Thread ya wapiganaji

Status
Not open for further replies.
Wameifuta aisee, inaonekana kuna mod ana erectile dysfunction sasa ukiongelea ishu za boning unamkata stimu.
 
Nilimuambia jamaa kuwa Thread za aina ile huwa Mods wapya hufundishiwa ku delete akataka League.....
Kwa hiyo mmeona Dili kweli kudelete Uzi..Lolz.

Kuna watu kweli wana sad lives.

Haya nakupa ruhusa delete posts zangu zote JF hapa kaa ntamaindi.
 
yaani wamedelete umombo wangu wote ule!!
Haiwezekani, nakata rufaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom