Thread zangu hazichangiwi

Thread zangu hazichangiwi

[QUOTE=Bundajo;2784002]Nina balaa gani kiumbe cha Mungu miee manake kila thread ninayoanzisha inaishia kupotezewa tu? Mweeee[/QUOTE]
usikate tamaa toa hoja nzito watu tutachangia bila kujalisha kama unajulikana au la? kuwa mpole mwanzo mgumu. hata hivyo unajitahidi hadi leo umekuwa member tayari wakati ulianza jana tu?
 
Mbona mwaanza kuipoteza thread yangu kiumbe mieee?
 
hahah...lol..basi mkono wako wako wa kusoto upo gado sana! naona spidi yako na reply rate yako iko juu sana!

Rejao, ni kiherehere tu ndugu yangu, maana sitaki nipitwe, lakini nimeanza kupata uzoefu wa huu mkono wangu wa kushoto na kila siku speed inaongezeka
 
Hao wote wamepost wameshajibu?AKILI ZA MBAYUWAYU changanya na zako
 
Back
Top Bottom