakiwezi sogea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahaha kaka dompo tayari ishaanza fanya kazi yake [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23].vua hiyo miwani

Sent using Jamii Forums mobile app
e9185d7384c1247abd4f31df9d708b81.jpg
bado kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana Jr piá kuongezea chumvi ni tiba hasa kwa wale wanagopa kula libwata au vitu vibaya basi unapomaliza kula chakula ambacho unahisi si kizuri basi ukimaliza kula tu omba chumvi lamba kidogo tu, nakuakikishia kama ilikuwa limbwata au dawa yoyote ya kukuzuru hapo ndio mwisho
 
Mshana Jr piá kuongezea chumvi ni tiba hasa kwa wale wanagopa kula libwata au vitu vibaya basi unapomaliza kula chakula ambacho unahisi si kizuri basi ukimaliza kula tu omba chumvi lamba kidogo tu, nakuakikishia kama ilikuwa limbwata au dawa yoyote ya kukuzuru hapo ndio mwisho
[emoji15] [emoji102] [emoji106] [emoji115] [emoji781] [emoji779] nimeongeza maarifa thanks

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom