Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
Huu uzi umepotelea wapi tena?
Nilimuambia jamaa kuwa Thread za aina ile huwa Mods wapya hufundishiwa ku delete akataka League.....Huu uzi umepotelea wapi tena?
Kwa hiyo mmeona Dili kweli kudelete Uzi..Lolz.Nilimuambia jamaa kuwa Thread za aina ile huwa Mods wapya hufundishiwa ku delete akataka League.....
Nilimuambia jamaa kuwa Thread za aina ile huwa Mods wapya hufundishiwa ku delete akataka League.....
I aint no one of the Mods, I'm even less to you.Kwa hiyo mmeona Dili kweli kudelete Uzi..Lolz.
Kuna watu kweli wana sad lives.
Haya nakupa ruhusa delete posts zangu zote JF hapa kaa ntamaindi.
Huu uzi umepotelea wapi tena?
Upo kwenye Jukwaa la Hoja mchanganyiko. Au sio Huu https://www.jamiiforums.com/habari-...waandishi-wa-habari-wanajiita-wapiganaji.html
Ikitokea mtu yeyote anaatafuta uzi fulani kama anakumbuka jina la muazisha mada anaweza kutumia Nyenzo ya Search. EMT aliuweka kwenye siasa lakini nadhani hapo ulipo panafaa.
Poleni kwa usumbufu