Thread zangu hazichangiwi

Thread zangu hazichangiwi

Kumbe umeshapona kaka, pole sana ndugu yangu, mie bado najikongoja na Plastic Of Paris.................

Ulikuwa unamaanisha 'plaster of paris' bila shaka. Vipi ulivunjika mfupa?
 
you should start a thread that really touches the feelings of the masses. And not everyone likes what you like. Be patient and keep on posting. Maybe one day you will learn what ticks the masses. Until then, KEEP IT UP AND DONT LET IT LOOSE.

"This is what I learned: that everybody is talented, original and has something important to say"
 
Nasubiri PM mama. BTW leo unaenda kazini?

duhhhh..
samahani sana..
ila mi sina la kukutumia kwenye PM
nimesha ku karibisha .. na bado hatujakutana
vya kutosha humu jamvini kwa mimi kuku PM
na kukupongeza kwa kitu fulani..

ila kama we kuna kitu ambacho
unataka kusema au kujua kutoka
kwangu we nitumie hiyo PM..
asante ..
 
duhhhh..
samahani sana..
ila mi sina la kukutumia kwenye PM
nimesha ku karibisha .. na bado hatujakutana
vya kutosha humu jamvini kwa mimi kuku PM
na kukupongeza kwa kitu fulani..

ila kama we kuna kitu ambacho
unataka kusema au kujua kutoka
kwangu we nitumie hiyo PM..
asante ..

Kwahiyo nianze kukutumia PM halafu utanijibu?
 
Ha ha ha ha ha ha nimegundua leo asubuhi. Kweli JF haina upendeleo.
Sasa`kinachokufurahisha ni kitu gani?, au ndio huo umaarufu unaoutafuta...............
weka uzingativu kwenye complain yako ya mada zako kukosa wachangiaji.................
 
Kumbe umeshapona kaka, pole sana ndugu yangu, mie bado najikongoja na Plastic Of Paris.................
Nimepona mkuu, hahahhaha pole mkuu utapona....mimi nimeagiza bullet proof ya kuzuia kuugua...lol
 
Sasa`kinachokufurahisha ni kitu gani?, au ndio huo umaarufu unaoutafuta...............
weka uzingativu kwenye complain yako ya mada zako kukosa wachangiaji.................

Mimi nina maana yangu
 
Hilo neno 'utumbo' halileti maana ukilinganisha uwepo wapo wa jamvini kwa muda mrefu.
sorry, niliposema utumbo nilidhani wewe ni mtoto bado unavaa nepi ili usitujazie mautumbo humu jukwaani.

Baada ya kukusoma majibu yako, nimegundua kuwa kumbe ni kweli kuna watu huwa wanafikiri kwa kutumia masaburi.

Nimegundua kumbe ni kweli kuna watoto wakubwa walishaacha kuvaa napi, lakini eti wanajaribu tena kuvaa nepi ili kunanihii kwenye nepi!.

Au mtoto mkubwa aliyeshaacha kukalia poti anapoikalia kwa ajili ya ile shughuli!.

Its fun playing people mind!.
Ban itaisha na utarejea salama.

Natanguliza samahani. Hivyo naomba usiijibu hii post yangu maana sitarudi thread hii kutoa majibu maana nine hama kwenye hiki kibanda cha utumbo, naenda kutafuta nyama!.
 
Ah, my Broda Rejao.......... Natumia mashoto ndugu yangu........ Speed kama Kinyonga
hahah...lol..basi mkono wako wako wa kusoto upo gado sana! naona spidi yako na reply rate yako iko juu sana!
 
sorry, niliposema utumbo nilidhani wewe ni mtoto bado unavaa nepi ili usitujazie mautumbo humu jukwaani.

Baada ya kukusoma majibu yako, nimegundua kuwa kumbe ni kweli kuna watu huwa wanafikiri kwa kutumia masaburi.

Nimegundua kumbe ni kweli kuna watoto wakubwa walishaacha kuvaa napi, lakini eti wanajaribu tena kuvaa nepi ili kunanihii kwenye nepi!.

Au mtoto mkubwa aliyeshaacha kukalia poti anapoikalia kwa ajili ya ile shughuli!.

Its fun playing people mind!.
Ban itaisha na utarejea salama.

Natanguliza samahani. Hivyo naomba usiijibu hii post yangu maana sitarudi thread hii kutoa majibu maana nine hama kwenye hiki kibanda cha utumbo, naenda kutafuta nyama!.

Nitamwambia AshaDii akujibu itakiwavyo.
 
Back
Top Bottom