Thread nyingine zinaboa

Thread nyingine zinaboa

Mwingine asema:
"Mke wangu anavaa shanga lkn zamani alikua havai naombeni ushauri"

Seriously!!?

ha ha hapo kwa mfano sijui utatoa ushauri gani, utasikia nipe namba yake nimshauri
 
Bro.
I can see, umekuwa mpole sana... kuna mtu natamani m'battle...ID kwa ID (face to face...)!!

Wala sijawa mpole. ...nimekuwa na busara tu maana kuna vitu vingine ni vya kipumbavu kupitiliza kiasi hujui hata ufanye nini.

Nani huyo? I'm always game for battle. ....
 
ushauri kwa mtoa uzi.. umeona mada inakuboa.. au huez kutoa jibu au ushauri.. kaa kimia angalia uzi mwingne ambao utakuvutia kutoa ushauri toa.. yann ujisumbue kutoa ushauri kwa kitu usichokipenda? si ukae kimia? kwan nan atakuuliza? au ni lazma uchangie? usipochangia hupati papuch..
 
ushauri kwa mtoa uzi.. umeona mada inakuboa.. au huez kutoa jibu au ushauri.. kaa kimia angalia uzi mwingne ambao utakuvutia kutoa ushauri toa.. yann ujisumbue kutoa ushauri kwa kitu usichokipenda? si ukae kimia? kwan nan atakuuliza? au ni lazma uchangie? usipochangia hupati papuch..

mkuu kweli wewe ni kiazi mviringo
 
Back
Top Bottom