Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,348
- 6,669
- Thread starter
- #21
Yaani Hii Mitandao Imefanya Watu Wamekuwa Wavivu Kufikiri,thread Za Kijinga Jinga Tu Unauliza Mambo Ya Kipumbavu Tu Mda Wote,yaani Hakuna Vya Maana,
hatukatai kuchangamsha kupo ila isiwe too childsh kwa kuuliza au kutoa hadithi ambazo kimtazamo tu unatambua kinachozungumziwa hakipo,