Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,077
- 136,517
Vipi Umeshampata MBADALA Wangu Lakini Wa Kuja Hapo Holiday Inn KUKUTAGISHA? Nimekudharau Sana Yaani Ujanja Wote Huo Kumbe Mtoto Si Rizki?
Is that all you got?
Vipi Umeshampata MBADALA Wangu Lakini Wa Kuja Hapo Holiday Inn KUKUTAGISHA? Nimekudharau Sana Yaani Ujanja Wote Huo Kumbe Mtoto Si Rizki?
uache mihemko ya kutoa taarifa zisizokuwa na mashiko wala tija kwa maslahi ya taifa na maisha yetu ya kila siku,kazi yako kubwa iliyobaki ni kuamisha attention za watoa mawazo yakinifu kwa uwezo wako mdogo wa kufikiri
huu sio biashara jf wanapata faida huu n mtandao wa jamii ukijua hilo mjue.mnakutana na watu wa akba mbali mbali..nikusaidie sio waote wanaenda kula africa sana n malaya ama wanapenda kuona vile vimwili vyao kwakuwa wanafwata huduma za.chakula.ndio maana unawakuta pale watafanyaje unakula unasuuza.macho unaenda kwenu...na ndio humu unasoma hdn bado unafungua na unacommenta acha upumbavu upumbavu uliefungua ukasoma tulitakiwa tujue humu nkwawatu ainambalimballi..naomba mnisamamehe nitakaowaudhihuu uzi ni kwa hisani ya mods mkuu, why watu wazima kweli kweli wanatuma post zenye viwango vya chini kulingana na khariba zao, kuna uzi hapa ulianza kuchafua hali ya hewa ulikua wa mnyika atleast mods wameutoa
We dada unajikakamua kweli uonekane smart lakini hamna kitu kabisa.....
huu sio biashara jf wanapata faida huu n mtandao wa jamii ukijua hilo mjue.mnakutana na watu wa akba mbali mbali..nikusaidie sio waote wanaenda kula africa sana n malaya ama wanapenda kuona vile vimwili vyao kwakuwa wanafwata huduma za.chakula.ndio maana unawakuta pale watafanyaje unakula unasuuza.macho unaenda kwenu...na ndio humu unasoma hdn bado unafungua na unacommenta acha upumbavu upumbavu uliefungua ukasoma tulitakiwa tujue humu nkwawatu ainambalimballi..naomba mnisamamehe nitakaowaudhi
Ama mpaka tcra watupe bei elekezi kuingia jf mjue huduma za jamii nasio busn..
alie kwambia nautaka usmart ni nani,,jiwe gizani lazima usikie ng'weee wewe ni mfano mbaya kwa wageni hapa jf
TCRA inahusika vipi mathalani na jumbe zenye content ya pumba hapa,jaribu kuelewa kuna kuvunja sheria na kutuma content za pumba humu jukwaani, sipo kuponda chochote na nilipo sema ujumbe utafika kwa wahusika nilikua na maana ya watunga pumba then wanakuja na kila aina ya pumba humu jf so wanatakiwa wabadilike wao kama wao,,hapo ndipo utasikia jf hii si kama ya zaman why,
Hahaaaa karibusanaa mpwa hii ndio jf asiliaa...aina.mstaafu..
Mwaga huo mtama mama....mwaga.
Is that all you got?
Wengine wanaanzisha mada ya athari za punyeto wakati hii mada imeshajadiliwa kibao hapo awali. This is bullshit.
skiza Bwana Rungu...wanaoposti mara nyingi wanakuwa hawajui kama Mada Ilisha jadiliwa, kwani kila siku wageni hawaishi humu!!
Inawezekana Hata mada ya hii thread ilishajadiliwa pia!!
Shuby
Wapwa jumapili njema sana tu..makamanda..wengine.mtuombee wengine tunaenda zika mama zetuleo..