Nobody - Keith Sweet.
naamini kabisa hata kunanihii ulikuwa bado,yani namaanisha kuanza kusoma chekecheaEnzi za mabreka sio vunja mifupa na naughty by nature hiphop ree oo ree oo
Umenikumbusha mbali kaka zangu walikuwa wanaenda parm beach clab kushindaba kucheza break dance daah nilikua mduchuu
Kitumbua....AT
Ooh yeah...nampenda AT na mbwembwe zakeNa wewe unapendaga miduara?