Naona thread inamove tu...ngoja tuanze kuichakachua, soon itafika page za kutosha
Lakini utakubali?
sasa kijana umeingia jana tu halaf unakuja na mikelele kibao....usipokuwa makini tutakusakizia BAN.....ni thread gani hasa ulizoweka hapa jamvini ambazo hazikuchangiwa? au ndio style yako ya kutafuta wachangiaji kwa kulalamika?Eyooo wapi papaa Masanilo.......
Wapi mamaa AshaDiiii........
Wapi mamaaaa FaizaFoxy.......
Wapi mkuu Invisible..........
Mamaaa Mamdenyi upoo......
Papaa Mwita25 jeeeee.......
Tukana tukana kama Nyani ngabu utapata likes na michango mingi
Tuition nafikiri tutaianza jioni...Hahahaaa, hujambo? Mbona hukunibip sasa? kwa ajili ya tuition
tena haja kubwa na ajisaidie mchana kweupeeeeeeee wakati watu wako wengi wanapitapita....otherwise hata akijisaidia njia panda halafu gizani haitamsaidia....akimalizaq kujisaidia avunje na nazi nne akielekea kila upande wa njia. baada kuvunja nazi aburuze masaburi yake kuelekea kila upande wa njia.....hapo dawa itakuwa imekamilika na baada ya siku tatu atakuwa Premium member hata bila kuchangia senti JFkajisaidie njia panda.
Wewe kweli Ali jojomi siyo mtaalamu wa mitusi.
Mimi sio type yakokwa jinsi unavyotukana, nahisi ulizaliwa chooni.....maana una mdomo mchafu mpaka choo kina nafuu.....umenianza mwenyewe kumbuka!
Join date 08/11/2011,umeshapost ngapi katika umri huo?Nina balaa gani kiumbe cha Mungu miee manake kila thread ninayoanzisha inaishia kupotezewa tu? Mweeee
tena haja kubwa na ajisaidie mchana kweupeeeeeeee wakati watu wako wengi wanapitapita....otherwise hata akijisaidia njia panda halafu gizani haitamsaidia....akimalizaq kujisaidia avunje na nazi nne akielekea kila upande wa njia. baada kuvunja nazi aburuze masaburi yake kuelekea kila upande wa njia.....hapo dawa itakuwa imekamilika na baada ya siku tatu atakuwa Premium member hata bila kuchangia senti JF
Unatafuta bwana na wewe hapo hapo chukua kidole chako cha shahada kisha kikalie labda utatiliza kipapa
wa kike au wa kiume?kinachofuata ni kutafuta marafiki hapa JF.
wa kike au wa kiume?
Eyooo wapi papaa Masanilo.......
Wapi mamaa AshaDiiii........
Wapi mamaaaa FaizaFoxy.......
Wapi mkuu Invisible..........
Mamaaa Mamdenyi upoo......
Papaa Mwita25 jeeeee.......