Mpangilio wako wa pesa ukoje?

Mpangilio wako wa pesa ukoje?

Joanah

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
26,203
Reaction score
96,396
Hey people,

Title inajielezea,msinifokee nina mimba changa bado, huu ni muendelezo wa uzi 👇


Uzi bado
 
Hey people,

Title inajielezea,msinifokee nina mimba changa bado, huu ni muendelezo wa uzi 👇


Uzi bado
Tutachangia Uzi ukiwa tayari...🙂🙂
 
Hey people,

Title inajielezea,msinifokee nina mimba changa bado, huu ni muendelezo wa uzi 👇


Uzi bado
Mimi sina mpangilio wowote.
Pesa zitatumika kadri zinavyokuja.
Sina huruma kwenye matumizi ya pesa.
 
Mpangilio gani tena tumeambiwa dunia tunapita na tutumie pesa ituzoee sasa kula maisha utakuja kupata presha na vidonda vya tumbo kwa kujibana sana et oh nipo najenga yan nishindwe kupiga hata henken zangu mbili au tatu kisa kujenga huko vp chagua duka moja hapo kitaa kununua vitu vyako itakuwa rahisi kukopesheka hata ukiwa huna kitu
 
Hey people,

Title inajielezea,msinifokee nina mimba changa bado, huu ni muendelezo wa uzi 👇


Uzi bado
Ulijihakikishia huyo uliyemwamini, anaaminika katika kulea na kutunza mtoto hadi apate PhD?
 
Madogo hayo mara nyingi ni kwenye nini?
Kwa siku:
Nauli kwenda na kurudi, chai, msosi wa mchana na jioni(hapa itategemea kama ntapika au ntanunua)

Kwa mwezi:
Bill ya maji, umeme, router, kodi & king'amuzi.

Kwenye kufanya vitu vya maendeleo hapo inategemea.

Matumizi yasiyo rasmi ndo zile kama kunyonga Totoz, mara moja moja napiga maji.
 
Kwa siku:
Nauli kwenda na kurudi, chai, msosi wa mchana na jioni(hapa itategemea kama ntapika au ntanunua)

Kwa mwezi:
Bill ya maji, umeme, router, kodi & king'amuzi.

Kwenye kufanya vitu vya maendeleo hapo inategemea.

Matumizi yasiyo rasmi ndo zile kama kunyonga Totoz, mara moja moja napiga maji.

Ratiba yako imekaa vizuri,kama imenyooka hivi

Hahaha kupiga maji ningeshangaa kusingekuwepo
 
Back
Top Bottom