lutamyo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2011
- 641
- 159
Semeki habari gani mkuu... Yeye haon wengine tunaangalia tu jinsi hali ilivyo.
Umezaliwa jana humu ndani, hata akili bado haijakaa sawa iweje unataka kutembea kama kina afrodenzi. ukikua busara itaongezeka na hapo utapata busara ya kusikilizwa humu ndani.