RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,347
- 2,957
Wakuu Nina tatizo la kizunguzungu / dizness na kuona maluweluwe yapata mwezi mmoja sasa nimeenda dispensary naona miyeyusho tu daktari kanipima tu pressure basi kasema ipo sawa ila nikajiongeza mwenyewe nikamwambia acheck damu na maji akadai atanicheck mpaka jumatano- week ijayo
kama mnavyojua izi dispensary za bush ni miyeyusho yaani naumwa naambiwa kupimwa mpaka next week na sijaambiwa Kwa sababu gani nikajiondokea zangu,ila nimepanga kufunga safari kwenda hospital ya wilaya maana kizunguzungu muda wote yapata mwezi mmoja na zaidi na nachoka balaa bila sababu maalumu
kama mnavyojua izi dispensary za bush ni miyeyusho yaani naumwa naambiwa kupimwa mpaka next week na sijaambiwa Kwa sababu gani nikajiondokea zangu,ila nimepanga kufunga safari kwenda hospital ya wilaya maana kizunguzungu muda wote yapata mwezi mmoja na zaidi na nachoka balaa bila sababu maalumu